Ufugaji wa kisasa wa Sungura: Ushauri wa masoko na faida za ufugaji

Ufugaji wa kisasa wa Sungura: Ushauri wa masoko na faida za ufugaji

Chezeiya wajasiriamali wa kibongo wewe...wanalalamika soko soko ukiwapa wanaanza kujiuma uma...
 
wakuu heshima kwenu,
Kwa Mara adimu sana naleta kwenu biashara hii. Nipo dar ,
bei na mawasiliano mengine inbox au kupitia simu nambari 0759486281
Tafadhali usichelewe ili kuepusha lawama.
 
Tupia picha

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mkuu hii project ni nzuri,nimeona kwenye mtandao wakenya wengi wanajishughulisha na ufugaji wa sungura,na nyama ya sungura inapatikana hadi kwenye supermarket za kwao,sijui hapa kwetu soko lake liko vipi?labda waliokwishaingia kwenye hiyo project waje hapa kutueleza maana hawa sungura niliwahi kufuga zamani na hawana gharama kubwa sana katika matunzo.Asante!
 
Mnao nunua sungura msisahau na kununua mifuko ya cement kwa ajili ya kuzibia mashimo.

shimo 1 = mfuko 1 = sungura 1

Hii ilikuwa enzi zile za mababu zetu wakifuga sungura karne hii sungura anafugwa kwenye cage, mfano cage ya 3m. width, 3m length nd 2.5feet height unaweza weka sungura up to 10.

Na nivizuri kufuga kama biashara na sio kama hobbie kama unataka ona faida yake. Mfano jama kila siku anachoma sungura wawili na kila kipande anauza 3000*8*2=48000/= kwa siku je kwa mwezi ni sh ngapi?
 
Hii ilikuwa enzi zile za mababu zetu wakifuga sungura karne hii sungura anafugwa kwenye cage, mfano cage ya 3m. width, 3m length nd 2.5feet height unaweza weka sungura up to 10
Na nivizuri kufuga kama biashara na sio kama hobbie kama unataka ona faida yake. Mfano jama kila siku anachoma sungura wawili na kila kipande anauza 3000*8*2=48000/= kwa siku je kwa mwezi ni sh ngapi?????

Mkuu Ng'amba vipi soko la Sungura kwa hapa Tanzania hasa hasa Dar lipo vipi?naomba ujuzi wako kwenye hili kama hautojali

Kwa Dar sijui vizuri ila kwa hapa nilipo Uganda -Entebbe soko lipo saana na hata hotel nazo tayari zimeanza kuuza nyama ya sungura na hakuna,shida ya soko kwani wengi wanaipenda na kuisaka sana , so kama unawo wee anza na kuchinja mmoja,na mtengeneze vizuri ita majirani waonje halafu wape taalifa kuwa kama watahitaji nyama ya sungura inapatikana kwako utaona vile soko litakavyojitengeneza lenyewe
 
Hii ilikuwa enzi zile za mababu zetu wakifuga sungura karne hii sungura anafugwa kwenye cage, mfano cage ya 3m. width, 3m length nd 2.5feet height unaweza weka sungura up to 10
Na nivizuri kufuga kama biashara na sio kama hobbie kama unataka ona faida yake. Mfano jama kila siku anachoma sungura wawili na kila kipande anauza 3000*8*2=48000/= kwa siku je kwa mwezi ni sh ngapi?????
Idea nzuri sana mkuu.
 
Kwa Dar sijui vizuri ila kwa hapa nilipo Uganda -Entebbe soko lipo saana na hata hotel nazo tayari zimeanza kuuza nyama ya sungura na hakuna,shida ya soko kwani wengi wanaipenda na kuisaka sana , so kama unawo wee anza na kuchinja mmoja,na mtengeneze vizuri ita majirani waonje halafu wape taalifa kuwa kama watahitaji nyama ya sungura inapatikana kwako utaona vile soko litakavyojitengeneza lenyewe

Let's implement this.
 
Hi! For long Rabbit meat has been proved to be the Most healthy meat next to Fish. Rabbit farming is attractive not only as a source of protein , but also employment for young people! Kenya has done so well ! Now they have rabbit product processing factories and geared for export market. I have established a modern rabbit farming in Moshi and wish to disseminate the meat variety , imported from Kenya. Need contact growers to build volume. Welcome ALL!!! Dr swai : 0784 29 08 08 ; Email: eliafieswai@gmail.com
 
I was interested on that. Please put your topic in Kiswahili to attract more people here JF. Also add more details about that business, for example important skills, capital etc which are needed to initiate that business.
 
Sungura wa Nyama ufugaji wa Biashara: aina ya wanaofugwa inakua haraka hata kufikia kilo 6 ktk umri wa miezi 6. Nyama ni nyeupe na ina lishe nzuri na salama kwa afya. Sungura anaza vototo sita/nane. Mimba wiki 4.Chakula kikuu Majani.
 
Nimeipenda sana hii, hawa sungura maandaliz ya banda lao ikoje? Nasi wa dar ambao kupata majan ya kuwalisha ni ngumu inakuaje? Au wanakula vyakula vingine? Swai naomba msaada.
 
Unauzaje watoto wa sungura?
nikiwa Dar nitawapataje?
 
Hi...! Dr Swai
Congratulations for what u've decided am very interesting in small livestock's birds n fish
Am still in campus but soon i'll be out...i'll join you in this race
Keep it up
Keep learning from kenyans they have alot to learn
 
Sungura wa Nyama ufugaji wa Biashara: aina ya wanaofugwa inakua haraka hata kufikia kilo 6 ktk umri wa miezi 6. Nyama ni nyeupe na ina lishe nzuri na salama kwa afya. Sungura anaza vototo sita/nane. Mimba wiki 4.Chakula kikuu Majani.

Boss unafahamu ufugaji sungura kwa kina?..
 
Back
Top Bottom