Kubota
JF-Expert Member
- Oct 21, 2012
- 533
- 1,101
Wadau kwa ujumla na wakuu Malamsha Shao, LiverpoolFC, Sabayi tuko pamoja! Mama Joe shukrani kwa kutujuza kuhusu magonjwa, Mama Timmy mchuzi ukiganda tutauchemsha tu hadi kieleweke! Mkuu LiverpoolFc ulikuwa umeulizia kuhusu chakula cha kuwapa vifaranga wako, iwapo kama hujafanikisha kwa kutumia chick marsh sidhani kama kutakuwa na jibu lingine tena! Tunapokabiriana na vifo vya vifaranga visababishi huwa ni vingi sana ikiwano na chakula duni, chick marsh kama hakijachakachuliwa, ndiyo excellent feed kwa vifaranga.
Na hadi kufikia sasa wakati nikisubiria ujanja mwingine nitaendelea kununua Chick marsh! Kuna ukimya hapa jukwaani iwapo kama kuna mdau aliefanikiwa kukuza vifaranga hadi umri wa wiki sita kwa chakula alichojitengenezea mwenyewe! Ukimya huu ni dhahiri kuwa hii ni changamoto kubwa sana! Sisemi kuwa hili haliwezekani wala sisemi hakuna anaeweza, wapo wanaoweza, ndiyo maana tuko hapa jukwaani kupeana uzoefu na kuelezana wapi tunakwama! Mimi nilishindwa kujitengenezea kama nilivyowasimulia huko nyuma, nikaamua kwa kuwakuza kuku kwa ule mwezi wa kwanza ninanunua chick marsh! Tutashukuru kupata wazo namna ya kupata ufumbuzi wa jambo hili, tumeambiwa mfuko wa chick marsh unafika hadi Shs alfu 40! Kwa hiyo kuweza kumudu kujitengenezea chakula hasa cha kuinulia vifaranga ni ukombozi mkubwa, mimi nilishashindwa kwa hili nilishaliweka wazi , na mkuu DAFO nae pia alikiri kuwa hii ni changamoto kubwa!
Nimesharudi nakuja kama ifuatavyo:
Magonjwa: Kabla sijaendelea kusimulia yaliyonikuta naomba niongee nadharia kwanza kuhusu mtazamo wangu nikilinganisha ufugaji wa kuku wa kienyeji na ule ufugaji wa kuku wa kisasa..............
Na hadi kufikia sasa wakati nikisubiria ujanja mwingine nitaendelea kununua Chick marsh! Kuna ukimya hapa jukwaani iwapo kama kuna mdau aliefanikiwa kukuza vifaranga hadi umri wa wiki sita kwa chakula alichojitengenezea mwenyewe! Ukimya huu ni dhahiri kuwa hii ni changamoto kubwa sana! Sisemi kuwa hili haliwezekani wala sisemi hakuna anaeweza, wapo wanaoweza, ndiyo maana tuko hapa jukwaani kupeana uzoefu na kuelezana wapi tunakwama! Mimi nilishindwa kujitengenezea kama nilivyowasimulia huko nyuma, nikaamua kwa kuwakuza kuku kwa ule mwezi wa kwanza ninanunua chick marsh! Tutashukuru kupata wazo namna ya kupata ufumbuzi wa jambo hili, tumeambiwa mfuko wa chick marsh unafika hadi Shs alfu 40! Kwa hiyo kuweza kumudu kujitengenezea chakula hasa cha kuinulia vifaranga ni ukombozi mkubwa, mimi nilishashindwa kwa hili nilishaliweka wazi , na mkuu DAFO nae pia alikiri kuwa hii ni changamoto kubwa!
Nimesharudi nakuja kama ifuatavyo:
Magonjwa: Kabla sijaendelea kusimulia yaliyonikuta naomba niongee nadharia kwanza kuhusu mtazamo wangu nikilinganisha ufugaji wa kuku wa kienyeji na ule ufugaji wa kuku wa kisasa..............