Kubota
JF-Expert Member
- Oct 21, 2012
- 533
- 1,101
Je unawapatiaje joto? Inabidi uweke taa za umeme ama vipi?
Mdau No admission, soma kwa makini masimulizi yangu kuhusu ukuzaji wa vifaranga, nimesimulia joto la vifaranga lilipatikana kutoka kwa mama zao na wao vifaranga wenyewe kwa wingi wao huzalisha joto la kubwa la kutosha. Nakuomba usome taratibu na kwa umakini simulizi hii kuanzia mwanzo, lazima kuna kitu utaokota tu kitakachokuongezea pale ulipofikia.
