Sir-mganah
Member
- Jul 17, 2011
- 58
- 11
Mnapatikana wapi naomba contacts zenuJiunge na shirika letu la I charity Global vision tutakusaidia ufugaji bora wa Sungura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnapatikana wapi naomba contacts zenuJiunge na shirika letu la I charity Global vision tutakusaidia ufugaji bora wa Sungura
Yas mkuu niunganishe na ilo group la wajasilia mal..Kuna utapeli umeingia wa hao sungura na kware,utanunua kwa wingi mwisho wa siku utabaki nao mwenyew ukitaka kujua fursa za kilimo ni pm namba yako nikuunfanushe group la wajasiriamali
Mkuu umenena,Achana na hayo mambo bana.!!
Wewe umeshaona wapi mtu anakula sungura?!!
Alafu wanakuambia sungura mmoja 50,000
Chaka hilo!
Fuga samaki.....
Mbona sungura wanaliwa man, tena nyama yake ni tamu sana..Wewe umeshaona wapi mtu anakula sungura?!!
Alafu watakudanganya sungura mmoja 50,000
Chaka hilo!
Fuga samaki.....
Hah! Kumbe ni wajanja wanaleta Mbegu alaf pia ni kipindi cha mpito?? Lakini mbona sungura ni mda mrefu tu wanafugwa??Mkuu umenena,
Kuna kitu kinaitwa Ponzi scheme. Kitu kinapewa dhamani ilhali kwenye uhalisia hakina dhamani.
Na mara nyingi hawa wajanja wanaweka kipindi cha mpito ili wapate muda wa kukufumbaza na baadaye watokomee.
Wanakuuzia mbegu, na ndiyo unakuwa umeliwa. Kuna wachache sana huwa wanafaidika ili kuleta ushuhuda, lakini baada ya hapo ni kilio.
Umemind mkuuAsante sana
Hapana mambo ya kawaida tu haya.. Ukitaka ushauri kuna watakao kupa na kuna watakao ku kashfu..Umemind mkuu
Kwanza sijui kanionaje Hadi kaniita CHOKO, [emoji33][emoji33] hii Ndo Bongo kubali yote tuHiyo kazi ulimpa akakataa kufanya?
bull shit
Sorry mkuuKwanza sijui kanionaje Hadi kaniita CHOKO, [emoji33][emoji33] hii Ndo Bongo kubali yote tu
Naomba ufanye uchambuzi yakinifu,Hah! Kumbe ni wajanja wanaleta Mbegu alaf pia ni kipindi cha mpito?? Lakini mbona sungura ni mda mrefu tu wanafugwa??
Sawa mkuuAina ya sungura yenye soko ngurue
Nimeshafanya, ila bado sijaanza rasmiNaomba ufanye uchambuzi yakinifu,
1. Wanauzwa wapi?
2. Kwa bei gani?
Hivi kwa kipi kilichofanya utukane kiasi hiki?Choko wew sungura wann...Fanya kaz
Msamehe tu hajui alitendalo [emoji114]Hivi kwa kipi kilichofanya utukane kiasi hiki?
Hujanielewa mkuu.Nimeshafanya, ila bado sijaanza rasmi
Ujue mkuu kuna watoto akili hawana kabisa, hao Mods sijui wanafanya kazi gani!Msamehe tu hajui alitendalo [emoji114]