Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,697
- 15,497
nilikuwa nao lakini walikufa wote kwa ugonjwa.
bei ya kuchi mdogo ni elfu 30 mpka 40.
bei ya kuchi mkubwa ni elfu 80 mpka 100k
Mkuu wana nini cha ziada...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilikuwa nao lakini walikufa wote kwa ugonjwa.
bei ya kuchi mdogo ni elfu 30 mpka 40.
bei ya kuchi mkubwa ni elfu 80 mpka 100k
kuchi kuchi hotae cd yake
Mkuu wana nini cha ziada...
wakuu kama hawa
wana facebook,twitter, mp3,
Njoo ujionee bei zake@jimena
Mkuu tutambuane, wapi huko!
Ndio mkuu, wapi nije
We unapatikana wapi
Mbezi, Dsm
Mkuu wana nini cha ziada...
sio wana nini cha ziada hao nini kuku wa kipekee sio kama hawa wa uswahilini..!
nilikuwa nao lakini walikufa wote kwa ugonjwa.
bei ya kuchi mdogo ni elfu 30 mpka 40.
bei ya kuchi mkubwa ni elfu 80 mpka 100k
Mkuu naitaji mdomo mrefu me ninao mdomo mfupi