Msuruhishi
Senior Member
- Jun 18, 2008
- 103
- 38
Ndg yetu Kubota, sijui nianzie wapi kukushukuru wewe na wachangiaji wakuu wote wakiwamo ASIGWA, MAMA JOE, MAMA TIMMY na LIVERPOOLFC. Mimi niliona thread hii mara tu ilipoanza lakini nikasoma kidogo halafu nikaacha. Kwetu Ukaguru nina banda kubwa ambalo hadi sasa halina kuku hata mmoja. Nililijenga mwaka 2008. Sikuwahi kufuga ingawa nililijenga kwa madhumuni ya kufuga kuku wa kienyeji.
Leo kwa masaa kadhaa nimesoma thread nzima na ku- copy yaliyo muhimu. Nimepata ENCYCLOPEDIA YA UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI ya kurasa 55. Hiki ni encyclopedia ambayo wachangiaji wake ni wengi wakiwamo niliowataja hapo juu. Mbunifu na mchangiaji mkuu wa encyclopedia hiyo ni KUBOTA. Sijui nimshukuru vipi? Naondoka Dar hivi karibuni kurudi kijijini na nitaunda makundi ya vijana, tufuge. AHSANT JAMIIFORUMS, AHSANTE KUBOTA NA WACHANGIAJI WOTE. Nasubiri ili mbele ya safari nipate VOLUME TWO ya encyclopedia hiyo. Nami nitawajuza maendeleo yangu mara tu nikianza ufugaji. Mubarikiwe nyote.
Leo kwa masaa kadhaa nimesoma thread nzima na ku- copy yaliyo muhimu. Nimepata ENCYCLOPEDIA YA UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI ya kurasa 55. Hiki ni encyclopedia ambayo wachangiaji wake ni wengi wakiwamo niliowataja hapo juu. Mbunifu na mchangiaji mkuu wa encyclopedia hiyo ni KUBOTA. Sijui nimshukuru vipi? Naondoka Dar hivi karibuni kurudi kijijini na nitaunda makundi ya vijana, tufuge. AHSANT JAMIIFORUMS, AHSANTE KUBOTA NA WACHANGIAJI WOTE. Nasubiri ili mbele ya safari nipate VOLUME TWO ya encyclopedia hiyo. Nami nitawajuza maendeleo yangu mara tu nikianza ufugaji. Mubarikiwe nyote.