Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

Mwenye kuku au anayefahamu wapi naweza kuwapata pls tuwasiliane namba 0655 486 486
 
nawahitaji hawa kuku.. mwenye vifaranga au mayai please let me know.
 
mwenye uhitaji na hawa kuku ani-pm,jogoo lake kubwa 70 thousand na mitetea ni 60,kwa morogoro tu.
 
mimi nahitaji kuku wakubwa kidogo ila ambao hawajafika stage ya kutaga. Wa kati ya wiki 10 na 12. Mbegu yoyote please ambae anaweza kuniuzia tuwasiliane kwa PM
 
Habari zenu wadau..naitwa David napatikana Ubungo Kona...nina majogoo ya KUCHI na Majike..nimewatoa katika jamii za wasukuma wanaopataikana katika wilaya ya ulanga huko morogoro katika kijiji cha Itete...kama unahitaji nicheki kupitia hii namba 0717578551 kwa ajili ya maelewano
 
Weka picha


Habari zenu wadau..naitwa David napatikana Ubungo Kona...nina majogoo ya KUCHI na Majike..nimewatoa katika jamii za wasukuma wanaopataikana katika wilaya ya ulanga huko morogoro katika kijiji cha Itete...kama unahitaji nicheki kupitia hii namba 0717578551 kwa ajili ya maelewano
 
Pure line of KUCHI... Uyo jike Kaanza kutaga
 

Attachments

  • 1393097314044.jpg
    1393097314044.jpg
    64.5 KB · Views: 301
  • 1393097407143.jpg
    1393097407143.jpg
    95.3 KB · Views: 314
Huyu ndo jogoo KUCHI pure
 

Attachments

  • 1393098511653.jpg
    1393098511653.jpg
    127.2 KB · Views: 498
Hizo ni mbegu nyingine kutoka kwenye ukoo wa KUCHI ni kubwa mno na wanauzito mkubwa tofauti na hawa kuku tuliowazoea mitaani
 

Attachments

  • 1393100259030.jpg
    1393100259030.jpg
    47.7 KB · Views: 298
  • 1393100483539.jpg
    1393100483539.jpg
    48.2 KB · Views: 348
  • 1393100571219.jpg
    1393100571219.jpg
    64.3 KB · Views: 4,304
Back
Top Bottom