Ufugaji na kilimo unalipa sana

Ufugaji na kilimo unalipa sana

MalafyaleP tutakusumbua sana kwa mwaka huu kwa kweli maana hii kitu ni nzuri sana kama ukiamua na ukijiwekea lengo Kongosho kwa kweli ni aibu mtoto hajui mahindi yanakuaje au hajui ufuta au hajawahi kuona ng'ombe au mbuzi wakifugwa ni aibu sana
 
Last edited by a moderator:
Ndio maana vitoto vya siku hizi vinajiita vifugaji, kisa vimefuga ndevu na dred, vinaudhi mno.

Utashanga mtoto anaona kipepeo anakimbia mbio, eti kaona mdudu mkuubwa. Tutaishia kulaumu watoto.
Huyu malafyale tutamsumbua sana kwa ushauri.

MalafyaleP tutakusumbua sana kwa mwaka huu kwa kweli maana hii kitu ni nzuri sana kama ukiamua na ukijiwekea lengo Kongosho kwa kweli ni aibu mtoto hajui mahindi yanakuaje au hajui ufuta au hajawahi kuona ng'ombe au mbuzi wakifugwa ni aibu sana
 
Ndio maana vitoto vya siku hizi vinajiita vifugaji, kisa vimefuga ndevu na dred, vinaudhi mno.

Utashanga mtoto anaona kipepeo anakimbia mbio, eti kaona mdudu mkuubwa. Tutaishia kulaumu watoto.
Huyu malafyale tutamsumbua sana kwa ushauri.

Kweli kabisa Kongosho unajua ukiwapeleka shamba weekend wakaenda kucheza au kufukuzana na panzi na njiwa huko shambani au sehem nyingine wakikutana na tumbili wakachafuka lile vumbi la shamba hawatakuwa kama hawa unaowaona mtaani wamevaa milegezo na kusokota dread
 
Last edited by a moderator:
Mkuu malafyale, nikupe pongezi kwa hatua uliyofikia, labda unisaidie, Mimì nalima alizeti na mahindi huko huko Morogoro kijiji cha Kipera kipo Karibu na Mzumbe, Nina shamba ekari 18 nataka nilime ekari 15 mwaka huu, wewe unatumia wataalamu? Na kwa ekari huwa unapata gunia ngapi za alizeti kama unatumia mbegu ya record 52?
Mr.misonge,
Gunia 15 per eka na hapo nililima pamoja na mahindi.ndo naandaa shamba nataka nilime alizeti bila kuchanganga na mahindi.
Kwa kweli mtaalam wangu amekuwa kitabu.nimekuwa nikisoma blogs.threads na publication mbalimbali then na implement.pia ushauri kwa watu wengine wenye uzoefu.
Siri ni action baada ya kupata enough facts kuanza.kuna kitu kinaitwa over researching na over analysis ambayo hupelekea procrastination.changamoto na struggle ni muhimu kwa mtu kufanikiwa.
Nashauri kila anaefikiria kufanya ujasiriamali asome kitabu "Before You Quit Your Job" by Robert Kiyosaki.kiyosaki anaelezea vizuri kwa nn watu wengi wanaogopa ujasiriamali.
 
Ahsante kwa maelezo yako, mimi nililima mwaka Jana bila kutumia mbolea, ni lazima kutumia mbolea?japokuwa ardhi yake haijawahi kulimwa Malafyale
 
