Ufugaji na kilimo unalipa sana

Ufugaji na kilimo unalipa sana

Ni kweli changamoto ni urundikaji , chakula na malazi bora. Wengi hawawapi virutubisho zaidi ya majani ya kawaida tu, pia wengi wanawalaza chini pamoja na vinyesi vyao: magonjwa ya miguu. Ukiwapa mikunde unapunguza sana utumiaji wa concentrates za nafaka ila unashauriwa isizidi 30% ya chakula chao. Mwanzo niliitafuta sana kumbe imejaa tele hasa leucaena wanayoiita 'the alfalfa of Tanzania' mbegu unazoa tu na zinaota. Mkalianda wenye maua wanauita mti Xmas wa Dar, mlonge pia mbegu zake zipo na huu hata ukizidi 30% ni salama tu kwa wanyama wote. Mimi sina eneo kubwa nitawajaza tu na nikipata mapori yasiyolimwa nawatoa kuwalisha. Kikubwa ni invest kwenye malazi. Soko gawa hiyo idadi kwa mwezi na uanze kuulizia mapema. Pia ungepata mfano wa eneo la depot Dar ingekusaidia kuepuka pressure ya kuuza bei ndogo vingunguti kwa kuogopa gharama ya kukodi malazi yao.
Safi sana Mama Joe naona unagusa angle ninazozitaka tupu.

Naona changamoto kubwa ya kufuga mbuzi ni urundikaji wa mbuzi(population density) kwa eneo na ugonjwa unaotesa hasa ni minyoo,
Nakuja na wazo kuwa kama nitawalimia majani na nikatenga eneo maalumu kwa ajili ya kuwalimia virutubisho na ulaji wao ukawa ni wa kuwakatia majani naona ninaweza kuweka mbuzi hata 50 kwa hekari na nikawawekea na eneo la kucheza cheza

Hio mimea uliyoiongelea kama mlonge longe na calliandra kuna bwana mifugo kanitonya hapa kama uatweza kuwalisha mbuzi kama suppliments inawafanya mbuzi waongezeke uwezo wao wa kukua kwa siku kutoka gramu 900 kwa siku mpaka 1200 kwa siku kwa sababu ya high content ya protein, maana yake ni kuwa mbuzi badala ya kukua kwa miezi 6 yeye atakua kwa miezi 4 tu. Hii ni habari njema sana.

Changamoto bado naiona katika masoko. Kama ninatweza kuzalisha mbuzi 30,000 kwa mwaka niaweza kuwaingiza woote sokoni ndani ya mwaka mmoja hata kama ni kwa bei ya jumla ya tsh 60,000 maana nawalisha kwa kuwalimia majani na kuchelewa kwao kuingia sokoni ni hasara sana.
 
Wana JF,
Nimeona mm pia nitoe testimonial kwa faida ya wajasiriamali wanaopenda kilimo na ufugaji.
Ndoto yangu imekuwa kutafuta ujasiriamali utakaoniwezesha kuachana na ajira at 40yrs.Baada ya kujaribu biashara mbalimbali nikagundua kuwa faida zilizopo kwenye kilimo na ufugaji ni kubwa mno especially kama una kamtaji ka kuanzia kapo.Nikaanza kutafuta mashamba.Nikapata kadhaa ila hili la Maseyu ndilo hasa linazaa matunda.kwa wale wanajua morogoro road,hicho kijiji kipo baada ya bwawani au km6 kabla ya mikese.Shamba lipo km1.5 toka barabarani.Nilinunua eka 100 mwaka 2011.Immediately nikaanza kufyeka na kung'oa visiki.Nikalima eka10 za mahindi na alizeti mwishoni 2012.Nililima eka 2 za tikiti maji.mazao yanastawi si mchezo.masika ya 2013 nikalima eka 20 za alizeti na mahindi.pia nikaanzisha mradi wa nguruwe.
Nilianza na nguruwe 8 jike na dume mmoja.sasa nina nguruwe kama 70 hv.Nilipata changamoto kidogo,nguruwe watatu walikufa.kwa changamoto hizo nimepata uzoefu mkubwa. Mambo mengi kama kuchoma chanjo na kutibu baadhi ya magonjwa naweza kufanya mwenyewe kwa maana madaktari nao ni changamoto.nategemea kuanza kuuza nguruwe wakubwa by April.wadogo nauza though soko lake sio kubwa sana.
Pamoja na upunyufu wa mvuA mazao yangu ya vule yamekomaa.nna tikiti kama eka10 na mahindi kama eka25.
Nextmonth nategemea kulima eka kama 70 hv.nataka kulima mahindi,alizeti,ufuta,mtama na maboga.vyote kwa biashara na chakula ya mifugo yangu.
Nataka niweze kuuza nguruwe 20 kila mwezi by this year.
Mwaka jana nimevuna zaidi ya gunia 200 za mahindi na 150 za alizeti.fuso 2 za tikiti maji.Cha zaidi nimetoa ajira kwa vijana kazaa
Tatizo la maji shambani nimetatua last year kwa ku design bwawa na matank cheap.
Karibuni wajasiriamali,future ipo kwenye kilimo.unauza mazao yako hamna mtu anakuuliza kodi! Hahaa

