Ufugaji wa kisasa wa Sungura: Ushauri wa masoko na faida za ufugaji

Ufugaji wa kisasa wa Sungura: Ushauri wa masoko na faida za ufugaji

habari wakuu, smahani nahitaji kufuga sungura wa kisasa tatizo na wasiwasi wangu ni soko la uhakika! je kuna mtui anafahamu soko la uhakika la sungura na bidhaa zake , ikiwezekana hata nje ya nchi. nategemea kutoka kwenu , ni vyema ikawa kampuni ya kueleweka, nasikia Kenya kuna makampuni yananunua ila sijapata uhakika na nimejaribu ku tafuta sijafanikiwa kupata link ya kampuni yoyote zaidi ya umoja wa wafugaji wa sungura.
asanteni :
0753064252 whatsapp
 
Tafadhari kama unataka kufuga usifuge kamwe kwa kufuata mkumbo utakuja jutia
ushaurikama unataka kufuga fuga kwa matumizi yako huku ukijitengenezea soko mwenyewe na hapo ndo utaona faida yake
 
Dah! Wakuu mmenipa hamasa sana na kwa kweli sina budi kufanya kitu kinachoonekana, itabid nianze mchakato mara moja bila kupoteza muda ..na kama soko ni la uhakika basi ni njema sana.
 
Tafadhari kama unataka kufuga usifuge kamwe kwa kufuata mkumbo utakuja jutia
ushaurikama unataka kufuga fuga kwa matumizi yako huku ukijitengenezea soko mwenyewe na hapo ndo utaona faida yake
Mkuu Mimi Niko nafanya mchakato nianze kufuga, nataraji kujenga banda la kisasa na nafikiri kuanza na sungura 25 kwanza ili nipate uzoefu then badae nitaongeza wengine
 
Mkuu Mimi Niko nafanya mchakato nianze kufuga, nataraji kujenga banda la kisasa na nafikiri kuanza na sungura 25 kwanza ili nipate uzoefu then badae nitaongeza wengine
Kwa kuanza ili upate uzoefu hao 25 ni wengi mno ugeanza na kama 6(dume moja na majike 5 au 10 dume 1(moja) na majike 9) na kila sungura awe na chumba chake ili kuweza kukontrol uzaaji
 
Kwa kuanza ili upate uzoefu hao 25 ni wengi mno ugeanza na kama 6(dume moja na majike 5 au 10 dume 1(moja) na majike 9) na kila sungura awe na chumba chake ili kuweza kukontrol uzaaji
Me naitaji kama 8 nipe bei j pil nije
 
Kwa kuanza ili upate uzoefu hao 25 ni wengi mno ugeanza na kama 6(dume moja na majike 5 au 10 dume 1(moja) na majike 9) na kila sungura awe na chumba chake ili kuweza kukontrol uzaaji
Me naitaji kama 8 nipe bei j pil nije
 
Mkuu umeniua na hii post yako!

Eti kapilipili kwa mbaaali? Hakika hawatakuwa na hamu na nyama nyingine mkuu! Nyama ya Sungura tamu sana na laini hujapata kuona. Niliwahi kuwalisha jamaa zangu ambao walikuwa wanapinga kama NGONGO anavyouliza, siku waliyokula walipiga mluzi wakifikri wanakula nyama ya bata! Nilipowaambia kuwa ni sungura hawakuamini.
Siku nyingine usifanye hivyo mkuu. Ada ya chakula mtu afahamu anakula nini. Kwa mfano, maishani mwangu sijawahi kula mbuzi. Siku niliyoweka mdomoni kwa bahati mbaya, nilipatwa na kinyaa kibaya kiasi nikafumukwa vipele vidogo vidogo mwili mzima. Niliishia kutobolewatobolewa na sindano mkono mzima kutest mzio ambao haukupatikana. Daktari aliniambia nimeugua hofu ya kitu ambacho hakipo. Na kweli, kesho yake mchana vipele viliishia na sikuwashwa tena...bado sitakula mbuzi na chochote kisicho mazoea yangu kwa kukurupuka.
 
Macky msaada Mimi ninasungura zaidi ya 70 na nilinunua mbege Nairobi jike elfu 95 pamoja n kumsafilisha ikafika laki na kumi dume elfu 45.tatzo nipale unalixha sungura miez hata 6 hafiki kilo tano alafu chakul Chao bei ghali kilo 50 ni elfu sitin NA wanakul kwa cku tatu au NNE.wakifikia kuuzwa wale waliokuuzia mbegu wanakuj kuwanunua kilo moja n elfu 85 NA umelisha zaidi y miez mitano.Ukiuza hela yot inaenda kweny chakula.Changamoto nyingin ni kuwakata meno yakikua nayo n changamoto.Kama amezaa akasusa kunyonyesha nayo ni mtihani kwani utatakiwa kuwanywesha watoto na silinji bila sindano ukiwapa vibay vinakufa vyote.YANI SIONI FAIDA YA KUFUGA SUNGURA KIUPANDE WANGU
 
Macky msaada Mimi ninasungura zaidi ya 70 na nilinunua mbege Nairobi jike elfu 95 pamoja n kumsafilisha ikafika laki na kumi dume elfu 45.tatzo nipale unalixha sungura miez hata 6 hafiki kilo tano alafu chakul Chao bei ghali kilo 50 ni elfu sitin NA wanakul kwa cku tatu au NNE.wakifikia kuuzwa wale waliokuuzia mbegu wanakuj kuwanunua kilo moja n elfu 85 NA umelisha zaidi y miez mitano.Ukiuza hela yot inaenda kweny chakula.Changamoto nyingin ni kuwakata meno yakikua nayo n changamoto.Kama amezaa akasusa kunyonyesha nayo ni mtihani kwani utatakiwa kuwanywesha watoto na silinji bila sindano ukiwapa vibay vinakufa vyote.YANI SIONI FAIDA YA KUFUGA SUNGURA KIUPANDE WANGU
Mkuu unaweza niuzia ata sita ivi
 
mwalwisi

jana nimetembelea sehemu moja inaitwa oceanic resort ipo eneo la mbweni, nimekuta wanauza nyama ya sungra, inakaangwa, bei ni sh. 30,000 kwa sungura mzima na sh. 15,000 kwa nusu sungura

nadhani huu unaweza kuwa mwanzo mzuri wa hili soko la sungura
Mkuu..hiyo ni mbweni daslaaam au wapi?
 
Hata Arusha pia maeneo ya ngaramtoni kuna jamaa wana mradi wa kufuga sungura
 
Nyama ya Sungura n nyama bora xn hasa ukizingatia kiwango cha mafuta na radha ktk afya ya binadamu. Tatizo kubwa jamii haina ufahamu wa kutosha kuhusu umuhimu wa nyama ya sungura. Hivyo hupelekea soko lake kuwa hafifu xn. Lakin kuna wenzetu huko kenya wana #Make money kupitia sungura hao hao had inaleta aibu wakenya wanapokuja Tz kuanzisha ufigaj wa Sungura. Ushaur wa Bure tujitahd kuelwimisha jamii kuhusu umuhimu wa nyama ya sungura ili kukuza soko lake. Na mwisho soko la sungura limebakia hotelin tuu ambapo watu wa bara la Asia hutumia nyama ya Sungura ila sisi wabongo tunakila nyama ya ng'ombe ambayo ina madhara makubwa xn kiafya. By me animal scientist
 
Back
Top Bottom