Heart Wood.
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 982
- 1,179
Huyo anaitwa kipanga mkuu,tafuta nyavu umtegeee lazima anase.Wakuu, nimeanza tena ufugaji wa kuku wa kienyeji. Mara hii natumia mfumo
wa NUSU HURIA nimeanza na kuku 15 mwaka Jana mpaka sasa wako 369
Nimeuza kuku 271 kwa bei za kati ya Tsh 17,000 mpaka 23,000 namshukuru
Mungu nimeweza kupunguza ukata.
Mwakahuu kuna ttizo kubwa limejitokeza nashindwa jinsi ya kulikabili, Kuna ndege
Mdogo kwa umbo anafanana sana na njiwa, anakamata vifaranga balaa. Tena
anakamata wale vifaranga wakubwa ambao wanajitegemea. Ndani ya wiki mbili
hizi amekamata vifaranga 18.
Sijajua jinsi ya kumdhibiti yaani huyu mshenzi ananipa hasira si mchezo.
Asante,mkuuChangamoto katika biashara yoyote ipo...
Kwa case yako ni magonjwa, Masoko, usimamizi wake n.k
Hiyo biashara ukiisimamia vizuri inalipa..Kila la heri mkuu
mimi nina kuchi original.Alie Mwanza na Ana Kuchi original basi tuwasiliane ila Shart bei ziwe za Wafugaji kwa Wafugaji
Soma hii itakusaidia UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI KAMA MRADIHabari wanajamii forums,mimi nimgeni humu natokea Geita. Wanajamii naomba kufahamu changamoto katika, ufugaji wa kuku wa kienyeji,na je, ni ufugaji unaofaa kibiashara?Naombeni ushauri kidogo watanzania wenzangu.
Mwenye kuchi original please nicheki kwa 0758701818 tufanye biasharamimi nina kuchi original.
SIYO KAWAIDA MTENGE NAYO UYAKAGUE VINGINEVYO YATAHARIBIKANaomba kufahamishwa kuhusu tabia hii ya kuku wa kienyeji
Nina kuku wangu wa kienyeji pure ametaga kafikisha mayai 10 na ndio mtago wake wa kwanza lakin ameanza tabia ambayo sijaielewa ikifika jion anaenda kwenye kiota chake cha mayai analalia ikifika asubui wakati nafungua banda anatoka na harud tena kulalia mpaka ikifika jion muda wa kuingia bandani na leo ni siku ya pili kafanya hivyo :
1.sasa nilitaka kujua ndio inavyokuwa kwa kuku anaeanza kulalia/kuatamia kufanya hivi kwa siku za kwanza au sio mlaliaji mzuri
2.je mayai yatakua salama kwa style hii aliyoifanya kulalia usiku tu kwa siku mbili
3.je nifanye nini kuyaokoa mayai yasiharibike kama itakua bado hayajaharibika?
Kuku wanatofautiana mkuu, ndomana kabla ya kutaka kufuga kuku unashauliwa kutafuta breed yenye sifa nzuri ya kuweza kulalia, hivo huyo wako hana sifa hiyo na ni vigumu kumbadili, labda endapo utaamua kutengenezea banda na kutoruhusu atoke nje na chakula uwe unampa wewe na sio kujitaftiaNaomba kufahamishwa kuhusu tabia hii ya kuku wa kienyeji
Nina kuku wangu wa kienyeji pure ametaga kafikisha mayai 10 na ndio mtago wake wa kwanza lakin ameanza tabia ambayo sijaielewa ikifika jion anaenda kwenye kiota chake cha mayai analalia ikifika asubui wakati nafungua banda anatoka na harud tena kulalia mpaka ikifika jion muda wa kuingia bandani na leo ni siku ya pili kafanya hivyo :
1.sasa nilitaka kujua ndio inavyokuwa kwa kuku anaeanza kulalia/kuatamia kufanya hivi kwa siku za kwanza au sio mlaliaji mzuri
2.je mayai yatakua salama kwa style hii aliyoifanya kulalia usiku tu kwa siku mbili
3.je nifanye nini kuyaokoa mayai yasiharibike kama itakua bado hayajaharibika?
Kuku wanatofautiana mkuu, ndomana kabla ya kutaka kufuga kuku unashauliwa kutafuta breed yenye sifa nzuri ya kuweza kulalia, hivo huyo wako hana sifa hiyo na ni vigumu kumbadili, labda endapo utaamua kutengenezea banda na kutoruhusu atoke nje na chakula uwe unampa wewe na sio kujitaftia
Issue ya mayai, ni kweli akiendelea hivo mayai yataharibika, sasa ili kuyanusuru inabidi uyapeleke kwenye mashine ya kutotoresha