christopher mkwama
Member
- Aug 16, 2015
- 14
- 2
mama joe mungu akubaliki sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KUKU WA KIENYEJI - UFUGAJI BORA
Kuku hutoka kwenye kizazi kinachojulikana kitaalam kama gallus gallus, Ufugaji huu nitaoelezea ni wa kienyeji kabisa ila huu umeboreshwa kidogo ili kuleta faida zaidi, kwanza itabidi uwe na eneo lakutosha kama ekari mbili (70m *140m) banda la kuku liwe linalohamishika na liwe limejengwa juu juu, hii husaidia kupunguza maambukizi ya magonjwa kwa sababu kinyesi cha kuku kikilundikana huweza kubeba vimelea vya magonjwa
BANDA BORA LINALOHAMISHIKA
Banda liwekewe viota vya kutagia na unaweza kuwafundisha kuku kuvitumia mapema kabla ya kuanza kutaga kwa kuchelewa kuwafungulia asubuhi. Kwa kawaida kuku hupenda kulala bandani wakiwa juu juu kwa hiyo uweke baadhi ya fito au mbao nyembamba zikining'inia pia kuwe na vyombo vya chakula nje ya banda
Hakikisha banda halivuji na wanyama wakali hawaingii lakini liwe na hewa ya kutosha na lisiwe na joto wala baridi kali, ni vizuri ukiliweka chini ya miti
Ili kuboresha ufugaji huu inashauriwa kutumia majogoo ya kisasa ambayo yana patika kwa mazalishaji wa kuku kote nchini, pia unaweza kutumia majogoo ya kuku aina ya KUCHI wanaopatikana zaidi miko ya Singida na Shinyanga. Majogoo ya kisasa huweza kuhudumia wastani wa majike 20-25 na kuchi huweza kuhudumia majike 10 -15 kwa sababu ni wavivu kidogo
MAJOGOO YA KISASA INA YA CORNISH
Andaa na banda la kukuziA watoto ambalo litawakinga na wanyama wakali na mwewe, banda linakuwa wazi juu hukulikizuiwa na waya kwa 75% na 25% iwe imezibwa kwa mbao ili kuwapatia kivuli wanapohitaji, banda hili lina hitaji kuhamishwa hamisha angalau mara 5 kwa siku kutika mahali pamoja hadi pengine, hakikisha banda la watoto lina maji na chakula muda wote, pia kumbuka kuwawekea mabaki ya mboga za majani kama mchicha, kunde, kisamvu n.k
FAIDA
(A) Mfumo hauhitaji chakula maalum kama kuku wa ndani
(B) Wadudu kama utitiri na virobot hushambulia kuku mara chache
(C) Kuku hupata muda wa mazoezi kwa kutembea tembea
(D) Gharama za uendeshaji ni kidogo
(E) Hautumii muda mwingi
(F) Kiasi cha uchafu ni kidogo
HASARA
(A)Vifaranga huweza kuliwa na mwewe au wanyama
(B) Mayai huweza kupotea yakitagwa nje ya banda
(C)Kuku huweza kula mbegu zilizopandwa mashambani
(D)Vifo vya kuku ni vingi
CHANJO
Kuku wapewe chanjo ya kideri/mdondo kila baada ya miezi mitatu chanjo hii hupatikana nchini kote ukifika dukani ulizia chanjo ya newcastle, utapata maelekezo ya jinsi ya kuwawekea kuku kwenye maji ya kunywa, chanjo hii wapewe kuku wazima tu na wagonjwa watengwe mbali
MINYOO
Kuku hunyweshwa dawa ya minyoo kila baada ya miezi mitatu, kuna dawa kama piperazine na nyinginezo ambazo huwekwa kwenye maji
CHAWA NA UTITIRI
Unaweza kutumia dawa za kuogeshea mifugo kama ecotix au dawa ya unga unga ya kunyunyuzia kama akheri powder, dawa ya akheri unaweza kuimwaga bandani na kisha kumnyunyuzia kuku mwilini ukiwa umemning'iniza kichwa chini miguu juu ili mayoya yaacha nafasi ya dawa kuingia
MAGONJWA YA MAPAFU
Kuna magonjwa mengi yanayoshambulia mfumo wa hewa, dawa ya tylosin inauwezo mkubwa wa kupambana na magonjwa karibu yote, wape dawa hii mara tu unapoanza kuona dalili za mafua
Source: Mitiki.blogspot.com
Songea muna branch au mutakuja lini kwenye semina?Habarini wana JF,
Napenda kuwashakuru wadau wote waliopata fursa ya kuhudhuria mafunzo ya ufugaji wa kuku, masoka na mitaji. Kwa kweli ilikuwa ni semina ya aina yake kuwahi kufanyika mkoani DSM. Katika semina hiyo tulipata pia fursa ya kufhamiana nje ya jamii forum. Shukrani za pekee ziende kwa shirika la Communication Solution kwa kuweza kuandaa tukio kubwa kama lile.
