Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

Hapa ndo pazuri, mi nahtaji Kwale ama mayai yake yasiyopungua 50. Mwenye nayo antafute0713-748668/0783-959171 Bukoba. Pia nina Incubator (yakutotoresha mayai200, sijui kuitumia naomba msaada.)
 
ngoja nikufafanulie kutoka na uzoefu nilio nao.
kuch majike hawawi wakubwa sana wanataga na wanaatamia
ila tu wengi wao hawajui kutunza vifaranga.
katika hao vifaranga ndipo wanapotoka majogoo ambayo hukua sana tofauti na kuchi wa kike.

Umekosea sna,katika kuku ambae anajua kutunza vifaranga wake vizuri sna ni kuchi wa kike,wanakua WAKALI sna wanapokua na viranga.hawa ndo kuku walio na gharama sna duniani.kwa kizungu wanaitwa ASEEL na wale wenye midomo mifupi wanaitwa PARROT BEAK ASEEL.Kwa anae taka kujua zaidi kuhusu hawa kuku atafute kwenye google akitumia haya majina ya Aseel au parrot beak aseel.niko na vifaranga vya miezi mitatu na nusu nauza kimoja kwa 20,000Tsh.0715 390738.Nipo moshi.
 
Nauza kuku aina ya kuchi au kwa kizungu aseel,wana miezi mitatu na nusu.ni pure kabsa.Nipo Moshi

Kwa anaehitaji anipigie 0715 390738
 
Habari wana JF nahtaji mayai hayo kama bei ni nzur nitachukua mengi.
 
Nipo dar natafuta mayai ya kuchi kwaajili ya kutotolesha ntapata WAP???
Na bei gani??
 
Wakuu nahitaji kuku aina kuchi, wakubwa na wadogo, ningependa kufahamu bei yake, vifaranga na wakubwa pia. Kwa yeyote mwenye nao asisite kuniPM. Najua jamvi halimtupi mtu...
 
nilikuwa nao lakini walikufa wote kwa ugonjwa.
bei ya kuchi mdogo ni elfu 30 mpka 40.
bei ya kuchi mkubwa ni elfu 80 mpka 100k
 
Back
Top Bottom