Nakubaliana nawe, ukiwekeza kwenye kilimo & ufugaji kwa umakini kuna faida. Hongera sn mkuu.....
 
Hongera sana mkuu,hakika hiki ulichokisema ni mwarobaini tosha kwa wanaotaka kujiajiri,sema tu tatizo kubwa huwa linakuwa ni mtaji,kwani haya mambo huwa si rahisi kama tunavyochapa herufi ktk komputer zetu.inahitaji uvumilivu wa hali ya juu ilikuweza kufikia malengo.
Nikupongeze kwa hili,lakini ni vyema ukaweka wazi maana upatikanaji wa aridhi kubwa kiasi hicho si rahisi namna hii,je ni njia zipi unazitumia kuwa aridhi kubwa kiasi hicho? je unakodi ama ni zako unamiliki? maana hapo ndipo kwenye tatizo,mtaji wa aridhi na mtaji wa pesa
Kazi nzuri kwakweli,hongera sana

Kaka, heka mia mbona ni tone la mvua mkuu, Kwa hakika ardhi bado bure hapa Bongo, mimi nilinunua ekari60 kwa chini ya laki nne, nikaongeza sasa ninazo mia mbili kama na sabini, haijazidi millioni tano!!! Jamaa naona alinunua millioni 10 eka mia, bado cheap. Kama uko serious unataka maeneo wewe tangaza hapa uone watu wanakuelekeza pa kuyapata. KAMATENI MAENEO KABLA WAWEKEZAJI HAWAJAYAGAWANA! Mimi nna project naitaka sana, bado najikusanya na mtaji, nitahitaji eka kama laki moja sehem yenye mto, nahangaikia kianzio tu, IGEMBE SABHO!
 
Huku ndo kwa kushinda na kupata maujuzi. Sio kila siku lema,kinana,mbowe zitto,

Ha ha ha ha ha haaaaa.......
Umenifurahisha kaka na hizo sentensi zako mbili hapo juu. Nyie mnawajadili (hao ulowataja), wenzenu wanaingiza kipato!!!
 
Kaka, heka mia mbona ni tone la mvua mkuu, Kwa hakika ardhi bado bure hapa Bongo, mimi nilinunua ekari60 kwa chini ya laki nne, nikaongeza sasa ninazo mia mbili kama na sabini, haijazidi millioni tano!!! Jamaa naona alinunua millioni 10 eka mia, bado cheap. Kama uko serious unataka maeneo wewe tangaza hapa uone watu wanakuelekeza pa kuyapata. KAMATENI MAENEO KABLA WAWEKEZAJI HAWAJAYAGAWANA! Mimi nna project naitaka sana, bado najikusanya na mtaji, nitahitaji eka kama laki moja sehem yenye mto, nahangaikia kianzio tu, IGEMBE SABHO!

kaka ktk red,hili ni jambo la msingi sana,mimi nimenunua kilosa eka 10 kwa milioni 3 nadhani bei inatofautian kulingana na meneo
 