Masomo yaliyofundishwa ni mengi na yenye tija kubwa kwa wafugaji. Katika semina hiyo, kitabu cha mwongozo wa ufugaji bora wa kuku kiliuzwa kwa ofa ya sh elfu 20 tu badala ya sh elfu 60 bei yake ya halisi. Formula mbalimbali za kutengeneza chakula cha kuku na namna ya utumiaji wake, malighafi zilizotumika, uandaaji wake na upatikanaji ziligaiwa kwa wanasemina. Ilisisitizwa kuwa inalipa kutengeneza chakula mwenyewe. Gharama ya chakula inakuwa ndogo ukilinginisha na chakula cha kununua.
Kwa ambaye hakupata fursa ya kuhudhuri mafunzo hayo Communication Solution waliweza kulirecord tukio lote kwa kutumia wapiga picha wa Benchmark Production kusudi kuwanufaisha wote ambao hawakupata fursa ya kuhudhuria mafunzo hayo. DVD hizo zinapatikana kwa shilingi elfu 10 tu. Kwa yeyote ambaye atahitaji DVD Hiyo basi awasiliane na Communication Solution kwa simu namba 0655663900.
Elimu ina thamani katika ufugaji wa kuku wenye tija.
Songea muna branch au mutafika Lin kwa ajili ya Mafunzo?Je wewe ni mtotoleshaji au unapenda kuwa mtotoleshaji wa Vifaranga wa kuku wa kienyeji walioboreshwa na unakosa vyanzo vya uhakika vya kupata mayai bora yenye mbegu? Kampuni yako ya KINASORU EAST AFRICA (T) LTD inakuhakikishia kupata mayai hayo kwa kiasi chochote utakachokihitaji. Huna haja ya kuhangaika kufuga mwenyewe. Tunakuuzia mayai na kazi ya utotoleshaji unaianza mara moja.
KINASORU EAST AFRICA (T) LTD inajivunia kuwa na mtandao mpana wa wafugaji au outgrowers ambao kampuni inawasimamia. Tuna jumla ya wafugaji (outgrowers) 60 Morogoro mjini, 30 Dodoma mjini, 1, Dakawa Mvomero . Tunaendelea kuwatengeneza outgrowers wengine katika mikoa ya Singida, Tabora na Ruvuma. Lengo letu ni kuwa na mtandao mpana zaidi wa wafugaji wa kuku wa asili walioboreshwa Tanzania kuweza kutosheleza soko la watotoleshaji.
Mfumo wetu wa biashara unatoa faida kwa mfugaji, kampuni yetu pamoja na mnunuaji.
Mfugaji yeye ananufaika kwa kupata uhakika wa soko mara baada ya kuku wake kuanza kutaga. Ananufaika pia na ushauri na huduma za ugani ikitokea kuku wake wanaumwa pamoja na madawa na chakula pale anapoishiwa chakula na kukosa pesa. Kwa maana nyingine mfugaji anawekwa katika mazingira ya uhakika na kazi anayoifanya.
