Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

natafuta mtu anayefuga kuku aina ya Kenbro hususani kutoka mikoa ya Iringa, Dodoma au Mbeya. Ninahitaji mayai kwa ajili ya kutotolesha ila nitahitaji kumtembelea kwanza kuona shughuli zake na kupeana ushauri.
 
Kama wewe ni mkulima na mfugaji kwa vitendo na ungependa kujumuika na wakulima wenzako whatsapp 0717269137 (kama haulimi wala kufuga haikuhusu) WE NEED SERIOUS PEOPLE
 
Kama wewe ni mkulima na mfugaji kwa vitendo na ungependa kujumuika na wakulima wenzako whatsapp 0717269137 (kama haulimi wala kufuga haikuhusu) WE NEED SERIOUS PEOPLE
 
Huu uzi ni kiboko sana. Ni chuo tosha cha ufugaji wa kuku. Nondo zilizoshiba zipo humu. Salute sana kwa Kubota
 
ninaa Chotara wakubwaaa wazuri wako kama 100 ukinunuaaa wote kwa pamojaa nitakuuziaaa 16000 kilaa mmojaa
.. nicheki 0752-109265
 
ninaa Chotara wakubwaaa wazuri wako kama 100 ukinunuaaa wote kwa pamojaa nitakuuziaaa 16000 kilaa mmojaa
.. nicheki 0752-109265
 
ninaa Chotara wakubwaaa wazuri wako kama 100 ukinunuaaa wote kwa pamojaa nitakuuziaaa 16000 kilaa mmojaa
.. nicheki 0752-109265
 
Dah mkuu hili swali lako ni la kitaalamu sana, inabidi kufuatilia mzunguko wa "hedhi ya kuku" au kitaalamu ovulation cycle yake inatokeaje.

Ngoja nichimbe kwanza kwenye vyanzo vyangu muhimu nitakuletea mrejesho.

Ila kwa sasa siwezi kukujibu maana hili swali ni la kitaaluma sana mkuu, na hii kesi binafsi sijawahi kukutana nayo.

Ngoja nichimbue vitabuni na kuuliza wataalamu wangu wa mifugo nitaleta mrejesho, naogopa kukupa jibu la moja kwa moja maana maandishi haya hukaa vizazi na vizazi.
Vifaranga vitakuwa vya wakwanza
 
Huu uzi ni chuo kabisa nimepata elimu kubwa sana nilikua napata hasara kwa kutojua mengi ila sasa mambo yanaenda asanteni sana!
 
Inawezekana mkuu, kama ukisoma mwanzo mwa huu uzi mkuu Kubota ameelezea vizuri sana.

Unachotakiwa ni kuchukua mayai yote kwa pamoja halafu unachagua kuku wawili wazuri wanaoweza kuatamia, dhen pale ambapo wanaaza kuonesha dalili ya kuanza kuatamia unawawekea, kuku hana shida kabisa.

Kumbuka kuwa kuna watu wenye kuku wengi ambao huwa wanahifadhi mayai viza, wao huwa kuku akianza tu kuonesha dalili za kuatamia wanamzubaisha kwa kumuwekea mayai viza, na anaweza kuyalalia hata wiki mbili ili asubiri wenzake wakamilishe mayai mengi ya kuatamiza.

Mayai yakishakuwa mengi unamtegea usiku unatoa mayai viza unaweka yale mazuri, kuku anaendelea kuatamia tu.

Zoezi hili hufanyika usiku kwa kuwa kuna baadhi ya kuku "wana nyodo" kama watu na wako makini mno, ukimpa mayai sio yake anasusa kuatamia, lakini hizi ni kesi chache sana ni kesi moja kati ya 1,000.

Karibu sana mkuu.
Lakini ukimuwekea mayai viza akaendelea kuatamia halafu baadae ukaweka mayai mazima ili aanze pamoja na wenzake..huoni kama atatotoa kabla akizngatia muda alioanza kuatamia
 
Lakini ukimuwekea mayai viza akaendelea kuatamia halafu baadae ukaweka mayai mazima ili aanze pamoja na wenzake..huoni kama atatotoa kabla akizngatia muda alioanza kuatamia
Mkuu kuku anaweza kukaa mpaka miezi(siku 60) miwili akiatamia mayai yake.
Kinachotakiwa umpe tu chakula na maji lakini pia ukumbuke kuku ana "intelligence" ya kumuwezesha kuacha mayai masaa kama 72 hivi toka kifaranga wa kwanza atotolewe, uwezo huu alipewa na Mungu.

Kama hakuna yao hata moja litakalototolewa, ataendelea kulalia tu mpaka siku 60, na hapa ndipo wajasiriamali huwa wanacheza napo
 
Back
Top Bottom