Ufugaji wa kisasa wa Sungura: Ushauri wa masoko na faida za ufugaji

Ufugaji wa kisasa wa Sungura: Ushauri wa masoko na faida za ufugaji

Mnao nunua sungura msisahau na kununua mifuko ya cement kwa ajili ya kuzibia mashimo.

shimo 1 = mfuko 1 = sungura 1
eee weee jamaa wewe umenichekesha sana na hyo equation yako. mi ninae sungura mmoja mkorofi balaa
 
Tanzania ya viwanda me ndio naisubiria hiyo tuu[emoji119] sungura pita mbali na mimi
 
Macky msaada Mimi ninasungura zaidi ya 70 na nilinunua mbege Nairobi jike elfu 95 pamoja n kumsafilisha ikafika laki na kumi dume elfu 45.tatzo nipale unalixha sungura miez hata 6 hafiki kilo tano alafu chakul Chao bei ghali kilo 50 ni elfu sitin NA wanakul kwa cku tatu au NNE.wakifikia kuuzwa wale waliokuuzia mbegu wanakuj kuwanunua kilo moja n elfu 85 NA umelisha zaidi y miez mitano.Ukiuza hela yot inaenda kweny chakula.Changamoto nyingin ni kuwakata meno yakikua nayo n changamoto.Kama amezaa akasusa kunyonyesha nayo ni mtihani kwani utatakiwa kuwanywesha watoto na silinji bila sindano ukiwapa vibay vinakufa vyote.YANI SIONI FAIDA YA KUFUGA SUNGURA KIUPANDE WANGU
Pole kwa masahibu na changamoto za biashara nakushauri usiache hiyo biashara kwa sababu ya changamoto bali endelea kukomaa kwani changamoto zipo kila mahali penye mafanikio.
 
Njoo kisutu jengo la red cross ghorofa ya kumi uliza I charity Global vision kila J5, Ijiumaa na Jmosi
 
Back
Top Bottom