Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,697
- 15,497
sio wana nini cha ziada hao nini kuku wa kipekee sio kama hawa wa uswahilini..!
1-wanavutia., 2-wanakua wakubwa sana maumbo makubwa.
3-ni wakorofi sana wanaweza kupigana ata na binadamu
ha ha ha ha ha nimeipenda hiyo namba 3!nitatafuta Jogoo nilifanye 'gateman'