Wana JF,
Nimeona mm pia nitoe testimonial kwa faida ya wajasiriamali wanaopenda kilimo na ufugaji.
Ndoto yangu imekuwa kutafuta ujasiriamali utakaoniwezesha kuachana na ajira at 40yrs.Baada ya kujaribu biashara mbalimbali nikagundua kuwa faida zilizopo kwenye kilimo na ufugaji ni kubwa mno especially kama una kamtaji ka kuanzia kapo.Nikaanza kutafuta mashamba.Nikapata kadhaa ila hili la Maseyu ndilo hasa linazaa matunda.kwa wale wanajua morogoro road,hicho kijiji kipo baada ya bwawani au km6 kabla ya mikese.Shamba lipo km1.5 toka barabarani.Nilinunua eka 100 mwaka 2011.Immediately nikaanza kufyeka na kung'oa visiki.Nikalima eka10 za mahindi na alizeti mwishoni 2012.Nililima eka 2 za tikiti maji.mazao yanastawi si mchezo.masika ya 2013 nikalima eka 20 za alizeti na mahindi.pia nikaanzisha mradi wa nguruwe.
Nilianza na nguruwe 8 jike na dume mmoja.sasa nina nguruwe kama 70 hv.Nilipata changamoto kidogo,nguruwe watatu walikufa.kwa changamoto hizo nimepata uzoefu mkubwa. Mambo mengi kama kuchoma chanjo na kutibu baadhi ya magonjwa naweza kufanya mwenyewe kwa maana madaktari nao ni changamoto.nategemea kuanza kuuza nguruwe wakubwa by April.wadogo nauza though soko lake sio kubwa sana.
Pamoja na upunyufu wa mvuA mazao yangu ya vule yamekomaa.nna tikiti kama eka10 na mahindi kama eka25.
Nextmonth nategemea kulima eka kama 70 hv.nataka kulima mahindi,alizeti,ufuta,mtama na maboga.vyote kwa biashara na chakula ya mifugo yangu.
Nataka niweze kuuza nguruwe 20 kila mwezi by this year.
Mwaka jana nimevuna zaidi ya gunia 200 za mahindi na 150 za alizeti.fuso 2 za tikiti maji.Cha zaidi nimetoa ajira kwa vijana kazaa
Tatizo la maji shambani nimetatua last year kwa ku design bwawa na matank cheap.
Karibuni wajasiriamali,future ipo kwenye kilimo.unauza mazao yako hamna mtu anakuuliza kodi! Hahaa


naomba nijue hapo shambani kwako chanzo kikuu cha maji ni nini?
kuna mto wa mwaka mzima?
umechimba kisima?
gharama ya kisima huko ikoje?
ni umbali gani kutoka moro mjini...
 
naomba nijue hapo shambani kwako chanzo kikuu cha maji ni nini?
kuna mto wa mwaka mzima?
umechimba kisima?
gharama ya kisima huko ikoje?
ni umbali gani kutoka moro mjini...
Tumeweka mifumo ya kuvuna maji ya kutosha.
Ni km30 kutoka morogoro,ni karibu na mikese
 
Za siku Mama Joe, Naona umeongelea mbuzi hapa, vipi biashara yake kwa Dar inalipa, nina hekari kama 70 hivi Rufiji huko pembeni ya mto na kwa tahmini ya haraka ardhi ya huko inakubali sana majani yale marefu yanayoliwa na mifugo na maji yapo ya kutosha,

Nilikuwa ninampango wa kufuga nguruwe ila naona wakazi wengi pale ni waislamu na mto tunashare nao kwa hiyo kelele ni nyingi si unajua tena, na wao ndio wenyeji wangu.

Kama una info zozote za Mbuzi hasa wale wanao zaa mapacha naomba unipe kwa maana ya bei ya sokoni na ni wangapi wanaweza kutunzwa kwa hekari moja maana nitakuwa nawalimia majani(maji yapo ya kutosha mwaka mzima).

Shukrani sana
Mkuu kwanini usitenge eneo kidogo kwa ajili ya kufuga samaki?
 
Wana JF,
Nimeona mm pia nitoe testimonial kwa faida ya wajasiriamali wanaopenda kilimo na ufugaji.
Ndoto yangu imekuwa kutafuta ujasiriamali utakaoniwezesha kuachana na ajira at 40yrs.Baada ya kujaribu biashara mbalimbali nikagundua kuwa faida zilizopo kwenye kilimo na ufugaji ni kubwa mno especially kama una kamtaji ka kuanzia kapo.Nikaanza kutafuta mashamba.Nikapata kadhaa ila hili la Maseyu ndilo hasa linazaa matunda.kwa wale wanajua morogoro road,hicho kijiji kipo baada ya bwawani au km6 kabla ya mikese.Shamba lipo km1.5 toka barabarani.Nilinunua eka 100 mwaka 2011.Immediately nikaanza kufyeka na kung'oa visiki.Nikalima eka10 za mahindi na alizeti mwishoni 2012.Nililima eka 2 za tikiti maji.mazao yanastawi si mchezo.masika ya 2013 nikalima eka 20 za alizeti na mahindi.pia nikaanzisha mradi wa nguruwe.
Nilianza na nguruwe 8 jike na dume mmoja.sasa nina nguruwe kama 70 hv.Nilipata changamoto kidogo,nguruwe watatu walikufa.kwa changamoto hizo nimepata uzoefu mkubwa. Mambo mengi kama kuchoma chanjo na kutibu baadhi ya magonjwa naweza kufanya mwenyewe kwa maana madaktari nao ni changamoto.nategemea kuanza kuuza nguruwe wakubwa by April.wadogo nauza though soko lake sio kubwa sana.
Pamoja na upunyufu wa mvuA mazao yangu ya vule yamekomaa.nna tikiti kama eka10 na mahindi kama eka25.
Nextmonth nategemea kulima eka kama 70 hv.nataka kulima mahindi,alizeti,ufuta,mtama na maboga.vyote kwa biashara na chakula ya mifugo yangu.
Nataka niweze kuuza nguruwe 20 kila mwezi by this year.
Mwaka jana nimevuna zaidi ya gunia 200 za mahindi na 150 za alizeti.fuso 2 za tikiti maji.Cha zaidi nimetoa ajira kwa vijana kazaa
Tatizo la maji shambani nimetatua last year kwa ku design bwawa na matank cheap.
Karibuni wajasiriamali,future ipo kwenye kilimo.unauza mazao yako hamna mtu anakuuliza kodi! Hahaa

