Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

Wakuu mwaka 2018 naona ni mwaka wa Baraka kwangu kwa macho ya rohoni.. Maana mwaka 2017 nilijaribu kufuga kuku wachache kwa majaribio kwa kiasi flan nikajua nini nifanye.. Lakini nilikumbwa na changamoto hizi zifuatazo..

1.ugonjwa WA ndui kwa vifaranga.hapa vifaranga sijajua nitumie dawa gani ili wasipate zile ndui ama vijipu flani machoni

2.namna ya kuchanganya vyakula vya kuku kulingana na umri... Yan formula sina kwa vifaranga na kuku wakubwa

3.namna ya kuvilea vifaranga mara baada tuu ya kutotolewa na Mama yao.. Maana vilikufa vifaranga zaidi ya 80 kwa mpigo kuna kitu nkajifunza.. (I) kutochanganya vifaranga wenye umri tofauti maana wanang'atana (II) dawa maalumu ya ndui naomba nijue

MALENGO
1.nimepanga nifuge kuku 100 tetea wenye umri sawa na jogoo 10 WAKUBWA (mbegu bora)... Tatzo lipo kwenye aina ya kuku wa kufuga wanao kua haraka na kutaga sanaa vile vile wenye umbo kubwaa

2.nivune kuku wangu 2018 kipindi cha mwaka mpya na Christmas maana nime assume tetea 100 kila mmoja ata totoa vifaranga 10+ hvyo wakitotoa wote ntakua na kuku 1000.. Hili nimelifanyia jaribio nimeona kabisa naweza maana kuku mmoja aliweza totoa hadi vifaranga 13

3.kuuza mayai, mbolea ya kuku,

4.kununua incubator baada ya mavuno ya kuku

5.kufungua kiwanda cha kuuza vyakula vya kuku pamoja na madawa ya kuku baada ya kupata uzoefu...maana na assume baada ya muda ntakua nauza vifaranga maana ntakua na incubator hvyo Wateja wangu hao wananiungisha hvyo vyakula na madawa..

NAONA MAFANIKIO MAKUBWA MBELE YANGU LAKINI CHANGAMOTO YA VIFARANGA INANIPA SHIDA NAOMBA SHULE...

Dawa niliokua natumia kwa kuku wakuba ilikua
1.newcastle
2.gomboro
Kama kuna dawa nyingine naomba nieleweshwe...

NIMEDHAMIRIA NA NAWEZA FANYA
nawasilisha kwenu wakuu ushauri napokea
 
Pata kuku wataamu kabisa kujiramba mwanzo mwisho
( *Wakienyeji* ) wakubwa wa kutoshaaa 20, 000tsh @1..

*_oda ya kuanzia Kuku 7 unapata punguzo_ ...*
* _Popote ulip0 dar unaletewa..*_

CALL-0752-109265
 
kuku wakienyeji kwaajili ya nyama.

Jari afya yako na wateja wako, kwa bei nafuu kabisa.

kuku kutoka mbeya, chimala na ubaruku., wanapatika sasa, tunapokea order ya kuanziaa kuku 10, discount ipo ukichukua kuku 20 nakuendeleaa, popote ulipo dar es salaam, utafikishiwa kuku moja kwa mojaa

tunapatikana sinza, Africasana.

kwa mawasiliano zaidi.
0654785510
au

0768254091.

gysn0911@gmail.com

ur welcome..
 
kuku wakienyeji kwaajili ya nyama.

Jari afya yako na wateja wako, kwa bei nafuu kabisa.

kuku kutoka mbeya, chimala na ubaruku., wanapatika sasa, tunapokea order ya kuanziaa kuku 10, discount ipo ukichukua kuku 20 nakuendeleaa, popote ulipo dar es salaam, utafikishiwa kuku moja kwa mojaa

tunapatikana sinza, Africasana.

kwa mawasiliano zaidi.
0654785510
au

0768254091.

gysn0911@gmail.com

ur welcome..
fa8a882953e644fb70bee88096cbd436.jpg


single order delivery..
 
Hongera na Pole! Kwa habari ya ndui kuna chanjo ya sindano! Unatakiwa uwape kama kinga, wakiumwa basi unawapa tu glucose watakaobaki wakipona kabisa unachanja.

Mengine nitajibu baadaye kidogo kama kutakua hajaja mwingine wa kukuelezea!
 
Hongera na Pole! Kwa habari ya ndui kuna chanjo ya sindano! Unatakiwa uwape kama kinga, wakiumwa basi unawapa tu glucose watakaobaki wakipona kabisa unachanja.

Mengine nitajibu baadaye kidogo kama kutakua hajaja mwingine wa kukuelezea!
Aina ya kuku mkuu
 
Back
Top Bottom