Ufugaji wa kisasa wa Sungura: Ushauri wa masoko na faida za ufugaji

jaribu kuwa
maganda ya nazi( baada ya kukuna nazi) hii itasaidia kupunguza meno au wawekee miti mikavu ambayo wewe mwenyewe umeikausha bila kupulizia dawa ambayo itawazuru izi wakitafuna automatic itasaidia kupuinguza meno
 
Sungura nilikula nikiwa mdogo i wish nile nyama yake tena. Sijui wanapatikana wapi huku Arusha
 
wadau nahitaj sungura majike 5 na dume 1. nipo ilala dsm 0686913046
 

Wadau habari za mchana.mimi nahitaji sungura 6 wa kisasa aina ya Calfonia White au Newzealand. kwa ambaye anao na anauza tuwasiliane kwa namba hizi; 0689-913046. ASANTEN
 
Hivi zile habari za KWARE zimeisha mmehamia kwny SUNGURA??
 
Karibu kwa wote mnaoitaji kujifunza na kupata mbegu za sungura 0763370175
 
Jman samahan mm npo geita ndo naanza kufuga sungura kikubwa nahitaji sungura wa kisasa mwenye kuwa nao hasa kanda ya ziwa tuwasiliane kwa no 0762377375
 
Jman samahan mm npo geita ndo naanza kufuga sungura kikubwa nahitaji sungura wa kisasa mwenye kuwa nao hasa kanda ya ziwa tuwasiliane kwa no 0762377375
Tembelea wamisionary walio karribu na wewe
huwa wako nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…