Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiondoa hizo pia wanapendelewa zaidi katika mashindano ya kupigana ambapo watu wanawatumia kucheza kamari.Hawa kuku wana kipi cha ziada cha tofauti na kuku wengine? Kwa minajili ya Nyama, mayai nk??
Mkuu malila ulifanikiwa kuwafuga hawa ndege? Sehemu gan huko ikwiriri wanapopatikana?Tayari nimepata contact za dogo Mafia, tumekubaliana kuwa yy atakuja nao mpaka Nyamisati Bandarini, kila kuchi original bei ni Tsh 50,000/ wanaoanza kuwika au wale ambao bado kuwika, na Chotara iwe buku 30,000/. Kwa hiyo aliye tayari atume pm au hapa hapa jamvini aseme, mimi nimeagiza kuchi original kumi kwa ajili ya mbegu. Chotara nitawapata Ikwiriri na Kuruti kisiwani.
Ni vizuri anayetaka aseme na jinsia ya kuchi,isije jamaa akakusanya madume mengi badala ya majike mengi.
Mkuu malila ulifanikiwa kuwafuga hawa ndege? Sehemu gan huko ikwiriri wanapopatikana?
Unamfahamu kitomari2?Niko na hao kuki aina ya kuchi nipo moshi,nauza jogoo 35,000 na mtetea 30,000 ni pure kabisa kutoka lamu kenya. nicheki 0676673163.
Bata Bukini sawa hila Kuku bado nawaza.Kuna bata wa tsh 300,000.
Bata bukini!
Hey kiongozi bado una hao kuku wa KUCHI?? nawaitajiHabari zenu wadau..naitwa David napatikana Ubungo Kona...nina majogoo ya KUCHI na Majike..nimewatoa katika jamii za wasukuma wanaopataikana katika wilaya ya ulanga huko morogoro katika kijiji cha Itete...kama unahitaji nicheki kupitia hii namba 0717578551 kwa ajili ya maelewano
sasa unauzaje?Alichokiandika mtoa mada kina ukweli hao kuku ninao na niliwanunua wakiwa wadigo kabisa yaani ndiyo wanaanza kuota manyoya nikauziwa kifaranga15000 mpaka 20000 saa hizi ninao na ninawauza nipo Geita #+255712946988
Hii ni lugha biashara tu. Ununue kuku wa uzito maximum kilo 3.5 kwa shs 200,000/=? Kwa ajili ya nini, nyama au mapambo? Mimi simuelewi huyu bwanaKuku wa Laki mbili?
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Lazima ukimfuga kwa mwaka anageuka ng'ombe huyu kuku
Sikiliza. Wewe umeshaninua. Sasa hivi na Wewe unatafuta wa kumuuzia. Kama utampata mwenye mawazo uliyokuwa nayo wakati ule unanunua, unaweza kuuza. Ila ktk hali halisi hiyo siyo biashara endelevu. Ni kubahatisha watu wasiyojielewa. Ninunie kuku shs 200,000/= kwa sababu gani hasa. Nyama nzuri, mapambo au bondia wa maonyesho ya mapambano? Mimi siwaelewi. Naona kama mlipoteza hela zenu kwa maneno ya kuambiwa. Samahani lakini huenda nimetumia lugha kali kuonyesha hisia yanguAlichokiandika mtoa mada kina ukweli hao kuku ninao na niliwanunua wakiwa wadigo kabisa yaani ndiyo wanaanza kuota manyoya nikauziwa kifaranga15000 mpaka 20000 saa hizi ninao na ninawauza nipo Geita #+255712946988