Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

Vp kwa tulio mikoani kama Mtwara tunapataje tukihitaji?.
 
Kwa sasa tunafuatilia kwa maana tumesikia 'mabasi' yaendayo mikoani hawana ruhusa kusafirisha 'poultry' kwa amri ya maliasili. Kama utaweza kupata njia mbadala(usafiri binafsi) hapo tutaweza kukuhudumia vema zaidi
 
Tofauti kati ya KUCHI na chotara nini? Na je niwanyama au wamayai?
 
Tofauti kati ya KUCHI na chotara nini? Na je niwanyama au wamayai?
Chotara ni mbegu zaidi ya moja imechanganywa hivyo kifaranga kinachotoka hapo ni chotara. Kuchi ni mbegu moja ya hapa Tz. Sifa ya kuchi ni warefu na wazito. Kuku hawa chotara si wa kisasa bali ni kienyeji, wanafaa kwa kutaga na nyama pia
 
hili suala la kuchi wa laki mbili bado haliingii kichwani, wapi soko exactly na wananunua bei gani kwa kilo na mahitaji yao yakoje?!
 
Mkuu nahitaji kutotolesha broilers,hv mayai ya broiler yanapatikaje?nipo dar
 
pongezi kwa wafugaji wote wapya na wazamani waliopata hari mpya ya ufugaji na kuchukua hatua kwa kujipatia vifaranga bora .
Kwa wafugaji wapya vifaranga bado wanapatikana. Karibuni sana.
 
pongezi kwa wafugaji wote wapya na wazamani waliopata hari mpya ya ufugaji na kuchukua hatua kwa kujipatia vifaranga bora .
Kwa wafugaji wapya vifaranga bado wanapatikana. Karibuni sana.

Mkuu nimeshawishika naitaji vifaranga naomba unisaidie kwa hya maswali banda la kuku inabidi liwe vp na chakula chao ni nini,watachukua muda gani hadi kuanza kutaga?vp natakiwa kuwapa chanzo gani nikiwachukua

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mkuu nimeshawishika naitaji vifaranga naomba unisaidie kwa hya maswali banda la kuku inabidi liwe vp na chakula chao ni nini,watachukua muda gani hadi kuanza kutaga?vp natakiwa kuwapa chanzo gani nikiwachukua

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Karibu sana mkuu. banda liwe na nafasi ya kutosha na liruhusu hewa kuingia na kutoka. 1sq meter-3/4kuku. chanjo kuna newcastle, ngumboro, ndui kila moja kwa wakati wake.Matokeo mazuri ni matunzo mazuri hivyo miezi 5 unanza kuokota.
 
Wafugaji wapya na wote wenye nia ya kuwekeza katika sekta ya ufugaji kuku wa KIENYEJI bado hujachelewa vifaranga bado vinapatikana.
 
Habari wadau !
Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, Natafuta kuchi wa mbegu kama ni Jogoo au Tetea ! Natanguliza shukraan wadau mwenye nae au mtonyo tuwasiliane kwa P.M. Ahsanteni sana

N.B: - Bei iwe reasonable sio za kusadikika.
- Nipo Dar
- Biashara iwe cash basis a.k.a Man to man.
Kuchi 2.jpgKuchi 3.jpgKuchi 4.jpg
 
Back
Top Bottom