Last edited by a moderator:
Wana JF,
Nimeona mm pia nitoe testimonial kwa faida ya wajasiriamali wanaopenda kilimo na ufugaji.
Ndoto yangu imekuwa kutafuta ujasiriamali utakaoniwezesha kuachana na ajira at 40yrs.Baada ya kujaribu biashara mbalimbali nikagundua kuwa faida zilizopo kwenye kilimo na ufugaji ni kubwa mno especially kama una kamtaji ka kuanzia kapo.Nikaanza kutafuta mashamba.Nikapata kadhaa ila hili la Maseyu ndilo hasa linazaa matunda.kwa wale wanajua morogoro road,hicho kijiji kipo baada ya bwawani au km6 kabla ya mikese.Shamba lipo km1.5 toka barabarani.Nilinunua eka 100 mwaka 2011.Immediately nikaanza kufyeka na kung'oa visiki.Nikalima eka10 za mahindi na alizeti mwishoni 2012.Nililima eka 2 za tikiti maji.mazao yanastawi si mchezo.masika ya 2013 nikalima eka 20 za alizeti na mahindi.pia nikaanzisha mradi wa nguruwe.
Nilianza na nguruwe 8 jike na dume mmoja.sasa nina nguruwe kama 70 hv.Nilipata changamoto kidogo,nguruwe watatu walikufa.kwa changamoto hizo nimepata uzoefu mkubwa. Mambo mengi kama kuchoma chanjo na kutibu baadhi ya magonjwa naweza kufanya mwenyewe kwa maana madaktari nao ni changamoto.nategemea kuanza kuuza nguruwe wakubwa by April.wadogo nauza though soko lake sio kubwa sana.
Pamoja na upunyufu wa mvuA mazao yangu ya vule yamekomaa.nna tikiti kama eka10 na mahindi kama eka25.
Nextmonth nategemea kulima eka kama 70 hv.nataka kulima mahindi,alizeti,ufuta,mtama na maboga.vyote kwa biashara na chakula ya mifugo yangu.
Nataka niweze kuuza nguruwe 20 kila mwezi by this year.
Mwaka jana nimevuna zaidi ya gunia 200 za mahindi na 150 za alizeti.fuso 2 za tikiti maji.Cha zaidi nimetoa ajira kwa vijana kazaa
Tatizo la maji shambani nimetatua last year kwa ku design bwawa na matank cheap.
Karibuni wajasiriamali,future ipo kwenye kilimo.unauza mazao yako hamna mtu anakuuliza kodi! Hahaa

Heka 100 ulinunua kwa sh ngapi? Ulianza lini kufuga nguruwe au 9 na mpka leo wapo 70? Maelezo mengi hayajakamilika gunia 200 na 150. Ulilima lini?
 
Wana JF,
Nimeona mm pia nitoe testimonial kwa faida ya wajasiriamali wanaopenda kilimo na ufugaji.
Ndoto yangu imekuwa kutafuta ujasiriamali utakaoniwezesha kuachana na ajira at 40yrs.Baada ya kujaribu biashara mbalimbali nikagundua kuwa faida zilizopo kwenye kilimo na ufugaji ni kubwa mno especially kama una kamtaji ka kuanzia kapo.Nikaanza kutafuta mashamba.Nikapata kadhaa ila hili la Maseyu ndilo hasa linazaa matunda.kwa wale wanajua morogoro road,hicho kijiji kipo baada ya bwawani au km6 kabla ya mikese.Shamba lipo km1.5 toka barabarani.Nilinunua eka 100 mwaka 2011.Immediately nikaanza kufyeka na kung'oa visiki.Nikalima eka10 za mahindi na alizeti mwishoni 2012.Nililima eka 2 za tikiti maji.mazao yanastawi si mchezo.masika ya 2013 nikalima eka 20 za alizeti na mahindi.pia nikaanzisha mradi wa nguruwe.
Nilianza na nguruwe 8 jike na dume mmoja.sasa nina nguruwe kama 70 hv.Nilipata changamoto kidogo,nguruwe watatu walikufa.kwa changamoto hizo nimepata uzoefu mkubwa. Mambo mengi kama kuchoma chanjo na kutibu baadhi ya magonjwa naweza kufanya mwenyewe kwa maana madaktari nao ni changamoto.nategemea kuanza kuuza nguruwe wakubwa by April.wadogo nauza though soko lake sio kubwa sana.
Pamoja na upunyufu wa mvuA mazao yangu ya vule yamekomaa.nna tikiti kama eka10 na mahindi kama eka25.
Nextmonth nategemea kulima eka kama 70 hv.nataka kulima mahindi,alizeti,ufuta,mtama na maboga.vyote kwa biashara na chakula ya mifugo yangu.
Nataka niweze kuuza nguruwe 20 kila mwezi by this year.
Mwaka jana nimevuna zaidi ya gunia 200 za mahindi na 150 za alizeti.fuso 2 za tikiti maji.Cha zaidi nimetoa ajira kwa vijana kazaa
Tatizo la maji shambani nimetatua last year kwa ku design bwawa na matank cheap.
Karibuni wajasiriamali,future ipo kwenye kilimo.unauza mazao yako hamna mtu anakuuliza kodi! Hahaa

