Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

Nakushauri ufuge wa kisasa - Layers. wa kienyeji it takes time na faida si kubwa vile unavyodhani - nitafute nikupe ushauri wa bure - meanwhile angalia kazi hii hapa

attachment.php


Hawa wako 900, wanatoa Tray 24 kila siku kila Tray 5000- Chakula chao ni kilo 125 approx Tshs 55,000/-

Mtaji wa kuanzia unahitaji kuwa na not less than 6m before you start production. Kama unataka mchakato mzima sema nitakutumia database yangu.

Mkuu naomba unitumie na mm
 
1: Kuhusu dawa ya kusafishia mayai sina uhakika kama ipo au lah. Ninachojua kwa mazingira niliyotumia hiyo incubator nilikuwa nahakikisha mayai ni masafi tu na yale machafu kiasi yalikuwa yanafutwa kwa kitambaa.
2: umeme unapokatika hakikisha joto la ndani ya incubator halishuki chini ya nyuzi joto 37 centigrade. Kama umeme umekatika chini ya masaa manne na upo sehemu za joto kama Dar unaweza kulitunza joto la ndani ya incubator na linaweza lisishuke sana na kuwa na madhara. Kwa kuwa hakuna uhakika katika umeme wetu ni muhimu kuwa na jenereta itakayoweza kusaidia la sivyo ipo siku utapata hasara.

Lingine la kuzingatia hakikisha mayai hayajakaa zaidi ya wiki 2 tangu yalipotagwa au yametunzwa vizuri.

Kila la heri.

Asante sana mkuu, ninapoishi umeme haukatiki ovyo, hata ukikatika ni nusu saa tu unarudi.
Je waweza nisaidia wapi nitapata mayai ya kuku wa kienyeji watakaoweza atamia, maana wengi wanatala nipa mayai ila kuku hao hawawezi atamia
 
Asante sana mkuu, ninapoishi umeme haukatiki ovyo, hata ukikatika ni nusu saa tu unarudi.
Je waweza nisaidia wapi nitapata mayai ya kuku wa kienyeji watakaoweza atamia, maana wengi wanatala nipa mayai ila kuku hao hawawezi atamia

kama umeme ni wa uhakika basi haina shida sana ni kuhakikisha joto linakuwa halipungui sana katika incubator.
Sehemu ya kupata mayai ya kienyeji sijui hasa wapi kwa uhakika. Kwani wewe unapata wapi?
 
Jamani mimi nimenunua incubator bado mpya, nimeitest kwa siku mbili hivi.
Nauliza je kuna dawa yoyote ya kuoshea mayai kabla ya kuyaweka kwenye incubator?
Na je ikitokea umeme ukakatika kwa muda wa masaa manne je mayai yataharibika?
Naomba ujuzi wandugu kesho ndio nataka weka mayai kwenye mashine, nimepata ya kuku wa malawi
mkuu mimi natafuta incubators za kisasa vipi umepata wapi ya kwako? unaweza nielekeza ama kunipa adress zao!
 
KWA MAHITAJI YA VITABU VYA KISWAHILI KUHUSU NAMNA BORA YA UFUGAJI KUKU WA KISASA,KIENYEJI(ASILI) NA KILIMO BORA,TUNA VITABU VIZURI

1 Chanjo na tiba ya majonjwa ya kuku
2 Hifadhi ya mayai kwa muda mrefu
3 Kulea vifaranga katika hatua zote muhimu
4 Kutengeneza vyakula vya kuku
5 Ufugaji bora rahisi wa kuku wa kienyeji
6 Uuzaji bora mazao ya kuku wa asili
7 Maandalizi ya banda la kufugia kuku kitaalamu

kwa anayehitaji tuwasiliane kwa namba 0754228411 nb vitabu vipo katika mfumo wa soft copy!!
 
KWA MAHITAJI YA VITABU VYA KISWAHILI KUHUSU NAMNA BORA YA UFUGAJI KUKU WA KISASA,KIENYEJI(ASILI) NA KILIMO BORA,TUNA VITABU VIZURI

1 Chanjo na tiba ya majonjwa ya kuku
2 Hifadhi ya mayai kwa muda mrefu
3 Kulea vifaranga katika hatua zote muhimu
4 Kutengeneza vyakula vya kuku
5 Ufugaji bora rahisi wa kuku wa kienyeji
6 Uuzaji bora mazao ya kuku wa asili
7 Maandalizi ya banda la kufugia kuku kitaalamu

kwa anayehitaji tuwasiliane kwa namba 0754228411 nb vitabu vipo katika mfumo wa soft copy!!

Unaviuza au unatoa bure?
 
Kwa wanaohitaji vitabu vya namna bora ya ufugaji wa kuku wa kisasa, kienyeji na kilimo ,vipo katika soft copy tuwasiliane kwa 0754228411,vinahusu mada zifuatazo
1 jinsi ya kujenga banda
2 kulea vifaranga katika hatua zote muhimu
3 chakula cha kuku
4 kutunza mazao ya kuku kwa mda mrefu
magonjwa ya kuku na dalili zake nk
 
Kwa wanaohitaji vitabu vya namna bora ya ufugaji wa kuku wa kisasa, kienyeji na kilimo ,vipo katika soft copy tuwasiliane kwa 0754228411,vinahusu mada zifuatazo
1 jinsi ya kujenga banda
2 kulea vifaranga katika hatua zote muhimu
3 chakula cha kuku
4 kutunza mazao ya kuku kwa mda mrefu
magonjwa ya kuku na dalili zake nk

Weka bei mkuu kama ni msaada basi nitumie kwenye email yangu: nyati04@yahoo.com
 
baadhi ya vifaranga wananyonyoka manyoya,ni ugonjwa gani huo na tiba yake ni ipi?natanguliza shukrani.
 
Hebu cheki hiyo PDF nafikiri itafunguka bila matatizo.

Mkuu, habari!

asante kwa pdf file yenye mafunzo, ila mbona detail za kwanza hapo zinaonekana kuwa expenses ni kubwa kuliko revenue?
inakuwaje hapo mkuu? exp=400k lakini net income ikawa 100k?
 
Kubota. Vifaranga vya mwezi mmoja chotara wa israel mitetea 45 na majogoo 5 wanaweza kula vyakula gani mchanganyiko gani na kg ngapi kwa siku moja. Asante.
 
Changamoto kubwa kwa upande wa ufugaji wa Kuku wa kienyeji ni jinsi ya kupambana na magonjwa hasa kwa vifanga. Inabidi ujifunze na upate ushauri wa kitaalamu katika eneo hili.
 
Jamani nisaidieni kupata mfugaji anaeuza mayai ya kuku wa kienyeji..ninahitaji mayai urgently...tray20 tu kila wiki..pls yeyote anaeweza kuniunganisha na mtu huyo...
 
Back
Top Bottom