Uko wapi tuje kuona darase
 
Wana JF,
Nimeona mm pia nitoe testimonial kwa faida ya wajasiriamali wanaopenda kilimo na ufugaji.
Ndoto yangu imekuwa kutafuta ujasiriamali utakaoniwezesha kuachana na ajira at 40yrs.Baada ya kujaribu biashara mbalimbali nikagundua kuwa faida zilizopo kwenye kilimo na ufugaji ni kubwa mno especially kama una kamtaji ka kuanzia kapo.Nikaanza kutafuta mashamba.Nikapata kadhaa ila hili la Maseyu ndilo hasa linazaa matunda.kwa wale wanajua morogoro road,hicho kijiji kipo baada ya bwawani au km6 kabla ya mikese.Shamba lipo km1.5 toka barabarani.Nilinunua eka 100 mwaka 2011.Immediately nikaanza kufyeka na kung'oa visiki.Nikalima eka10 za mahindi na alizeti mwishoni 2012.Nililima eka 2 za tikiti maji.mazao yanastawi si mchezo.masika ya 2013 nikalima eka 20 za alizeti na mahindi.pia nikaanzisha mradi wa nguruwe.
Nilianza na nguruwe 8 jike na dume mmoja.sasa nina nguruwe kama 70 hv.Nilipata changamoto kidogo,nguruwe watatu walikufa.kwa changamoto hizo nimepata uzoefu mkubwa. Mambo mengi kama kuchoma chanjo na kutibu baadhi ya magonjwa naweza kufanya mwenyewe kwa maana madaktari nao ni changamoto.nategemea kuanza kuuza nguruwe wakubwa by April.wadogo nauza though soko lake sio kubwa sana.
Pamoja na upunyufu wa mvuA mazao yangu ya vule yamekomaa.nna tikiti kama eka10 na mahindi kama eka25.
Nextmonth nategemea kulima eka kama 70 hv.nataka kulima mahindi,alizeti,ufuta,mtama na maboga.vyote kwa biashara na chakula ya mifugo yangu.
Nataka niweze kuuza nguruwe 20 kila mwezi by this year.
Mwaka jana nimevuna zaidi ya gunia 200 za mahindi na 150 za alizeti.fuso 2 za tikiti maji.Cha zaidi nimetoa ajira kwa vijana kazaa
Tatizo la maji shambani nimetatua last year kwa ku design bwawa na matank cheap.
Karibuni wajasiriamali,future ipo kwenye kilimo.unauza mazao yako hamna mtu anakuuliza kodi! Hahaa

Mkuu hongera sana kwa kweli,ni ukweli usiofichika ukidhamiria kwa dhati kuwekeza kwenye kilimo na ufugaji lazima utakuja fanikiwa tu!kikubwa ni uvumilivu na dhamira,maana mwanzoni changamoto ni nyingi!kwa uzoefu wako mkuu kwa Morogoro ukilima mahindi kitaalamu kipindi cha masika,je katika uvunaji unaweza pata gunia ngapi minimum kwa heka moja?ahsante!
 
Mkuu hongera sana kwa kweli,ni ukweli usiofichika ukidhamiria kwa dhati kuwekeza kwenye kilimo na ufugaji lazima utakuja fanikiwa tu!kikubwa ni uvumilivu na dhamira,maana mwanzoni changamoto ni nyingi!kwa uzoefu wako mkuu kwa Morogoro ukilima mahindi kitaalamu kipindi cha masika,je katika uvunaji unaweza pata gunia ngapi minimum kwa heka moja?ahsante!
Gunia 25 utakuwa umepata sana
 