Hongera sana mkuu,hakika hiki ulichokisema ni mwarobaini tosha kwa wanaotaka kujiajiri,sema tu tatizo kubwa huwa linakuwa ni mtaji,kwani haya mambo huwa si rahisi kama tunavyochapa herufi ktk komputer zetu.inahitaji uvumilivu wa hali ya juu ilikuweza kufikia malengo.
Nikupongeze kwa hili,lakini ni vyema ukaweka wazi maana upatikanaji wa aridhi kubwa kiasi hicho si rahisi namna hii,je ni njia zipi unazitumia kuwa aridhi kubwa kiasi hicho? je unakodi ama ni zako unamiliki? maana hapo ndipo kwenye tatizo,mtaji wa aridhi na mtaji wa pesa
Kazi nzuri kwakweli,hongera sana
 
Hongera sana mkuu,hakika hiki ulichokisema ni mwarobaini tosha kwa wanaotaka kujiajiri,sema tu tatizo kubwa huwa linakuwa ni mtaji,kwani haya mambo huwa si rahisi kama tunavyochapa herufi ktk komputer zetu.inahitaji uvumilivu wa hali ya juu ilikuweza kufikia malengo.
Nikupongeze kwa hili,lakini ni vyema ukaweka wazi maana upatikanaji wa aridhi kubwa kiasi hicho si rahisi namna hii,je ni njia zipi unazitumia kuwa aridhi kubwa kiasi hicho? je unakodi ama ni zako unamiliki? maana hapo ndipo kwenye tatizo,mtaji wa aridhi na mtaji wa pesa
Kazi nzuri kwakweli,hongera sana
Ardhi zipo kaka.ukitaka unapata.If u search u will find!pia sio lazima uanze na shamba unalodhani kubwa! Kuhusu mtaji ili mradi una kipato fulani waweza kuwa na mtaji kiasi fulani!
Jaribu kusoma kitabu kinaitwa "the richest man in babylon" by George Clason.wanauza sh.10,000 tu lakini ukisoma maisha yako yatakuwa tofauti sana.
Pia tafuta ebook kwenye google inaitwa the law of success by Napoelon Hill.soma lesson 2 hadi7
Kaka muhimu ni strong desire ya kutaka kuachieve kitu fulani
 
Huku ndo kwa kushinda na kupata maujuzi. Sio kila siku lema,kinana,mbowe zitto,

Kwa kweli! Na ukichunguza sana baadhi ya hao wanaobishana ktk majina tajwa hata kibanda cha kuku wa5 wanashindwa kuanzisha!
 
Ndio maana vitoto vya siku hizi vinajiita vifugaji, kisa vimefuga ndevu na dred, vinaudhi mno.

Utashanga mtoto anaona kipepeo anakimbia mbio, eti kaona mdudu mkuubwa. Tutaishia kulaumu watoto.
Huyu malafyale tutamsumbua sana kwa ushauri.
Tupo pamoja wakuu.kesho naamka mapema naenda kuangalia maendeleo shambani kabla ya kurudi kwa mwajiri kuwajibika
 
