Ufugaji wa kisasa wa Sungura: Ushauri wa masoko na faida za ufugaji

Ufugaji wa kisasa wa Sungura: Ushauri wa masoko na faida za ufugaji

Unauzaje watoto wa sungura?
nikiwa Dar nitawapataje?

Mkuu Boss, usiingie kwenye ufugaji huu kichwa kichwa, jitahidi kupata information muhimu kwanza, nitakupa kwa ufupi kwa kuwa sina muda sasa:-

1. Angalia usije kuuziwa sungura wetu wa kienyeji hawa hata ufuge vipi hawafiki kilo 5/6

2. Sungura bora ambao ni rahisi kupatikana hapa afrika nashariki ni New Zealand White California White na EA White or Kenya White

3. Ukitaka kufanikiwa zaidi na ufugaji huu, tenga madume peke yake na majike peke yake na pindi jike anapokuwa kwenye heat muhamishie kwenye kiota cha dume na baada ya "mounting" after a day or two mrudishe kwenye kiota chake

4. Sungura wako akisha jifungua make sure after three weeks unamtenganisha na watoto wake na baada ya muda atarudi tena kwenye heat kwa uzao mwingine.Mambo ni mengi na muda sina kwa sasa.

Ufugaji mwema
 
Nimeipenda sana hii, hawa sungura maandaliz ya banda lao ikoje? Nasi wa dar ambao kupata majan ya kuwalisha ni ngumu inakuaje? Au wanakula vyakula vingine? Swai naomba msaada.

sungura wanakula matunda pia...kabichi na baadhi ya mboga nyingine za kijani
 
Mkuu Boss, usiingie kwenye ufugaji huu kichwa kichwa, jitahidi kupata information muhimu kwanza, nitakupa kwa ufupi kwa kuwa sina muda sasa:-

1. Angalia usije kuuziwa sungura wetu wa kienyeji hawa hata ufuge vipi hawafiki kilo 5/6
2. Sungura bora ambao ni rahisi kupatikana hapa afrika nashariki ni New Zealand White California White na EA White or Kenya White
3. Ukitaka kufanikiwa zaidi na ufugaji huu, tenga madume peke yake na majike peke yake na pindi jike anapokuwa kwenye heat muhamishie kwenye kiota cha dume na baada ya "mounting" after a day or two mrudishe kwenye kiota chake
4. Sungura wako akisha jifungua make sure after three weeks unamtenganisha na watoto wake na baada ya muda atarudi tena kwenye heat kwa uzao mwingine.......mambo ni mengi na muda sina kwa sasa.

Ufugaji mwema


Ukipata mda tuelezee zaidi
nikiwa dar nawapataje?
wanauzwaje?
 
Ukipata mda tuelezee zaidi
nikiwa dar nawapataje?
wanauzwaje?

Kama unaweza kuwatega kwa mitego, utakuwa umetusaidia sana, hasa kipindi hiki cha mwezi wa February, March na April. Wapo wengi kweli kweli huku Simbalongo Kisarawe, usiku ndio hutoka na kutafuna mpunga mchanga unaoanza kuchipuka. Tuwasiliane mkuu, kwa siku unaweza kuondoka na sungura kati ya 20-50 inategemea na mitego yako.
 
Kama unaweza kuwatega kwa mitego, utakuwa umetusaidia sana, hasa kipindi hiki cha mwezi wa February, March na April. Wapo wengi kweli kweli huku Simbalongo Kisarawe, usiku ndio hutoka na kutafuna mpunga mchanga unaoanza kuchipuka. Tuwasiliane mkuu, kwa siku unaweza kuondoka na sungura kati ya 20-50 inategemea na mitego yako.

Kisarawe ndo unaishi?
umeacha thread za uchawi?
 
Vp kwa sisi tuliopo dar es salaam tunawezaje kufaidika na hii fursa
 
good business...as long as you keep you end of the bargain about markets
 
Mkurungezi kwa hapa Tanzania anaitwa Atukuzwe Nkya,ongea naye kwa simu yake moja kwa moja kwa wale mlioko dar,atakuwa hapo kuanzia kesho kwani kwa sasa yuko njiani kuja kwenu dar,0767598080, 0717598080
 
Sungura wa aina gani wanahusika na mkataba?
Wanafika uzito wa kuasi gani baada ya muda gani?
Mnaewanunua kwa kiasi gani toka kwa mkulima?
Mkataba na mkulima unahusisha maeneo gani?
 
Mkuu nitumie namba yako ya simu, the reason is that we want to deal with serious people only. Unaweza ukawa mmojawapo ya watu muhimu katika ujasisiriamali huu ila ili tuwe na uhakika wa kukupa hizo habari zote tuma namba kuna group ya wajasiriamali wiki hii tunaenda DSM kwa mkulima mwenzetu ambaye atatupa majibu ya maswali hayo yote.
 
heri ya 2016

nigependa kujua/kupata malejesho kwa waliojaribu / walioamua kuingia katika hii biashara ya kufuga sungura hasa walio dar mmefikia wapi??? changamoto zipi mnazokumbana nazo??

nitafurahi kusikia na kuona ni jinsi gani tunavyoweza kusaidiana na kukuza hii biashara
 
heri ya 2016

nigependa kujua/kupata malejesho kwa waliojaribu / walioamua kuingia katika hii biashara ya kufuga sungura hasa walio dar mmefikia wapi??? changamoto zipi mnazokumbana nazo??

nitafurahi kusikia na kuona ni jinsi gani tunavyoweza kusaidiana na kukuza hii biashara

kiongozi mi nimeanza hii kazi nimeanza na sungura 6 kwanza baada ya mwezi ntakupa mrejesho na docs zote za ufugaji ninazo
 

Attachments

  • 1451758759863.jpg
    1451758759863.jpg
    22.1 KB · Views: 201
more pics
 

Attachments

  • 1451758838291.jpg
    1451758838291.jpg
    33.7 KB · Views: 207
  • 1451758863772.jpg
    1451758863772.jpg
    36.2 KB · Views: 220
kiongozi mi nimeanza hii kazi nimeanza na sungura 6 kwanza baada ya mwezi ntakupa mrejesho na docs zote za ufugaji ninazo
Hongera kwa moyo huo mkuu, ni watu wachache sana wanaweza kushare experience na watu wengine
 
Back
Top Bottom