Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

Wadau mi naomba mnisaidie, kuna kuku wawili walikua wameshaanza kutaga, wakataga kwa wiki then wakaacha, nikajua labda sababu nawafungia ndani, nikaamua kuwaacha wawe huru lakini naona bado ni vile vile hawana hata dalili tena ya kutaga toka wametaga mara ya mwisho zimepita wiki mbili sasa, naomba mnisaidie tatizo litakua nini?
 
Nawasalim wanajamvi

Ni kwamba mimi nahitaji kuanzisha mradi wa ufugaji kuku wakienyeji kama 65 hivi kwa ajili ya nyama na mayai, na baadae ntaupanua said kama utanilipa.

Kutokana na hitaji hili nina uelewa mfinyu mno kuhusu:

1/ Gharama za uendeshaji mfano ununuaji wa madawa, ni banda lipi zuri, je ni machine ipi ya kuatamisha (incubator) yafaa,

2/ Je, faida yake ya mradi huu ikoje hasa kwa ujumla?

3/ Je, ni majogoo mangapi kwa ajili ya uzalisha yafaa kuwepo miongoni mwa kuku 65

4/Je, kwa ujumla mradi huu unalipa?

Pia kuna wadau wananiambia kuku wanasumbuliwa na magonjwa mno kwa hiyo hakuna kitu hapo afadhari nijielekeze kwenye uwekezaji mwingine.

Wakuu naomba elimu hapa na unaweza ukaongeza wazo lolote bila kujali nimeuliza au sijauliza kwenye uzi wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mradi una changamoto zake, lakini pamoja na hayo kuku wanalipa sana na mimi ndio mradi nitakao kuja kufanya hapo baadae nikiwa nausimamia mwenyewe.
Ngoja tusubirie mawazo ya wengine nipate maujuzi.
 
Napenda zaidi kufuga wa kienyeji
e6f4eabb433482f806c139aed3016051.jpg

74029b6d82cd53edfe40d9c4ca6d0ec7.jpg
 
Mkuu ufugaji wa kuku ni safi sana cha muhimu hapo kwanza inabidi uandae banda na mazingira mazuri ambayo utafugia hao kuku kwasababu ndio unaanza hebu pitia hapa kwanza usome mifumo ya ufugaji wa kuku ukisha soma utatueleza ni mfumo upi unapenda kufuga tukupe maelezo zaidi[emoji116]MIFUMO MBALIMBALI YA UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI. - Ufugaji Bora Wa Kisasa

-Ndumilakuwili-
 
Wakuu nilitamani kukuweka hapa ila natumia simu na nimeshindwa kuupload hilo file. Ninkitabu kizuri sana na kina mambonmengi kuanzia aina za kuku aina za ufugaji ujenzi wa mabanda utengenezaji chakula chabkuku gharama magonjwa na tiba zake...kila kitu kuhusu kuku wa kienyeji kipo ndani yabkitabu hicho

kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
 
Back
Top Bottom