Wana JF,
Nimeona mm pia nitoe testimonial kwa faida ya wajasiriamali wanaopenda kilimo na ufugaji.
Ndoto yangu imekuwa kutafuta ujasiriamali utakaoniwezesha kuachana na ajira at 40yrs.Baada ya kujaribu biashara mbalimbali nikagundua kuwa faida zilizopo kwenye kilimo na ufugaji ni kubwa mno especially kama una kamtaji ka kuanzia kapo.Nikaanza kutafuta mashamba.Nikapata kadhaa ila hili la Maseyu ndilo hasa linazaa matunda.kwa wale wanajua morogoro road,hicho kijiji kipo baada ya bwawani au km6 kabla ya mikese.Shamba lipo km1.5 toka barabarani.Nilinunua eka 100 mwaka 2011.Immediately nikaanza kufyeka na kung'oa visiki.Nikalima eka10 za mahindi na alizeti mwishoni 2012.Nililima eka 2 za tikiti maji.mazao yanastawi si mchezo.masika ya 2013 nikalima eka 20 za alizeti na mahindi.pia nikaanzisha mradi wa nguruwe.
Nilianza na nguruwe 8 jike na dume mmoja.sasa nina nguruwe kama 70 hv.Nilipata changamoto kidogo,nguruwe watatu walikufa.kwa changamoto hizo nimepata uzoefu mkubwa. Mambo mengi kama kuchoma chanjo na kutibu baadhi ya magonjwa naweza kufanya mwenyewe kwa maana madaktari nao ni changamoto.nategemea kuanza kuuza nguruwe wakubwa by April.wadogo nauza though soko lake sio kubwa sana.
Pamoja na upunyufu wa mvuA mazao yangu ya vule yamekomaa.nna tikiti kama eka10 na mahindi kama eka25.
Nextmonth nategemea kulima eka kama 70 hv.nataka kulima mahindi,alizeti,ufuta,mtama na maboga.vyote kwa biashara na chakula ya mifugo yangu.
Nataka niweze kuuza nguruwe 20 kila mwezi by this year.
Mwaka jana nimevuna zaidi ya gunia 200 za mahindi na 150 za alizeti.fuso 2 za tikiti maji.Cha zaidi nimetoa ajira kwa vijana kazaa
Tatizo la maji shambani nimetatua last year kwa ku design bwawa na matank cheap.
Karibuni wajasiriamali,future ipo kwenye kilimo.unauza mazao yako hamna mtu anakuuliza kodi! Hahaa

Mzee Nashukuru, umenisaidia sana!
 
Ardhi zipo kaka.ukitaka unapata.If u search u will find!pia sio lazima uanze na shamba unalodhani kubwa! Kuhusu mtaji ili mradi una kipato fulani waweza kuwa na mtaji kiasi fulani!
Jaribu kusoma kitabu kinaitwa "the richest man in babylon" by George Clason.wanauza sh.10,000 tu lakini ukisoma maisha yako yatakuwa tofauti sana.
Pia tafuta ebook kwenye google inaitwa the law of success by Napoelon Hill.soma lesson 2 hadi7
Kaka muhimu ni strong desire ya kutaka kuachieve kitu fulani

kaka asante sana, nimekipata kitabu hiki "the law of success by Napoelon Hill" kina page 130 na pia nimekipata kitabu hiki "the richest man in babylon" http://www.ccsales.com/the_richest_man_in_babylon.pdf

ngoja nikipitie
 
Nashkuru mkuu nitavisoma hivyo vitabu ili nizidi kujiimarisha katika ufugaji,kwa kiasi kikubwa umenishawishi kuingia katika kilimo shukurani sana..
Ardhi zipo kaka.ukitaka unapata.If u search u will find!pia sio lazima uanze na shamba unalodhani kubwa! Kuhusu mtaji ili mradi una kipato fulani waweza kuwa na mtaji kiasi fulani!
Jaribu kusoma kitabu kinaitwa "the richest man in babylon" by George Clason.wanauza sh.10,000 tu lakini ukisoma maisha yako yatakuwa tofauti sana.
Pia tafuta ebook kwenye google inaitwa the law of success by Napoelon Hill.soma lesson 2 hadi7
Kaka muhimu ni strong desire ya kutaka kuachieve kitu fulani
 
Kwa kiasi kikubwa UFUTA unakubali maeneo mengi 7bu hauhitaji MVUA nyingi! ziko mbegu aina nyingi mfano,LINDI 2OO2 hii ukitunza shamba vzr unavuna 1-1.2tons Mbegu kwenye maduka ya Pembejeo ila kuwa makini na kitu FEKI Ukiwa seriuos nishtue
Mkuu uko serious kuwa kuna mbegu inayoweza kutoa tani 1 mpaka 1.2?? kwa ufuta kwa heka??

Maana mie najua mbegu tunazotumia huku rufiji ni kilo 300 wastani kwa heka.
Kama ipo mkuu hebu funguka vizuri mkuu maana ni habari njema sana hasa ukizingatia kuwa mwaka huu kuna watu wameuza ufuta tsh 7500 kwa kilo huku Rufiji aiseee
 