Wana JF,
Nimeona mm pia nitoe testimonial kwa faida ya wajasiriamali wanaopenda kilimo na ufugaji.
Ndoto yangu imekuwa kutafuta ujasiriamali utakaoniwezesha kuachana na ajira at 40yrs.Baada ya kujaribu biashara mbalimbali nikagundua kuwa faida zilizopo kwenye kilimo na ufugaji ni kubwa mno especially kama una kamtaji ka kuanzia kapo.Nikaanza kutafuta mashamba.Nikapata kadhaa ila hili la Maseyu ndilo hasa linazaa matunda.kwa wale wanajua morogoro road,hicho kijiji kipo baada ya bwawani au km6 kabla ya mikese.Shamba lipo km1.5 toka barabarani.Nilinunua eka 100 mwaka 2011.Immediately nikaanza kufyeka na kung'oa visiki.Nikalima eka10 za mahindi na alizeti mwishoni 2012.Nililima eka 2 za tikiti maji.mazao yanastawi si mchezo.masika ya 2013 nikalima eka 20 za alizeti na mahindi.pia nikaanzisha mradi wa nguruwe.
Nilianza na nguruwe 8 jike na dume mmoja.sasa nina nguruwe kama 70 hv.Nilipata changamoto kidogo,nguruwe watatu walikufa.kwa changamoto hizo nimepata uzoefu mkubwa. Mambo mengi kama kuchoma chanjo na kutibu baadhi ya magonjwa naweza kufanya mwenyewe kwa maana madaktari nao ni changamoto.nategemea kuanza kuuza nguruwe wakubwa by April.wadogo nauza though soko lake sio kubwa sana.
Pamoja na upunyufu wa mvuA mazao yangu ya vule yamekomaa.nna tikiti kama eka10 na mahindi kama eka25.
Nextmonth nategemea kulima eka kama 70 hv.nataka kulima mahindi,alizeti,ufuta,mtama na maboga.vyote kwa biashara na chakula ya mifugo yangu.
Nataka niweze kuuza nguruwe 20 kila mwezi by this year.
Mwaka jana nimevuna zaidi ya gunia 200 za mahindi na 150 za alizeti.fuso 2 za tikiti maji.Cha zaidi nimetoa ajira kwa vijana kazaa
Tatizo la maji shambani nimetatua last year kwa ku design bwawa na matank cheap.
Karibuni wajasiriamali,future ipo kwenye kilimo.unauza mazao yako hamna mtu anakuuliza kodi! Hahaa

Mkuu hebu tujikite hapo kwenye tikiti maji kwanza.

Kilimo chake ni cha miezi mingapi na mmea mmoja unatoa matunda mangapi yenye uzito gani??

Vipi gharama za kilimo na ugumu wake kwa maana ya magonjwa na athari za mifumo ya hali ya hewa??
 
Gunia 25 utakuwa umepata sana

Asante mkuu,unajua mwenyewe nimepata eneo kama heka tano mkoani Morogoro,ila ni shamba jipya (halijawahi kulimwa) nilikua na plan kwa masika hii nipande mahindi heka zote tano,ila kuna watu wananiambia kua mahindi kwa shamba jipya unaweza usipate hata gunia 7 kwa msimu wa kwanza,ukweli walinikatisha tamaha ndio maana nikaona nipate uzoefu wako!
 
Asante mkuu,unajua mwenyewe nimepata eneo kama heka tano mkoani Morogoro,ila ni shamba jipya (halijawahi kulimwa) nilikua na plan kwa masika hii nipande mahindi heka zote tano,ila kuna watu wananiambia kua mahindi kwa shamba jipya unaweza usipate hata gunia 7 kwa msimu wa kwanza,ukweli walinikatisha tamaha ndio maana nikaona nipate uzoefu wako!
Nadhani inategemea na sehemu.pia wenyeji wa morogoro generally ni wavivu.pia kwangu niliambiwa mengi.ni vema ku study hali ya hewa na kujaribu kidogo.kama eka 1 hv .kwa kawaida shamba jipya ndo linaleta mavuno mengi
 
Asante mkuu,unajua mwenyewe nimepata eneo kama heka tano mkoani Morogoro,ila ni shamba jipya (halijawahi kulimwa) nilikua na plan kwa masika hii nipande mahindi heka zote tano,ila kuna watu wananiambia kua mahindi kwa shamba jipya unaweza usipate hata gunia 7 kwa msimu wa kwanza,ukweli walinikatisha tamaha ndio maana nikaona nipate uzoefu wako!
Watu wa morogoro generally ni wavivu na hawajui.nilisikia mengi shambani kwangu pia.kwa kawaida shamba jipya linatakiwa likupe mazao mengi zaidi.
Unahitaji ku study hali ya hewa na kujaribu kidogo,eka moja say!
 
Back
Top Bottom