Kampuni yetu inanufaika kwanza kwa kuwa na uhakika wa kupata mayai bora na yenye sifa ya kutotoleshwa kwa kiasi chochote tunachokihitaji na kwa wakati kupitia wafugaji wetu tuliowatengeneza na hivyo kutusaidia kutatua changamoto ya oda kubwa tulizokuwa tunazipata kutoka kwenye makampuni yanayozalisha kuku hao wa asili walioboreshwa. Vile vile tunapata faida ya kuaminiwa kwa kampuni yetu kutokana na kusambaza mayai yanayokidhi vigezo na kuwavutia wateja wetu wengi. Katika kuhakikisha kuwa Kampuni yetu inanufaika kidogo na mtandao wetu wa wafugaji kuku wa asili walioboreshwa, tunaongeza asilimia kidogo kwenye mayai tunayoyakusanya kutoka kwa wafugaji wetu, tunashukuru inatusaidia kupata chochote kwa ajili ya kuendesha ofisi yetu. Halikadhalika, tunauza vifaranga wa kuku wa asili walioboreshwa kwenye mtandao wetu wa wafugaji. Kwahakika Hakuna biashara isiyokuwa na faida.
Wateja wetu wa mayai tunawasaidia kutafuta masoko ya vifaranga wao kwenye mtandao wetu wa wafugaji na hata wale walionje ya mtandao wetu wa wafugaji ambao wanahitaji vifaranga bora kutoka kwenye kampuni yetu mara baada ya kutotolewa kutoka kwenye mashine. Kitu kingine, wateja wetu wa mayai wananufaika na elimu ya uanzishaji na uendeshaji wa mradi wa utotoleshaji wa vifaranga. Tunawafundisha na kuwaelekeza nini ufanye au vitu gani vya msingi uzingatie ili uweze kuanzisha mradi wa uzalishaji wa vifaranga. Je mayai kabla ya kuingizwa katika machine na kuanza kutotoleshwa yanatibiwaje? Kampuni yetu haikuachi peke yako itakufundisha kila kitu kitakachokufanya uzalishe vifaranga bora kabisa watakaokupa jina mtaani.
Kinasoru East Africa (T) LTD inafanya kazi ya kuwaunganisha wafugaji na wazalishaji wa vifaranga na kuhakikisha kuwa huduma zinazotolewa zinakuwa bora na zenye kukidhi viwango.
Huduma nyingine ambazo Kinasoru East Africa (T) LTD inazitoa ni kuuza vifaranga wa Mayai (Layers), Vifaranga wa Nyama (Broilers),na Vijogoo. Pia tunauza vichanganyia mbalimbali vya kutengenezea chakula cha kuku na mifugo mingine mfano Nguruwe. Tunasaidia wafugaji kupata masoko ya mifugo na mazao yake. Tunatoa semina za mafunzo ya ufugaji wa kibiashara na ushauri katika miradi inayohusiana na mifugo, ikiwemo Kuku au jamii zote za ndege, Ng'ombe, Mbuzi, Kondoo, Sungura, Nguruwe na Samaki. Tunatoa huduma za Vijana wa kusimamia mashamba ya mifugo, vijana wetu ni waadilifu na waliowafundishwa vyema usimamizi wa miradi ya ufugaji. Pia tunasaidia katika kuanzisha na kusimamia miradi ya wateja wetu. Tunafanya farm feasibility study na Farm Planinng. Tunatoa huduma zote za ugani mfano matibabu, ushauri wa ufugaji bora, uandaaji wa chakula cha mifugo na mpango wa ulishaji, tunasaidia ng'ombe kuzaa, tufanya upandishaji ng'ombe kwa njia ya chupa au Artificial Insemination nk.
Tuna wataalam na mifumo inayozesha utoaji wa huduma zetu kwa uhakika na kuwafikia wateja wetu popote walipo.
Ofisi zetu za KINASORU EAST AFRICA (T) LTD, Ziko Dodoma Mjini, Mtaa wa Nduka Chamwino Bonanza, Mbele Kidogo ya Soko la Maisha Plus.
Aman Ng'oma, Mkurugenzi Mtendaji Simu namba 0767989713, 0715989713 na 0786989713. E-mail: amanngoma@gmail.com
Karibu kwa huduma bora na za uhakika.
hi! kichwa mbovu nilitaka kujua kama biashara ya mayai ya kuku wa kienyeji inalipa kwa hapa Tanzania.Nina plan za kufanya hii biashara on commercial basis.Na je unaposema kuku chotara inamaanisha bado mayai yake yatakuwa ni kama ya kuku wa kienyeji? kuna aina ya kuku inaitwa Longhorn inasemekana ni aina ya kuku wanaotaga mayai mengi zaidi duniani je hii ni aina ya kuku wa kienyeji kama sio ni aina gani ya kuku wa kienyeji wanaotaga mayai mengi zaidi nijuze tu hata kama wanapatikana nje ya Tanzania ilimradi tu wawe wa kienyeji maana ndio biashara ninayotaka kufanya kwa sasa.
