Ufugaji wa kisasa wa Sungura: Ushauri wa masoko na faida za ufugaji

Ufugaji wa kisasa wa Sungura: Ushauri wa masoko na faida za ufugaji

Jana niliwatembelea Jamaa flan wa Kenya wana mradi wa Sungura na wako vizur na soko ni la uhakika!

Sungura wa kawaida akiwa hai wananunua kg 1=3000 tsh
 
Jana niliwatembelea Jamaa flan wa Kenya wana mradi wa Sungura na wako vizur na soko ni la uhakika!

Sungura wa kawaida akiwa hai wananunua kg 1=3000 tsh

Mkuu naomba unijuze...kwani sungura mmoja kwa kawaida baada ya kuchinjwa na kuandaliwa uwa anakuwa na wastani wa uzito wa kilo ngapi?
 
Wadau,

Poleni kwa kazi. Nina maswali mawili ambayo ninaomba munisaidie

1. Nimekuwa nikijaribu kufuatilia kanuni za ufugaji bora wa Sungura katika maeneo ya joto kama DSM. Nimevutiwa sana na ufugaji huu, ila kuna jambo moja ambalo bado sijalipatia ufumbuzi. Hivi kwa hapa Tanzania soko la Sungura lipo wapi hasa?

2. Kuna huyu mtu anaitwa Bennet (anamiliki Mitiki blog), ana info nzuri sana za kilimo. Kuna yeyote anayeweza kuniunganisha nae? Nimejaribu sana kumtumia e mail kwa e mail yake niliyo ikuta katika blog yake but in vain. Kwa aliye na mawasiliano nae naomba aniunganishe nae tafadhali.

Reason ni kuwa ninahitaji kujiingiza katika kilimo, kwa mkulima ninayeanza nafikiri ni vizuri sana nikawa karibu na mtu kama yeye for guidance

Wasalaam

Mwalwisi
kuna jamaa wanaitwa rabbit republic mkuu,founder ni mkenya lakini wana branch arusha ,pia hapa dar es salaam huwa wanakuja mara kwa mara hawa wana soko la sungura nje ya nchi so kama uko interested google rabbit republic utapata contact zao mkuu,nadhani utakuwa mwanzo mzuri.
 
Wadau,

Poleni kwa kazi. Nina maswali mawili ambayo ninaomba munisaidie

1. Nimekuwa nikijaribu kufuatilia kanuni za ufugaji bora wa Sungura katika maeneo ya joto kama DSM. Nimevutiwa sana na ufugaji huu, ila kuna jambo moja ambalo bado sijalipatia ufumbuzi. Hivi kwa hapa Tanzania soko la Sungura lipo wapi hasa?

2. Kuna huyu mtu anaitwa Bennet (anamiliki Mitiki blog), ana info nzuri sana za kilimo. Kuna yeyote anayeweza kuniunganisha nae? Nimejaribu sana kumtumia e mail kwa e mail yake niliyo ikuta katika blog yake but in vain. Kwa aliye na mawasiliano nae naomba aniunganishe nae tafadhali.

Reason ni kuwa ninahitaji kujiingiza katika kilimo, kwa mkulima ninayeanza nafikiri ni vizuri sana nikawa karibu na mtu kama yeye for guidance

Wasalaam

Mwalwisi
Kuna utapeli umeingia wa hao sungura na kware,utanunua kwa wingi mwisho wa siku utabaki nao mwenyew ukitaka kujua fursa za kilimo ni pm namba yako nikuunfanushe group la wajasiriamali
 
Kuna utapeli umeingia wa hao sungura na kware,utanunua kwa wingi mwisho wa siku utabaki nao mwenyew ukitaka kujua fursa za kilimo ni pm namba yako nikuunfanushe group la wajasiriamali
hama utapeli pia sungura wanafaa kwa matumizi yako mwenyewe
 
Soko ni tatizo mimi nilidhani kwa hapa Iringa tu, Mtoto wangu anafuga anao kama mia hivi lakini kaambiwa kuwa kuna mzungu ananunua kuanzia mia mbili sasa sijajua kama ni kweli au ni porojo za mtaani!!!
 
Soko ni tatizo mimi nilidhani kwa hapa Iringa tu, Mtoto wangu anafuga anao kama mia hivi lakini kaambiwa kuwa kuna mzungu ananunua kuanzia mia mbili sasa sijajua kama ni kweli au ni porojo za mtaani!!!
Kuna jamaa ni wakenya mkuu wao wananunua Sungura wapo mikoa mbali mbali sijui kama uko wapo
 
Soko ni tatizo mimi nilidhani kwa hapa Iringa tu, Mtoto wangu anafuga anao kama mia hivi lakini kaambiwa kuwa kuna mzungu ananunua kuanzia mia mbili sasa sijajua kama ni kweli au ni porojo za mtaani!!!

