Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

ebwana embu niambie wako vp , je unaweza kuweka clip, au pic niweze kuwatambua, wana tofauti ipi na wa kawaida??
 
wakuu kama hawa
 

Attachments

  • 1443638617851.jpg
    1443638617851.jpg
    53.4 KB · Views: 342
Me naishi kwa azizi ally mtongani njoo whatsapp 0768422758
 
Mkuu wana nini cha ziada...

sio wana nini cha ziada hao nini kuku wa kipekee sio kama hawa wa uswahilini..!
1-wanavutia., 2-wanakua wakubwa sana maumbo makubwa.
3-ni wakorofi sana wanaweza kupigana ata na binadamu
 
Back
Top Bottom