Je wewe ni mtotoleshaji au unapenda kuwa mtotoleshaji wa Vifaranga wa kuku wa kienyeji walioboreshwa na unakosa vyanzo vya uhakika vya kupata mayai bora yenye mbegu? Kampuni yako ya KINASORU EAST AFRICA (T) LTD inakuhakikishia kupata mayai hayo kwa kiasi chochote utakachokihitaji. Huna haja ya kuhangaika kufuga mwenyewe. Tunakuuzia mayai na kazi ya utotoleshaji unaianza mara moja.
KINASORU EAST AFRICA (T) LTD inajivunia kuwa na mtandao mpana wa wafugaji au outgrowers ambao kampuni inawasimamia. Tuna jumla ya wafugaji (outgrowers) 60 Morogoro mjini, 30 Dodoma mjini, 1, Dakawa Mvomero . Tunaendelea kuwatengeneza outgrowers wengine katika mikoa ya Singida, Tabora na Ruvuma. Lengo letu ni kuwa na mtandao mpana zaidi wa wafugaji wa kuku wa asili walioboreshwa Tanzania kuweza kutosheleza soko la watotoleshaji.
Mfumo wetu wa biashara unatoa faida kwa mfugaji, kampuni yetu pamoja na mnunuaji.
Mfugaji yeye ananufaika kwa kupata uhakika wa soko mara baada ya kuku wake kuanza kutaga. Ananufaika pia na ushauri na huduma za ugani ikitokea kuku wake wanaumwa pamoja na madawa na chakula pale anapoishiwa chakula na kukosa pesa. Kwa maana nyingine mfugaji anawekwa katika mazingira ya uhakika na kazi anayoifanya.
Kampuni yetu inanufaika kwanza kwa kuwa na uhakika wa kupata mayai bora na yenye sifa ya kutotoleshwa kwa kiasi chochote tunachokihitaji na kwa wakati kupitia wafugaji wetu tuliowatengeneza na hivyo kutusaidia kutatua changamoto ya oda kubwa tulizokuwa tunazipata kutoka kwenye makampuni yanayozalisha kuku hao wa asili walioboreshwa. Vile vile tunapata faida ya kuaminiwa kwa kampuni yetu kutokana na kusambaza mayai yanayokidhi vigezo na kuwavutia wateja wetu wengi. Katika kuhakikisha kuwa Kampuni yetu inanufaika kidogo na mtandao wetu wa wafugaji kuku wa asili walioboreshwa, tunaongeza asilimia kidogo kwenye mayai tunayoyakusanya kutoka kwa wafugaji wetu, tunashukuru inatusaidia kupata chochote kwa ajili ya kuendesha ofisi yetu. Halikadhalika, tunauza vifaranga wa kuku wa asili walioboreshwa kwenye mtandao wetu wa wafugaji. Kwahakika Hakuna biashara isiyokuwa na faida.
Wateja wetu wa mayai tunawasaidia kutafuta masoko ya vifaranga wao kwenye mtandao wetu wa wafugaji na hata wale walionje ya mtandao wetu wa wafugaji ambao wanahitaji vifaranga bora kutoka kwenye kampuni yetu mara baada ya kutotolewa kutoka kwenye mashine. Kitu kingine, wateja wetu wa mayai wananufaika na elimu ya uanzishaji na uendeshaji wa mradi wa utotoleshaji wa vifaranga. Tunawafundisha na kuwaelekeza nini ufanye au vitu gani vya msingi uzingatie ili uweze kuanzisha mradi wa uzalishaji wa vifaranga. Je mayai kabla ya kuingizwa katika machine na kuanza kutotoleshwa yanatibiwaje? Kampuni yetu haikuachi peke yako itakufundisha kila kitu kitakachokufanya uzalishe vifaranga bora kabisa watakaokupa jina mtaani.
Kinasoru East Africa (T) LTD inafanya kazi ya kuwaunganisha wafugaji na wazalishaji wa vifaranga na kuhakikisha kuwa huduma zinazotolewa zinakuwa bora na zenye kukidhi viwango.
