Ufugaji Mbuzi wa kienyeji (Asili) kibiashara

Ufugaji Mbuzi wa kienyeji (Asili) kibiashara

..kwa mbuzi wa kienyeji inaweza kuchukua mwaka mmoja, mpaka mmoja na nusu.

..mbuzi wa kisasi pure breed, au mbuzi chotara, inaweza kuchukua miezi sita mpaka miezi minane.
Duuh!! Kienyeji kinachukua muda mrefu sana, nilivutiwa na maoni ya wengi nikaipenda hii biashara!! Ila mwaka unalea tuu
 
Duuh!! Kienyeji kinachukua muda mrefu sana, nilivutiwa na maoni ya wengi nikaipenda hii biashara!! Ila mwaka unalea tuu

..nikipata muda nitaleta video ya jamaa toka Uganda analinganisha mbuzi wa Savanna toka Afrika Kusini, na mbuzi wa Kienyeji toka Uganda.
 
..nikipata muda nitaleta video ya jamaa toka Uganda analinganisha mbuzi wa Savanna toka Afrika Kusini, na mbuzi wa Kienyeji toka Uganda.
Mi natamani kufuga kondoo tu ila naona nyuzi nyingi ni mbuzi. Vipi kuhusu uzoefu kwenye kondoo?
 
Mi natamani kufuga kondoo tu ila naona nyuzi nyingi ni mbuzi. Vipi kuhusu uzoefu kwenye kondoo?

..sikiliza hapa mlinganisho kati ya mbuzi Savannah toka Afrika Kusini vs mbuzi wa Mubende toka Uganda.

..kuhusu ufugaji wa Kondoo wenzetu wa Kenya na Uganda wamechangamkia fursa hiyo. unaweza kutafuta habari zaidi kupitia mitandao, na haswa YouTube.

 
Mbuzi huzaa mara ngapi kwa mwaka wadau?

Kuna mahali nimesoma humu humu wanasema ni mara tatu kwa mwaka!! Nina eneo lipo kwenye wetland nzuri sana nataka nifanye kama karanch kangu japo ni hekari nane tu!!

Ila kukuza mbuzi mwaka na nusu ni hasara kwa kweli, nilijua miezi sita ningepambana kila baada ya miezi sita niuze japo mbuzi 200
 
M
Kuna mahali nimesoma humu humu wanasema ni mara tatu kwa mwaka!! Nina eneo lipo kwenye wetland nzuri sana nataka nifanye kama karanch kangu japo ni hekari nane tu!!

Ila kukuza mbuzi mwaka na nusu ni hasara kwa kweli, nilijua miezi sita ningepambana kila baada ya miezi sita niuze japo mbuzi 200
Mbona kama mara nyingi sana hizi mkuu,suala la kubeba mimba,kunyonyesha kabla hajashika mimba tena linafanyika ndani ya miezi 4 tu!
 
MUBENDE na wadau wote habarini??

Nimesoma uzi wote sijaona mahali palipozungumzia kuwa mbuzi toka anazaliwa mpaka kufikia kuwa mkubwa na mzuri wa kuliwa ni muda gani?? Natamani nijue hasa hawa wetu wa kienyeji!!
Habari za leo kwanza naomba utambue kila mlaji ana uchaguzi wake wa Mbuzi saizi gani anamfaa kwa matumizi yake aliyoyapangilia. Mbuzi akisha fikisha umri wa miezi 4 kwenda mbele huyo anaweza kufaa kwa matumizi ya kuliwa, kuhusu hawa Mbuzi wetu wa kienyeji ukuwaji wao ni watatratibu sana na ndio maana kwa sasa tunashauriwa sana kuanza kuchanganya mbegu na hawa Mbuzi wa kutoka mataifa ya nnje. Mfano Isiolo/Galla. Boer,Red kalahare, Savanaha, nk.
Kwa majike tunashauri sana utumie wenye maumbo makubwa, Mubende hawa wanapatikana Karagwe,Biharamulo,Bukoba na Uganda. Buha hawa wanapatikana Kigoma zaidi. Na pia ukipata Mbuzi wanaopatikana ukanda wa usukumani, na kwenye mashamba ya uzalishaji wa Mbuzi Taliri,Mpwapwa,Tanga nas kwengineko. Huko utapata Blended, Gogo white,Newala nk. Karibu sana ktk ufugaji wa Mbuzi.
 
Kuna mahali nimesoma humu humu wanasema ni mara tatu kwa mwaka!! Nina eneo lipo kwenye wetland nzuri sana nataka nifanye kama karanch kangu japo ni hekari nane tu!!