Heri ya mwaka mpya! za siku nzuri, hongera kwa shamba kubwa, rufiji kweli kuzuri na lile mto duh mamba tuu hahaaa. Kuhusu mbuzi ninavyoelewa inashauriwa wawe na nafasi ya kuwa huru kufanya mazoezi kucheza wale wadogo nk. Pamoja na hayo ukubwa wa eneo la kulishia inategemea kilichomo ktk eneo kama ni majani tu ya kawaida yasiyo na virutubisho vya protein au umeotesha na mikunde au unawapa supplements za nafaka na za viwandani. Eka moja kwa kwa mwaka mzima inatosha mbuzi 15 maximum kama wanakula hapo tu hawapewi majani mengine wala kupelekwa kula nje. Utaona kuwa kama unawaletea chakula kwa kukata majani sehemu nyingine na kuwalisha basi eneo linalohitajika ni dogo zaidi mradi tu iwepo nafasi kwa wao kucheza na kufanya mazoezi. Kingine kinachoamua kuhusu nafasi ni minyoo na wadudu wa magonjwa, iwapo unawalisha eneo moja miaka yote jiandae kuwatibu minyoo na magonjwa, lakini ukiwa zungusha na kuwahamisha eneo likakaa hata mwaka bila kutumika na wao utapunguza uambukizo kwani minyoo itakufa na majani yatakuwa yameota vizuri. Kuhusu hii ya magonjwa inaweza fupishwa muda kwa kuwaweka kuku nyuma ya eneo walilokuwa mbuzi ili watakula wale vijidudu na kusafisha eneo wakati majani yakiota. Kifupi ni wewe mwenyewe kuangalia enao lako ukijaza mbuzi likawa kipara ktk muda mfupi basi itabidi uhamie eneo jingine ili nyasi ziote na kwa afya zao utajitahidi walau kwa mwaka kulipumzisha eneo ili vijidudu sugu vife. waweza tenganisha eneo moja toka eneo jingine kwa kupanda miti ya mikunde kama leucaena, moringa/mlonge na colliandra (sp) kama fence ambayo watakuwa wakiila pamoja na majani. Kwa iyo idadi kwa kweli ni mtu mwenyewe utakavyoweza kuchagua mfumo gani unatumia huria au. Kuhusu soko ni kama mdau aliyeleta uzi wa kuuza mbuzi bei yake ni 75 - 80 elfu kwa Dar na soko lipo tu maana licha ya groceries, bar, hotel hata bucha zote zinauza mbuzi na wenye kumbi za sherehe kwa ajili ya ndafu. Kwa muda mrefu tulikuwa tumezoea kuvizia safari za aidha Dodoma au Arusha au Moshi karibu na Xmas ili tununue mbuzi waliochinjwa mnadani (Dodoma) au barabarani Korogwe, nafikiri ukiwa mbunifu waweza kamata soko njia yako ukawauzia watu wanaopita kurudi Dar wakiwa wazima au waliochinjwa. Kuna mdau ameshauari kwa mbuzi walio wengi waweza tafuta soko hadi nje, kwaiyo kama unafikiria kufuga wengi hili nalo la kulipa kipaumbele.

Safi sana Mama Joe naona unagusa angle ninazozitaka tupu.

Naona changamoto kubwa ya kufuga mbuzi ni urundikaji wa mbuzi(population density) kwa eneo na ugonjwa unaotesa hasa ni minyoo,
Nakuja na wazo kuwa kama nitawalimia majani na nikatenga eneo maalumu kwa ajili ya kuwalimia virutubisho na ulaji wao ukawa ni wa kuwakatia majani naona ninaweza kuweka mbuzi hata 50 kwa hekari na nikawawekea na eneo la kucheza cheza

Hio mimea uliyoiongelea kama mlonge longe na calliandra kuna bwana mifugo kanitonya hapa kama uatweza kuwalisha mbuzi kama suppliments inawafanya mbuzi waongezeke uwezo wao wa kukua kwa siku kutoka gramu 900 kwa siku mpaka 1200 kwa siku kwa sababu ya high content ya protein, maana yake ni kuwa mbuzi badala ya kukua kwa miezi 6 yeye atakua kwa miezi 4 tu. Hii ni habari njema sana.

Changamoto bado naiona katika masoko. Kama ninatweza kuzalisha mbuzi 30,000 kwa mwaka niaweza kuwaingiza woote sokoni ndani ya mwaka mmoja hata kama ni kwa bei ya jumla ya tsh 60,000 maana nawalisha kwa kuwalimia majani na kuchelewa kwao kuingia sokoni ni hasara sana.
 
Back
Top Bottom