Huo utakuwa utapeli, cha msingi anzisha soko lako hapo ulipo, na nilahisis sana, chinda sungura kama wawili na uchome ntama yake na karibisha majirani waonje na kisha uwajurishe weekend ijayo kutakuwa na nyama ya sungura inauzwa na unaweza kujipangia bei mwenyewe so hapo tayari utakuwa umejitengenezea kipato bila hata kutafuta mtu anunue awauze nje ya nchi, au uneza anzisha kiband cha chips hapo unauzanchips nyama ya kuchoma,kukaanga(sungura) na utaona matokeo yake baada ya muda ila cha msingi usafi na kuchoma au kupika vizuri iive vizuri ili iiwe na mvuto mtu apende kurudi tena.
 
Soma hii itaweza kukusaidia wakati unafanya maamuzi kufuga sungura kibiashara

The true state of rabbit farming in Kenya is that most companies which used to do it have closed down. This according to me is due to lack of a potential market for the meat due to slow uptake in the local market and inability to satisfy export market.

Rabbit Republic is the only one standing now and we have to make it. We were unable to pay on the 19th December as promised and not paying even now.

I was processing a loan and the bank failed to keep the promised timeline and am still pushing.

We relocated to dune Plaza in ruai to cut down costs and we closed for the festivities from the 20th. We are now open and paying all collections in cash from Monday.

Am working on a plan to settle all farmers debts and move on.

It's shaming to say here that we have opened great markets locally and the challenge remains to be inability to supply since the delay in payments led to reduced breeding by farmers and others refused to give us more rabbits.

Today we were unable to supply tamarind group with only 300kgs.The rabbit in nakumatt is from your farm,we supply through lemoc,an Italian company that owns the butcheries in nakumatt.

I personally took over the communication and now handling the two office lines.

The farmers I have spoken to this week have agreed to give me some more patience and I wish they could read this and share.

Others are contemplating to go to court and have even formed a whatsapp group for better coordination.

We remain committed to make this business a success in kenya and the world all over.

We have seen big businesses and organizations fail in this country last year.

Mumias, Kq,uchumi and many other giants are being resuscitated as we speak.

But Rabbit Republic will not close because I believe in this dream which I saw 5years ago.

Call the office lines and I will explain more.

The business belongs to all of us not mutua and it's my sincere request that we reason together and stop the negative thinking and I know God will see us through.

Let's also promote rabbit meat, sausages and burgers which will soon be in a shop near you.

Let's give 2016 a chance.
Thank you all.
8 January at 20:18 · Public
 
Naomba msaada juu ya ufugaji wa sungura wa kisasa na upatikanaji wa soko lake
 
Naomba msaada jinsi ya kufuga sungura wa kisasa kuanzia upatikanaji wa mbegu hadi upatikanaji wa soko lake
 
Ila mi nilikua nafuga kienyeji inafaa kutengwnezea vanda na kubwa kisha unafanya partition na ktk kila partition unaweka sungura wa 2 jike akipata mimba au akizaa unamtoa !!sungura wanazaa kila baada ya miez miwili kulingana unavowatunza na kuwaweka na dume
Ila niliona kunawazungu wanafugia kwenye banda kubwa kaa kuku then kwa wale wenye mimba ndo wanaweka pekee yake ili walee watoto wao
 
Mradi bomba sana huo,mimi niliwahi kuwafuga kienyeji wakazaliana sana lkn kwa kuwa walikuwa wamejichimbia shimo basi siku moja walifukiwa wote huko shimoni kutokana na tetemeko la ardhi hapo nilikata tamaa moja kwa moja.
 
Napenda hiyo tour kwani mi ni mdau wa ufugaji wa sungura mpaka sasa ninao 1000
 

Attachments

  • 1457063283990.jpg
    1457063283990.jpg
    99.3 KB · Views: 326
Hahaa watu wanapigwa si mchezo, Arusha kuna mzee mmoja kwa sasa ni kama kachanganyikiwa make Jamaa wa Sungura walimfuata na wakaweza kumuingiza chaka, mzee kajenga mabanda ya kisasa, na waka muuzia parents, sasa baada ya kunawili wale Wakenya kwa sasa hawapokei simu ya mzee na wanatoa sababu lukuki.

Sungura hawana Tofauti na Kware na time will tell,
 
Watanzania tunependa sana kukurupuka bila utafiti, hawa jama wa Sungura wameisha elezewa sana usanii wao ulivyo, mbinu zao zote zisha ainishwa na kwa nini kwa sasa Kenya walisha shutukiwa, na kwa nini huku wanavuna pesa kutoka kwa watu walio lala na wafuata mkumbo?

Mtafuteni jamaa mmoja anaitwa Chasha Poultry Farm awape story za hawa jamaa make anawajua fika A to Z
 
Back
Top Bottom