Ila kukuza mbuzi mwaka na nusu ni hasara kwa kweli, nilijua miezi sita ningepambana kila baada ya miezi sita niuze japo mbuzi 200
Hapana Mbuzi huzaa mara 2 tu kwa Mwaka na kunakipindi tunashauriwa kitaalamu asizalishwe kila mara. Kuhusu uuzaji wa mazao ya shambani kwako unapashwa kujua na kujiwekea malengo ili unapo zalisha uweze kujuwa utawauza baada ya muda gani, hapo ndipo linakuja swala la kutafuta Mbegu zilizo bora ili zikuletee mafanikio na matokeo mazuri ktk ufugaji wako. Mwisho na muhimu sana ufugaji unahitaji uvumilivu na kujituma sana ktk kusimamia mradi wako ili ukupe matokeo mazuri.
 
M

Mbona kama mara nyingi sana hizi mkuu,suala la kubeba mimba,kunyonyesha kabla hajashika mimba tena linafanyika ndani ya miezi 4 tu!
Mbuzi hubeba Mimba kwa miezi 5 na baada ya kujifunguwa anakuwa tayari kupandwa baada ya siku 30, lakini hii hutegemeana na mwili wa Kila Mnyama kwenye swala la kupevuka mayai ya uzazi.
 
Habari wana Jf.Nahitaji kufungua Zoo ya Wanyama pori kwa ajiri ya utalii.Nahitaji kuanza na Wanyama wachache kama vile Kobe,nyoka,swala,ndege na nitaongeza wanyama kadri biashara yangu itakavyokuwa ikikuwa.Nahitaji ushauri kutoka kwa yeyote mwenye uzoefu na biashara hii ya Zoo au Bustani ya wanyama pori,je napaswa kuwa na mtaji kiasi gani kama kianzio?(gharama za leseni),nizingatie mambo muhimu yapi ili mradi wangu uwe wa mafanikio?Nina eneo la ekari moja mali binafsi kwa ajili ya Kuanzia mradi,liko nje ya mji.Ahsanteni kwa kusoma uzi wangu.
 
Habari wana Jf.Niliwahi kuwaletea uzi wa ufugaji wa mbuzi wa kienyeji ,namshukuru Mungu nilifanikiwa kuongeza mradi wa Mbuzi shambani kwangu, mdogo mdogo napambana!.Binafsi wanyama ni maisha yangu,nawapenda sana na ndiyo Kigezo cha mimi kujikita kwenye miradi ya ufugaji.Tuachane na hayo!

Lengo la uzi huu,nahitaji kufungua Zoo ya Wanyama pori kwa ajiri ya utalii.Nahitaji kuanza na Wanyama wachache kama vile Kobe,nyoka,swala,ndege na nitaongeza wanyama kadri biashara yangu itakavyokuwa ikikuwa.Nahitaji ushauri kutoka kwa yeyote mwenye uzoefu na biashara hii ya Zoo au Bustani ya wanyama pori.Je, napaswa kuwa na mtaji kiasi gani kama kianzio?(gharama za leseni),nizingatie mambo muhimu yapi ili mradi wangu uwe wa mafanikio?Nina eneo la ekari moja mali binafsi kwa ajili ya Kuanzia mradi,liko nje ya mji.Ahsanteni kwa kusoma uzi wangu.
 
Nenda ofisi za wizara ya maliasili zilizopo mkoani mwako. Kama hujui zipo wapi, nenda ofisi ya mkuu wa mkoa au wilaya, utaelekezwa zilipo.

Ukishafika Maliasili utapewa muongozo wote.
 
mtaji kiasi gani itategemea na aina ya wanyama utakaoweka, lakin pia faida itategemea na aina ya wanyama utakaoweka, ukiweka kobe na nyoka jiandae kwa hasara maana wateja wengi hivyo siyo vitu wanapenda kuona hivyo huwa ni vitu vya ziada tu kwenye zoo kama vile mshumaa pembeni ya keki

kwahiyo wanyama wanao vutia inabidi wawe wengi kwa kuanzia
 
Hapo morogoro mikumi mkabala na Tiger hotel kuna Jamaa anafuga nyoka na Mamba kiingilio 5000

Na anapata watu sana

Usipende kutoa comment kuponda kitu kama huna experience nacho.
Sawa Nshomile Unashindwa kutofautisha brand ya mda mrefu na beginner.
 
Back
Top Bottom