Huduma nyingine ambazo Kinasoru East Africa (T) LTD inazitoa ni kuuza vifaranga wa Mayai (Layers), Vifaranga wa Nyama (Broilers),na Vijogoo. Pia tunauza vichanganyia mbalimbali vya kutengenezea chakula cha kuku na mifugo mingine mfano Nguruwe. Tunasaidia wafugaji kupata masoko ya mifugo na mazao yake. Tunatoa semina za mafunzo ya ufugaji wa kibiashara na ushauri katika miradi inayohusiana na mifugo, ikiwemo Kuku au jamii zote za ndege, Ng'ombe, Mbuzi, Kondoo, Sungura, Nguruwe na Samaki. Tunatoa huduma za Vijana wa kusimamia mashamba ya mifugo, vijana wetu ni waadilifu na waliowafundishwa vyema usimamizi wa miradi ya ufugaji. Pia tunasaidia katika kuanzisha na kusimamia miradi ya wateja wetu. Tunafanya farm feasibility study na Farm Planinng. Tunatoa huduma zote za ugani mfano matibabu, ushauri wa ufugaji bora, uandaaji wa chakula cha mifugo na mpango wa ulishaji, tunasaidia ng'ombe kuzaa, tufanya upandishaji ng'ombe kwa njia ya chupa au Artificial Insemination nk.
Tuna wataalam na mifumo inayozesha utoaji wa huduma zetu kwa uhakika na kuwafikia wateja wetu popote walipo.
Ofisi zetu za KINASORU EAST AFRICA (T) LTD, Ziko Dodoma Mjini, Mtaa wa Nduka Chamwino Bonanza, Mbele Kidogo ya Soko la Maisha Plus.
Aman Ng'oma, Mkurugenzi Mtendaji Simu namba 0767989713, 0715989713 na 0786989713. E-mail: amanngoma@gmail.com
Karibu kwa huduma bora na za uhakika.
Je wewe ni mtotoleshaji au unapenda kuwa mtotoleshaji wa Vifaranga wa kuku wa kienyeji walioboreshwa na unakosa vyanzo vya uhakika vya kupata mayai bora yenye mbegu? Kampuni yako ya KINASORU EAST AFRICA (T) LTD inakuhakikishia kupata mayai hayo kwa kiasi chochote utakachokihitaji. Huna haja ya kuhangaika kufuga mwenyewe. Tunakuuzia mayai na kazi ya utotoleshaji unaianza mara moja.
KINASORU EAST AFRICA (T) LTD inajivunia kuwa na mtandao mpana wa wafugaji au outgrowers ambao kampuni inawasimamia. Tuna jumla ya wafugaji (outgrowers) 60 Morogoro mjini, 30 Dodoma mjini, 1, Dakawa Mvomero . Tunaendelea kuwatengeneza outgrowers wengine katika mikoa ya Singida, Tabora na Ruvuma. Lengo letu ni kuwa na mtandao mpana zaidi wa wafugaji wa kuku wa asili walioboreshwa Tanzania kuweza kutosheleza soko la watotoleshaji.
Mfumo wetu wa biashara unatoa faida kwa mfugaji, kampuni yetu pamoja na mnunuaji.
Mfugaji yeye ananufaika kwa kupata uhakika wa soko mara baada ya kuku wake kuanza kutaga. Ananufaika pia na ushauri na huduma za ugani ikitokea kuku wake wanaumwa pamoja na madawa na chakula pale anapoishiwa chakula na kukosa pesa. Kwa maana nyingine mfugaji anawekwa katika mazingira ya uhakika na kazi anayoifanya.
