Nakushauri ufuge wa kisasa - Layers. wa kienyeji it takes time na faida si kubwa vile unavyodhani - nitafute nikupe ushauri wa bure - meanwhile angalia kazi hii hapa
Hawa wako 900, wanatoa Tray 24 kila siku kila Tray 5000- Chakula chao ni kilo 125 approx Tshs 55,000/-
Mtaji wa kuanzia unahitaji kuwa na not less than 6m before you start production. Kama unataka mchakato mzima sema nitakutumia database yangu.
1: Kuhusu dawa ya kusafishia mayai sina uhakika kama ipo au lah. Ninachojua kwa mazingira niliyotumia hiyo incubator nilikuwa nahakikisha mayai ni masafi tu na yale machafu kiasi yalikuwa yanafutwa kwa kitambaa.
2: umeme unapokatika hakikisha joto la ndani ya incubator halishuki chini ya nyuzi joto 37 centigrade. Kama umeme umekatika chini ya masaa manne na upo sehemu za joto kama Dar unaweza kulitunza joto la ndani ya incubator na linaweza lisishuke sana na kuwa na madhara. Kwa kuwa hakuna uhakika katika umeme wetu ni muhimu kuwa na jenereta itakayoweza kusaidia la sivyo ipo siku utapata hasara.
Lingine la kuzingatia hakikisha mayai hayajakaa zaidi ya wiki 2 tangu yalipotagwa au yametunzwa vizuri.
Kila la heri.
Asante sana mkuu, ninapoishi umeme haukatiki ovyo, hata ukikatika ni nusu saa tu unarudi.
Je waweza nisaidia wapi nitapata mayai ya kuku wa kienyeji watakaoweza atamia, maana wengi wanatala nipa mayai ila kuku hao hawawezi atamia
mkuu mimi natafuta incubators za kisasa vipi umepata wapi ya kwako? unaweza nielekeza ama kunipa adress zao!Jamani mimi nimenunua incubator bado mpya, nimeitest kwa siku mbili hivi.
Nauliza je kuna dawa yoyote ya kuoshea mayai kabla ya kuyaweka kwenye incubator?
Na je ikitokea umeme ukakatika kwa muda wa masaa manne je mayai yataharibika?
Naomba ujuzi wandugu kesho ndio nataka weka mayai kwenye mashine, nimepata ya kuku wa malawi
KWA MAHITAJI YA VITABU VYA KISWAHILI KUHUSU NAMNA BORA YA UFUGAJI KUKU WA KISASA,KIENYEJI(ASILI) NA KILIMO BORA,TUNA VITABU VIZURI
1 Chanjo na tiba ya majonjwa ya kuku
2 Hifadhi ya mayai kwa muda mrefu
3 Kulea vifaranga katika hatua zote muhimu
4 Kutengeneza vyakula vya kuku
5 Ufugaji bora rahisi wa kuku wa kienyeji
6 Uuzaji bora mazao ya kuku wa asili
7 Maandalizi ya banda la kufugia kuku kitaalamu
kwa anayehitaji tuwasiliane kwa namba 0754228411 nb vitabu vipo katika mfumo wa soft copy!!
ki ukweli si biashara ya faida, bali inahitajika fedha kidogo tu mkuu kwani nimevipata kwa gharama,hivyo tunashare cost tu!!Unaviuza au unatoa bure?
Kwa wanaohitaji vitabu vya namna bora ya ufugaji wa kuku wa kisasa, kienyeji na kilimo ,vipo katika soft copy tuwasiliane kwa 0754228411,vinahusu mada zifuatazo
1 jinsi ya kujenga banda
2 kulea vifaranga katika hatua zote muhimu
3 chakula cha kuku
4 kutunza mazao ya kuku kwa mda mrefu
magonjwa ya kuku na dalili zake nk
mkuu mimi natafuta incubators za kisasa vipi umepata wapi ya kwako? unaweza nielekeza ama kunipa adress zao!
Hebu cheki hiyo PDF nafikiri itafunguka bila matatizo.