Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

sio wana nini cha ziada hao nini kuku wa kipekee sio kama hawa wa uswahilini..!
1-wanavutia., 2-wanakua wakubwa sana maumbo makubwa.
3-ni wakorofi sana wanaweza kupigana ata na binadamu

ha ha ha ha ha nimeipenda hiyo namba 3!nitatafuta Jogoo nilifanye 'gateman'
 
Poa kk sbl nimtafute Malila

ila tandika kuna mzee 1 wa kisukuma anafuga kuchi ila sijajua kama ni wa midomo mifupi, mirefu au mixed... ngoja niulizie namba yake ya cm nikipata nitaku pm..
 
Last edited by a moderator:
Me naishi kwa azizi ally mtongani njoo whatsapp 0768422758

Hivi sikuhizi kuna mtongani kwa Azizi Ally? Mana navyojua mimi kuna mtoni Mtongani na mtoni kwa Azizi Ally,
 
1443801088651.jpg
 
Back
Top Bottom