Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
elimu kubwa kwa wafugaji wa kuku wa kienyeji.Nadhani hii ndio itafunguka
kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
Ndo unao wafuga? mbona pucha za google?Napenda zaidi kufuga wa kienyeji
![]()
![]()
Achana na kuhamasishwa na pucha za google mkuu haya mambo yanahitaji commitment na sio pichaAsante mkuu Kadagala1 kwa picha....
Lakini naomba unifafanulie angalau kuhusu biashara hii...
Sent using Jamii Forums mobile app
MAMBO MUHIMU
Jibu hapo kwanza then tutaendelea
[emoji23] [emoji23] [emoji23] pucha. Hapana ni mfano tu sijaanza
Hayo maswali takijibiwa nitaelezeakutokana na elimu yako ya ufugaji ungeendelea kumwaga madini ukizingatia zile changamoto ulizozipitia.
Mkuu acha uchoyo wa elimu weka desa mezani.....what if kila mmoja anajibu lake obvious utatoa majibu tofauti....just go ahead mwaga mtama kuku tupo kula.
Nishaiweka hapa ipo ni pdf file download soma na sambaza elimu kwa wahitaji wengine.
Wewe ndo mleta mada? nimesema akijibu tutaanza kuelezana sasa how come nieleze wakati hajajibu?Mkuu acha uchoyo wa elimu weka desa mezani.....what if kila mmoja anajibu lake obvious utatoa majibu tofauti....just go ahead mwaga mtama kuku tupo kula.
kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
Mkuu wahitaji tupo wengi. Mleta ni kama katufungulia milango kila mtu ana majibu yake kulingana na mahitaji yake. Nilikua naomba utupe data tu.Wewe ndo mleta mada? nimesema akijibu tutaanza kuelezana sasa how come nieleze wakati hajajibu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari jamani.
Naomba tupeane mbinu na taratibu za kulea vifaranga vya kuku kuanzia siku ya kwanza vinapototolewa ili viweze kukua vizuri na kupunguza vifo na magonjwa yote nyemelezi.
Karibuni