Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

so wanapatikana wapi vifaranga, mbona mnajib maswali msoulizwa? au na nyie n f4 wa kawambwa?
 
Wanapatikana wapi Mapesa? Upo mkoa gani?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mdau mmoja humu jamvini anaitwa mwalwisi, aliniomba nimtafutie mbegu hiyo,nilimpeleka mkuranga kwa mpemba, mpemba huyu yuko njia ya kwenda kisiju,Baada ya kupita kile kilima chenye lami kwa bondeni pale. Mpemba alimwambia mwalwisi kuwa ni rahisi kumuoza binti yake kuliko kununua wale kuku wake. Jogoo ili kuwa laki mbili unusu na kifaranga ni Bukuku kumi na tano. Baadae tuliamua kununua bokea. Anayebisha, atoe nauli nimpeleke akahakikishe.
 
Mdau mmoja humu jamvini anaitwa mwalwisi, aliniomba nimtafutie mbegu hiyo,nilimpeleka mkuranga kwa mpemba, mpemba huyu yuko njia ya kwenda kisiju,Baada ya kupita kile kilima chenye lami kwa bondeni pale. Mpemba alimwambia mwalwisi kuwa ni rahisi kumuoza binti yake kuliko kununua wale kuku wake. Jogoo ili kuwa laki mbili unusu na kifaranga ni Bukuku kumi na tano. Baadae tuliamua kununua bokea. Anayebisha, atoe nauli nimpeleke akahakikishe.
nikweli bwana kuchi burundi anafika mpk laki mbili
 
Kwa hivo huyu mdau muanzisha thread anahitaji kuwa na milioni 8 ili kununua hao vifaranga wake 40...ha ha...yani hela ya kununulia spacio new model.
 
Wadau nimeona wati wengi wanatoa sifa za kuchi,na bei yake ipo juu.
Naombeni mwenye kuwajua.
Ni kuku wa aina gani na wana sifa gani?
 
Back
Top Bottom