Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,265
I am impressed ngoja na mmi nije na mradi wangu hapa muuchakachue. All the best guys!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
New mzalendo Nitafute nikupe ushauri mambo ni mengi pia mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji soko lipo kubwa sana unatakiwa tu kujua undani wake. But it seems you are not serious hako kajogoo kamoja utafika nako weapi au unaogopa risk? nipigie 0755394701 tuongee mkuu
ndugu inaonekana hii biashara ni nzuri nahitaji mafunzo zaidi nami niingie huko!kuna kitu pia nimekiona kuhusu bei ya mafuta ya generator kuwa inakwenda tsh 1600!ulikuwa unanunulia wapi?au haya mahesabu ni mwaka jana?Cheki hiyo imeisha leo - nimefunga mahesabu yangu ya mwezi huu.
mkuu asante sana, nitapm sasa hivi, maana hii ya kungoja kuku sijui wawili wakue naona inachukua muda sana na ukiangalia mortality yao hadi kufikia kuku walau mia itachukua muda sana, na wazo la incubator zuri zaidi.
Hongera sana Fuso. Hiyo ni hatua kubwa, ukilinganisha na mimi ambaye ndo kwanza nina wakubwa 6 na vifaranga 5. Vilikuwa 9 lakini 4 vimeliwa na paka. Hata hivyo sikati tamaa, nina mpango wa kuongeza kuku wakubwa ili nisonge mbele - polepole ndio mwendo, nitafika tu.mi ninao 40 wakubwa na vifaranga 48 - nasogea sogea .
Ni mradi tosha kbs kokote ulipo,Swali langu! Mbona nikiwapa kuku watamie km mayai kumi na3 wanaweza angua 10 ama 8 na hao vifanga ktk siku kadha wanaweza wakasinzia na kuanza kushusha mabawa na hatimaye ni kufa,Je? Mwenye kujua dawa anijuze wajameni juzi tu kuku 2 wameangua zaidi ya vifaranga 18 lakini wote wamekufa.
Hongera sana Fuso. Hiyo ni hatua kubwa, ukilinganisha na mimi ambaye ndo kwanza nina wakubwa 6 na vifaranga 5. Vilikuwa 9 lakini 4 vimeliwa na paka. Hata hivyo sikati tamaa, nina mpango wa kuongeza kuku wakubwa ili nisonge mbele - polepole ndio mwendo, nitafika tu.
Maamuma,
pole sana imarisha banda ili kuzuia mbwa, vicheche na paka wasiingie. Tatizo sugu ni wezi wa kuku mimi nimeibiwa majooo sita ya mbegu, ndio nilikuwa nayatumia kwa ajili ya ku cross breed. Wameniibia Pure Kuchi mmoja, Rhode Island red moja, Half cast ya Kuchi na kienyeji moja, mbegu ya malawi (ile nyeusi moja), Pure kienyeji mawili. Jamaa waliruka fence na kuvunja banda cha ajabu katika mchanganyiko wa kuku wakabeba jogoo peke yake, majike yote yakabaki (Kati ya kuku 338 jamaa wakaweza kuchagua hao 6 tu). Nahisi ni mtu anayefahamu mazingira ya hapa kwangu
pole sana mkuu
je bora wangeiba wababa au wamama?
its nicenimeanza ufugaji wa kuku wa kienyeji,bado sija survey soko la kuku wa kienyeji likoje,kama kuna mtu mwenye uzoefu na hili anishauri ,pros and cons etc.bye the way nimeanza na Jogoo mmoja,ila natarajia kuongeza kuku within a week,projections ni kuwa na kuku 1000,hapo ndio nianze kuuza,matarajio yangu ni kuuza via interent-hapa nalenga watu wa DAR,ambao wako bize,i can do delivery maofisini within city center,na baadae kuweka vituo vya kufanya pickup wakati watu wanarudi home jioni,e.g mwenge junction,morroco petrol station,etc,malipo via M-pesa,sms banking pia na mahoteli.sitarajii faida ya haraka ,naomba ushauri kwa wale walifanya biashara hii,au wanajua mtu wa karibu aliyeifanya.