Atakuja jamani tumsubirie!!
Kanipm kuwa wanajukwaa mnampa sana presha, naombeni mtulie ili apakue mzigo wote vizuri, otherwise ataharibu coz atalazimika kupakua under pressure na mwishowe kuku wanaweza kufa!!
Tahadhari:
kubota ukipakua mzigo vibaya ujue utazamisha jahazi la wengi kwa hio stay calm na upakue kitu cha maana, hivyo hivyo kwa wanajamvi mkimshinikiza sana kupakua kabla haujaiva vizuri mjiandae kwa side effect yake!!
So kizuri hakitaki papara!!
Poleni anyway naona mmedhamiria kuua shetani umaskini kwa damu, machozi na jasho, nawatakia kila la kheri katika hili!!
Kanipm kuwa wanajukwaa mnampa sana presha, naombeni mtulie ili apakue mzigo wote vizuri, otherwise ataharibu coz atalazimika kupakua under pressure na mwishowe kuku wanaweza kufa!!
Tahadhari:
kubota ukipakua mzigo vibaya ujue utazamisha jahazi la wengi kwa hio stay calm na upakue kitu cha maana, hivyo hivyo kwa wanajamvi mkimshinikiza sana kupakua kabla haujaiva vizuri mjiandae kwa side effect yake!!
So kizuri hakitaki papara!!
Poleni anyway naona mmedhamiria kuua shetani umaskini kwa damu, machozi na jasho, nawatakia kila la kheri katika hili!!