Ufugaji wa kuku wa kienyeji ni jambo linalowezekana

Ufugaji wa kuku wa kienyeji ni jambo linalowezekana

mbona nitashukuru. basi weka hapa wote tufaidike or else come inbox!

All in all, nimewafuga sana na sasa nina kama 50/40 or so.

Ulaji wao unatisha... nina vifaranga 30 vya wiki moja , vinakula kg 1 ya starter kwa wiki (kwa kuwabania)! which costs 2000 per kilo. Wakifikisha mwezi itakuwaje?
Kwenye chakula ndiko unakokosea mpaka unaona kufuga ni gharama, nilishawahi kufuga kuku wakafika 300. Ila nilikuwa natengeneza chakula Cha gharama nafuu
 
  • Nipo makini kufuatiliwa majizano ya wote.
  • Endeleeni kufunguka.
  • Nitasema neno hali na muda vitakaporuhusu.
 
Kulima? Mahindi? Umeshawahi kulima? Nimelima sana , mvua hizo za el nino mimea yote ya mahindi imeoza yameoza
We kila mahali unafeli? kulima mahindi mara El nino kufuga mara gharama sana sasa utaweza nini life ni kukomaa tu it takes time kuotea tobo and the rest inabaki history sio kuanza hiki unaacha unaenda kingine
 
Kumekuwa na kasumba juu ya swala Zima la ufugaji wa kuku wa kienyeji kuonekana kama ni swala lisilowezekana yaani kufuga kuku wa kienyeji mpaka kufikia idadi kubwa yani 1000, 2000 au hata 3000

Baada ya majaribio kadhaa ya kufuga hawa kuku sasa rasmi nmeingia kwenye ufugaji wa kuku wa kienyeji kwa mazingatio ya hali ya juu na mpaka kufikia mwezi December nataka kuwa na kuku si chini ya 1000.

Nimeanza na makoo 35 na majogoo 6. Mpaka sasa nina vifaranga zaidi ya 50 ambao nawalea kwa kutumia joto la taa na mkaa na makoo zaidi ya 7 yanayolalia mayai yasiyopungua 15 kwa kila moja

Rafiki njoo tubadilishane mawazo juu ya mradi wa kuku wa kienyeji pure.

View attachment 2738085View attachment 2738086View attachment 2738088
Vp ripoti ndg?
 
UTAFANIKIWA KAKA LAKINI JIANDAE KISAIKOLOJIA ,HAKUNA LISILOWEZEKANA KIKUBWA NIA
Screenshot_20240508-222133.png
 
Naomba niwape mrejesho
Zoezi langu limefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana ,lengo lilikua nifuge na nipate kuku1000 lakini ktk jambo lolote changamoto lazima ziwepo nilikumbana na ugonjwa wa vifaranga kuharisha damu so baadhi vilikufa lakini pamoja na Hilo nilifanikiwa kupata kuku 628 na kupitia safari hii nmejifunza mengi sana , nashkuru nilipata mteja kutoka humu humu jukwaani na alichukua kuku 540 na Hawa niliobaki nao naanza nao safari mpya ya matumaini makubwa sana
Karibuni tufuge jamani kwa sasa Nina bata bukini,bata mzinga ,bata wa kienyeji, bata wa mayai kanga weupe na wa madoa na pia Nina mbuzi mtaji wa kuku umenipa mambo mengi sana
Alamsiki
20240707_174823.jpg
20240501_150043.jpg
20240228_175133.jpg
20240219_173431.jpg
20240122_163830.jpg
 
Naomba niwape mrejesho
Zoezi langu limefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana ,lengo lilikua nifuge na nipate kuku1000 lakini ktk jambo lolote changamoto lazima ziwepo nilikumbana na ugonjwa wa vifaranga kuharisha damu so baadhi vilikufa lakini pamoja na Hilo nilifanikiwa kupata kuku 628 na kupitia safari hii nmejifunza mengi sana , nashkuru nilipata mteja kutoka humu humu jukwaani na alichukua kuku 540 na Hawa niliobaki nao naanza nao safari mpya ya matumaini makubwa sana
Karibuni tufuge jamani kwa sasa Nina bata bukini,bata mzinga ,bata wa kienyeji, bata wa mayai kanga weupe na wa madoa na pia Nina mbuzi mtaji wa kuku umenipa mambo mengi sana
AlamsikiView attachment 3044707View attachment 3044716View attachment 3044717View attachment 3044718View attachment 3044719
Mkuu unapatikana wapi ?
 
Inawezekana....nakutia[emoji846]....moyo
Kuna rafiki yangu kafikisha kuku 10,000 na zaidi...ila hafanyi shughuli nyingine...yupo mwenyewe 24/7...
Siku namtembelea alikuwa anauza majogoo 15,000x500=7,500 000
Na nikiangalia wale kuku wala sioni tofauti kama wamepungua.....Sasa fikiri haupo ni umeweka mfanyakazi.....lazima akutie[emoji115]

Samahani naweza kupata mawasiliano yake nauhitaji wa mayai..
 
Back
Top Bottom