Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

Nasikia kuna chanjo ambanzo huwa zinatolewa mara baada ya kifaranga kuanguliwa,hizo chanjo zinaitwaje?na kwa mtu anayetegemea kutotolesha vifaranga kwa kutumia kuku wazazi anaweza akazipataje?.
hao kuku wa kupewa chanjo wakitoka tu kwenye yai ni wa aina gani wa kisasa kwa maana ya chotara au wa kienyeji.?
 
hao kuku wa kupewa chanjo wakitoka tu kwenye yai ni wa aina gani wa kisasa kwa maana ya chotara au wa kienyeji.?
Hapo ndipo unapotakiwa unielimishe Kama wanao takiwa kupewa chanjo Mara baada ya kutotolewa ni kuku wa aina gani au Kama hakuna chanjo yoyote inayochanjwa baada ya kifaranga kutotolewa ukilenga ushauri ukilenga maelekezo unayowapa Wateja wako wa Icubator Mara baada ya vifaranga kutotolewa kwenye incubator wanatakiwa wapewe chanjo gani?au hakuna cha kupewa chanjo yoyote?.
 
Hapo ndipo unapotakiwa unielimishe Kama wanao takiwa kupewa chanjo Mara baada ya kutotolewa ni kuku wa aina gani au Kama hakuna chanjo yoyote inayochanjwa baada ya kifaranga kutotolewa ukilenga ushauri ukilenga maelekezo unayowapa Wateja wako wa Icubator Mara baada ya vifaranga kutotolewa kwenye incubator wanatakiwa wapewe chanjo gani?au hakuna cha kupewa chanjo yoyote?.
Chanjo ipo vifaranga wakitoka kwenye incubator day one wapewe chanjo inatwa Mareks ni muhimu then chanjo zingine zinafwata
 
Hapo ndipo unapotakiwa unielimishe Kama wanao takiwa kupewa chanjo Mara baada ya kutotolewa ni kuku wa aina gani au Kama hakuna chanjo yoyote inayochanjwa baada ya kifaranga kutotolewa ukilenga ushauri ukilenga maelekezo unayowapa Wateja wako wa Icubator Mara baada ya vifaranga kutotolewa kwenye incubator wanatakiwa wapewe chanjo gani?au hakuna cha kupewa chanjo yoyote?.
Habari yako, sijajua unafuga kuku wa aina gani lakini sisi ni wazoefu zaidi ya miaka kumi sasa kwa maana ya kutotolesha na kufuga kuku wa kienyeji, na mwanzoni tulihangaika sana na hiyo chanjo Ya MAREK'S .Lakini baadae bada ya kufanya uchunguzi tukagundua kuwa huo ugonjwa (MAREK'S) ugonjwa ambao ukiufananisha na wa binadamau ni sawa na unaowapata wakina mama(kifafa cha uzazi) ambao kwa kuku ni MAREK'S , kwa kawaida kuku akiumwa MAREK'S hufa ile siku ya kwanza kabisa atakapoanza kutaga(kama atakua ameathirika na huo ugonjwa). na huo ugojwa huwashika kuku wale wa mayai(ambao wako kwa ajili ya mayai tu).
 
Habari yako, sijajua unafuga kuku wa aina gani lakini sisi ni wazoefu zaidi ya miaka kumi sasa kwa maana ya kutotolesha na kufuga kuku wa kienyeji, na mwanzoni tulihangaika sana na hiyo chanjo Ya MAREK'S .Lakini baadae bada ya kufanya uchunguzi tukagundua kuwa huo ugonjwa (MAREK'S) ugonjwa ambao ukiufananisha na wa binadamau ni sawa na unaowapata wakina mama(kifafa cha uzazi) ambao kwa kuku ni MAREK'S , kwa kawaida kuku akiumwa MAREK'S hufa ile siku ya kwanza kabisa atakapoanza kutaga(kama atakua ameathirika na huo ugonjwa). na huo ugojwa huwashika kuku wale wa mayai(ambao wako kwa ajili ya mayai tu).
Asante kwa ufafanuzi wako ila Mimi bado sijawa mfugaji isipokuwa Nina maono hayo ndiyo maana ninapenda Sana kufuatilia haya mambo,kwa hiyo siyo vibaya Kama utanipa ushauri aina ya kuku wazuri watakao nifaa kwa ufugaji.
 
tia nia Fanya jiandae kukabiliana na changamoto maana hiyo unataka kujarbu unan tia mashaka bora uache

kama una taka kufanya Fanya
Kaka nataka kufanya kwa moyo wote coz nina kibarua cha laki2 kwa mwez,Unaingia asubuh kutoka Usiku naona napoteza muda mwingi ambao nikiamua huu muda niupoteze kwenye kufuga naamini utanipatia matokeo mazur
 
ni kweli ufugaji una matokeo mazur sana ukiwa na moyo nia na kujituma maana ufugaji una changamoto pia

ckushaur uache kaz ndo uanze kufuga otherwise use ume jikusanya ka mtaji ka kuwa tunza kuku kwa chakura bora na dawa ndan ya miez wanaanza kujilea na kukupa faida kubwa

Ila ukinambia una taka kujarbu unan tisha
 
Habari, nahitaji kufuga kuroila kwa ajili ya mayai, je mayai yake yatakuwa na bei Sawa na mayai ya kuku wa kienyeji. Msaada tafadhali
 
Habari.
Nimehitimu stashahada katika mifugo, naishi Dar es salaam. Nlikuwa na wazo la kuanzisha mladi wa ufugaji kuku wa kisasa kwa lengo la biashara.

Mchanganuo wake ni kama ifuatavyo:
Vifaranga 500 - @1400
Chakula 25 Bags mpk kuwauza wiki 5
Madawa ????
Umeme ????
Maji ????
Vifaa vya kunywea maji 10
Vifaa vya kulia chakula 10
Mengineyo 10% ya mtaji wote.

Kwa aliyetayari tuungane na kuanzisha mladi kwa pamoja namkalibisha. Banda la kufugia ninayo, swala kubwa ni mtaji tu, mambo mengine ntasimamia mwenyewe.

Nawasilisha
 
Miradi mingi ya kushea inafigisufigisu nyingi. Labda muanze kucheza na mawakili kwanza. Tafuta mtaji wako ili usimame kama wewe. Anza kidogokidogo mwisho utatoka.
 
Back
Top Bottom