Ufugaji ni Utajiri, kilimo ni mali

Ufugaji ni Utajiri, kilimo ni mali

Hao unaowaona wapo kwenye iyo program ya eneo dogo. nimewachukua wakiwa wamekonda. baada ya siku 90 mkuu njoo uwaone. Tarehe 17 April. naanza kuwalisha
usiwe na mawazo ya walioshindwa.
Mkuu majani ya malisho umelima? Unawalishaje katika eneo dogo ngombe zaidi ya 50?
 
Ufugaji ni Utajiri
Ufugaji siyo kuku na nguruwe.
Tuamke
kilimo ni mali

Tutunze pesa zetu kwa muda mrefu ili tupate pesa ya kununua Ardhi, vifaa vya shamba kama Trector. miundobinu. nyumba. maji na njia za maji. uwezo wa kununua pembejeo. Nje ya hapo wengi watakata tamaa. sie wasomi tumetiwa upofu na nani. hujiulizi kwa nini mkulima analima mwaka adi mwaka lakini maisha yake mbona hayabadiliki.? na wewe unaenda eti na ki millioni mbili kuwekeza kwenye kilimo cha nyanya na unategemea millioni 20 nani kakudanganya wewe?

Mwezi wa Saba 2017 naenda kuvuna madume yangu ya ng'ombe yanipatie milioni 98. Milioni 50 naiwekeza Mjini. iliyobaki inanunua vidume vingine vya ng'ombe.

Siku Njema Wote[/QU
Habari za Jumapili Jamii. Kama kuna mtu ana kitabu cha ' THE RICHEST MAN IN BABYLON" BY GEORGE S. CLASON asaidie kukiattach apa. kina ujumbe ambayo natamani mtu yeyote ambaye hajakisoma akisome. ni kitabu maarufu sana.
haya wape wasome sisi tushasoma tukamaliza tukaelewa, huyo jamaa tunafanana project mi mfugaji pia hehe ee wabeja sana
 

Attachments

Ninachokisoma hapa ni wengi kuandika vitu ambavyo hawajawahi kuvifanya zaidi ya kusoma kwenye vitabu na kujifanya awanajua.
Umeseme kweli kabisa....watu wengi sana humu jf wanaandika hadithi,ukijaribu kwenda kuwatembelea hukuti chochote!
 
Natamani kufanya hii kitu muda mrefu ila nikakutana na vikwazo kadhaa.. naamini huu si mwisho kwako na utakuwa na mawazo ya kutanua zaidi.. natamani na mie niwe nao kama 100 kwa kuanzia.. Naomba uni PM namba yako tuone tunaweza kushirikiana vipi kwenye hii fursa.. I am serious and once i get your number i will give you a call right away.. Mimi nafanya kilimo zaidi kwa sasa
 
Back
Top Bottom