Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

naiona shida mnayoipata wadau hapa ... nayo ni mazoea bahati mbaya ndio ugonjwa mkubwa umetuathiri Watanzania na shughuli zetu zote kwa kiasi kikubwa.

Tumekuwa tukilima na kufuga kwa mazoea! Ndio maana leo ukiambia mbegu ya kuku ni laki 2 unang'aka!

Tuacheni mazoea twendeni kisayansi ...chochote tunachotaraji kukifanya tukifanyie utafiti na tujiandae kugharimia.

Hapa.inaongelewa mbegu ya kuku inayoleta tija ...sasa weye benda Singida au hata hapo Sinza sokoni kaokote wake kuchi uchwara .mbegu yao imezunguka tangu ebxi ua marehemu bibi..you doomed to fail

Mi nimekuelewa. Hiyo ni bei ya mbegu wadau. Mi nitaenda, nipe adress yao mkuu, mi nishaacha kufanya mambo kimazoe sikuhzi elimu juu ya unalolifanya ndiyo itakayokupa tija
 
Kuchi hanyi njiani hutumiwa kusafirishia dhahabu burundi ndio maana wanauzwa ghali
 
hyo kitu ni kweli aisee sio mala ya kwanza kusikia kuhusu kuchi kuuzwa bei hiyo....kuna siku nilisoma makala kwenye gazeti moja la hapa kuhusu ufugaji wa kuku haswa hao kuchi nilivyoenda kwenye kipengele cha bei nilibaki mdomo wazi....kwa watu wanaojua kazi ya hao kuku wapo tayari kununua kwa hiyo bei...ni moja ya kuku ambao ni expensv sana kutokana na demand yake....sio uongo wajameni hzo bei.

Hii bei ni ya kawaida kabisa kwa aina ya kuchi kama anaeonekana kwenye picah (Angalia attchment -mdomo wa jogoo wenyewe ni mfupi sanaaa)
 

Attachments

  • IMG_4107.JPG
    IMG_4107.JPG
    633.1 KB · Views: 1,008
hawa kuku huwa nawaona sana huku Zanzibar ni common huku...na huenda wakaazi wa huku hawajafahamu demand ya kuchi..
 
Mimi ninao Kuchi , ila siuzi kwa sasa. Mmoja nilimnunua 40,000/- wadogo na jogoo mkubwa 120,000/-
3 na mitetea 6. Wawili Wameibiwa Nina Mayai 25 na watatu bado wanataga. Hawa ni Special breed wazuri hata kwa kuwalook. Mungu akijaalia ntakuwa na vifaranga 30 next month August 2013.
 
Mimi ninao Kuchi , ila siuzi kwa sasa. Mmoja nilimnunua 40,000/- wadogo na jogoo mkubwa 120,000/-
3 na mitetea 6. Wawili Wameibiwa Nina Mayai 25 na watatu bado wanataga. Hawa ni Special breed wazuri hata kwa kuwalook. Mungu akijaalia ntakuwa na vifaranga 30 next month August 2013.

Siku ukitaka kuuza, nitwangie pm moja kwa moja niwanunue wote. Mkuu unafugia wapi kuku wako?
 
hebu wekeni KAZI za hao kuku ???????????????? kable ya kuendelea kusifia hio bei yao
 
Niko mwanza for two weeks nd then I go back to ug nanigependa kupata vifaraga vya kuchi ili niweze kwenda navyo nigependelea kupata ambavyo vimefikisha mwezi mmoja
Msaada wenu wana jr
 
nina kuku wangu kuchi naomba msaada kwa mwenye uzoefu nao anisaidie niwapandishe na kuku aina gani nipate kuku bora zaidi,yaan kwa mfano kishingo,kibwenzi au wale waliotibuka manyoya? kati ya ho yupi nikimchanganya na kuchi watatoa mbegu bora zaidi?
 
Mimi ninao Kuchi , ila siuzi kwa sasa. Mmoja nilimnunua 40,000/- wadogo na jogoo mkubwa 120,000/-
3 na mitetea 6. Wawili Wameibiwa Nina Mayai 25 na watatu bado wanataga. Hawa ni Special breed wazuri hata kwa kuwalook. Mungu akijaalia ntakuwa na vifaranga 30 next month August 2013.

Mkuu unafugia wapi hao kuku? Nataman kuwaona hao kuchi...
 
warefu wakubwa wana miguu mirefu midomo mifupi ni kuku warefu kuliko wote kwa tanzania hapa
 
Mkuu hii aina ya vifaranga niliiona mpwapwa kwa mkuu wa chuo cha mifugo. Ni kuku fulani wazuri sana na bei yake iko juu kiasi kwamba nilishangazwa kuambiwa kuku anauzwa laki mbili. Hawa wanapendwa sana na watu wanaopenda michezo ya kuku haswa kupigana. Bahati mbaya sikuchukua namba ya yule bwana nigekupatia uwasiliane nae.

Ganja bhana
 
Back
Top Bottom