Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe 40000 nakuletea kuch mpaka ulipo.
Nipe 40000 nakuletea kuch mpaka ulipo.
Mkuu ni kuchi wa wapi hao wakoNipe 40000 nakuletea kuch mpaka ulipo.
siku hizi vitoto vya mbuzi vinaitwa kuch?Kitoto cha mbuzi hiki au kondoo mkuu au?
hii Tanzania kubwa sana mkuu..Mkuu ni kuchi wa wapi hao wako
hapana sitoweza.Ok niko entebbe uganda, cash on delivery I need 5cock nd 5hens total 10 chicken
Vifaranga bado wanapatikana kwani kipindi/miezi mizuri kwa ufugaji hasa kuku ndo hii.
Karibuni.
Asante dear nami nitajitahidi nije chukua Kenbro tu maana wale niliochukua nimewapenda. Kipindi hiki kizuri sana na ukiwatunza vizuri Xmas na na New year unakula bingo ya kuuza majogoo.
Jamani nafurahi kusikia toka kwako, Yaani inabidi wafugaji tuchangamke kufuga hasa kwa malengo na kwa muda.
Karibu sana
Duh, umensaidia sana. Nliweka oda ya kuchi kama miezi miwili ss imepita. Nipo Kibiti na mwezi ujao nakuja Dar lazima nkutafuteni... Hivi hawa kenbro ndo wakoje kweli?
kumbe ni wewe, oda yako ipo mkuu. Wiki inayoanza kesho nitakujulisha siku ya kuchukua.
Ndo breed hii mkuu