Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

Kama unasoko la hao kuku fanya uende vijijini kusanya idadi unayotaka uuze but kufuga kuku wakienyeji uwauze kwa ajili ya nyama ndani ya wiki 6 inabidi utumie muujiza
😀😀 Dah watz tunapenda pesa za haraka ndio maana DESI hazitaisha aisee!!! Tunapenda sana njia za mkato labda akiwanywesha mbolea ya kukuzia na akawalisha amira wanaweza kukua faster!! (Ooops I am kidding)
 
Najiandaa kuanza ufugaji wa kuku aina ya koroiler pamoja na wa kienyeji ifikapo mwezi wa sita

Kama una uzoefu/ushauri kuhusu huu Mradi na namna ya kuuendesha kwa faida unakaribishwa uchangie

Eneo ninalo la kutosha nipo Dar Es Salaam
 
Mkuu tushirikiane kufuga kama upo tayari,sabu mimi sina eneo ila nina elimu na mwongozo kidogo w ufugaji hasa kuku wa kienyeji hvo ninaweza kutafuta mtaji kidogo tukafuga,nipo dar pia.
 
Kama kuna mfugaji wa hawa kuku atueleze faida na changamoto zake hata mimi sina muda mrefu nitaanza kufuga niko Muheza Tanga
 
Kumbe hata Majogoo hawana nguvu za kiume? Mm nilijua ni sisi tu wanaume wa dar
 
MKUU kuku hatagi kwa kupandwa na jogoo...Kuku hutaga kulingana na lishe bora unayompa.Jogoo hutia mbegu tu ili kupata mayayi ambayo yanaweza kutotolewa au kutoa vifaranga. Mimi nakushauri wape lishe yenye mchanganiko sahihi wa lishe utaona .lishe ya kuku unaweza changanya Dagaa, mifupa, pumba za mahindi au za mpunga zile laini, chokaa, chumvi, mashudu ya alizeti, premix (Nutrients) zinauzwa kwenye maduka ya mifugo. Pia katika maji unayo wapatia uwe unawapa vitamin kwa vitality, na egg boost walamu mara 3 kwa wiki. Pia wapatie michicha walau mara 3 kwa wiki. Ni hayo tu
 
aliyeko mwanza natafuta vifaranga wa bata mzinga na vile vile vifaranga wa kanga, tafadhali anipm
 
Msaada vifaranga Wamepigwa na Ndui Dawa gani ambayo itawatoa

d91d6412113b1da1f2b61b6b33a37e66.jpg


e48ce1a69365dfa60455d11c455becee.jpg
 
Wakuu, nimeanza tena ufugaji wa kuku wa kienyeji. Mara hii natumia mfumo
wa NUSU HURIA nimeanza na kuku 15 mwaka Jana mpaka sasa wako 369
Nimeuza kuku 271 kwa bei za kati ya Tsh 17,000 mpaka 23,000 namshukuru
Mungu nimeweza kupunguza ukata.

Mwakahuu kuna ttizo kubwa limejitokeza nashindwa jinsi ya kulikabili, Kuna ndege
Mdogo kwa umbo anafanana sana na njiwa, anakamata vifaranga balaa. Tena
anakamata wale vifaranga wakubwa ambao wanajitegemea. Ndani ya wiki mbili
hizi amekamata vifaranga 18.

Sijajua jinsi ya kumdhibiti yaani huyu mshenzi ananipa hasira si mchezo.
 
Wakuu, nimeanza tena ufugaji wa kuku wa kienyeji. Mara hii natumia mfumo
wa NUSU HURIA nimeanza na kuku 15 mwaka Jana mpaka sasa wako 369
Nimeuza kuku 271 kwa bei za kati ya Tsh 17,000 mpaka 23,000 namshukuru
Mungu nimeweza kupunguza ukata.

Mwakahuu kuna ttizo kubwa limejitokeza nashindwa jinsi ya kulikabili, Kuna ndege
Mdogo kwa umbo anafanana sana na njiwa, anakamata vifaranga balaa. Tena
anakamata wale vifaranga wakubwa ambao wanajitegemea. Ndani ya wiki mbili
hizi amekamata vifaranga 18.

Sijajua jinsi ya kumdhibiti yaani huyu mshenzi ananipa hasira si mchezo.
Sina utaalam sana ila nafkiri ungewaweka wakulie ndani mpka watakapokua wakubwa kubwa zaid ya hapo
 
Back
Top Bottom