Kampuni yetu inanufaika kwanza kwa kuwa na uhakika wa kupata mayai bora na yenye sifa ya kutotoleshwa kwa kiasi chochote tunachokihitaji na kwa wakati kupitia wafugaji wetu tuliowatengeneza na hivyo kutusaidia kutatua changamoto ya oda kubwa tulizokuwa tunazipata kutoka kwenye makampuni yanayozalisha kuku hao wa asili walioboreshwa. Vile vile tunapata faida ya kuaminiwa kwa kampuni yetu kutokana na kusambaza mayai yanayokidhi vigezo na kuwavutia wateja wetu wengi. Katika kuhakikisha kuwa Kampuni yetu inanufaika kidogo na mtandao wetu wa wafugaji kuku wa asili walioboreshwa, tunaongeza asilimia kidogo kwenye mayai tunayoyakusanya kutoka kwa wafugaji wetu, tunashukuru inatusaidia kupata chochote kwa ajili ya kuendesha ofisi yetu. Halikadhalika, tunauza vifaranga wa kuku wa asili walioboreshwa kwenye mtandao wetu wa wafugaji. Kwahakika Hakuna biashara isiyokuwa na faida.
Wateja wetu wa mayai tunawasaidia kutafuta masoko ya vifaranga wao kwenye mtandao wetu wa wafugaji na hata wale walionje ya mtandao wetu wa wafugaji ambao wanahitaji vifaranga bora kutoka kwenye kampuni yetu mara baada ya kutotolewa kutoka kwenye mashine. Kitu kingine, wateja wetu wa mayai wananufaika na elimu ya uanzishaji na uendeshaji wa mradi wa utotoleshaji wa vifaranga. Tunawafundisha na kuwaelekeza nini ufanye au vitu gani vya msingi uzingatie ili uweze kuanzisha mradi wa uzalishaji wa vifaranga. Je mayai kabla ya kuingizwa katika machine na kuanza kutotoleshwa yanatibiwaje? Kampuni yetu haikuachi peke yako itakufundisha kila kitu kitakachokufanya uzalishe vifaranga bora kabisa watakaokupa jina mtaani.
Kinasoru East Africa (T) LTD inafanya kazi ya kuwaunganisha wafugaji na wazalishaji wa vifaranga na kuhakikisha kuwa huduma zinazotolewa zinakuwa bora na zenye kukidhi viwango.
Huduma nyingine ambazo Kinasoru East Africa (T) LTD inazitoa ni kuuza vifaranga wa Mayai (Layers), Vifaranga wa Nyama (Broilers),na Vijogoo. Pia tunauza vichanganyia mbalimbali vya kutengenezea chakula cha kuku na mifugo mingine mfano Nguruwe. Tunasaidia wafugaji kupata masoko ya mifugo na mazao yake. Tunatoa semina za mafunzo ya ufugaji wa kibiashara na ushauri katika miradi inayohusiana na mifugo, ikiwemo Kuku au jamii zote za ndege, Ng'ombe, Mbuzi, Kondoo, Sungura, Nguruwe na Samaki. Tunatoa huduma za Vijana wa kusimamia mashamba ya mifugo, vijana wetu ni waadilifu na waliowafundishwa vyema usimamizi wa miradi ya ufugaji. Pia tunasaidia katika kuanzisha na kusimamia miradi ya wateja wetu. Tunafanya farm feasibility study na Farm Planinng. Tunatoa huduma zote za ugani mfano matibabu, ushauri wa ufugaji bora, uandaaji wa chakula cha mifugo na mpango wa ulishaji, tunasaidia ng'ombe kuzaa, tufanya upandishaji ng'ombe kwa njia ya chupa au Artificial Insemination nk.
Tuna wataalam na mifumo inayozesha utoaji wa huduma zetu kwa uhakika na kuwafikia wateja wetu popote walipo.
Ofisi zetu za KINASORU EAST AFRICA (T) LTD, Ziko Dodoma Mjini, Mtaa wa Nduka Chamwino Bonanza, Mbele Kidogo ya Soko la Maisha Plus.
Aman Ng'oma, Mkurugenzi Mtendaji Simu namba 0767989713, 0715989713 na 0786989713. E-mail: amanngoma@gmail.com
Karibu kwa huduma bora na za uhakika.
waeleze jamaniTufuge wa kienyeji best na madawa yao ya kienyeji, naamini ni rahisi kuwafuga
Uko sawa kabisa ila inachukua muda kutoboa.Tufuge wa kienyeji best na madawa yao ya kienyeji, naamini ni rahisi kuwafuga
Unaishi Dar sehemu gani,na unataka mabanda ya kufuga kuku wangapi.Nakuuliza hivyo kuna mahali yapoivi kwa dsm wapi naweza kupata mabanda ya kukodi kwaajil ya ufugaji wa broilers?