Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

Wapendwa nahitaji kufuga kuku wa kienyeji na ninao kama kuku 10 sasa nahitaji wawe na banda imara na la kisasa sasa sijajua ni vifaa vp vinahitajika ktk banda na ni chakula kipi chenye kufaha
 
KUKU WA KIENYEJI - UFUGAJI BORA





Kuku hutoka kwenye kizazi kinachojulikana kitaalam kama gallus gallus, Ufugaji huu nitaoelezea ni wa kienyeji kabisa ila huu umeboreshwa kidogo ili kuleta faida zaidi, kwanza itabidi uwe na eneo lakutosha kama ekari mbili (70m *140m) banda la kuku liwe linalohamishika na liwe limejengwa juu juu, hii husaidia kupunguza maambukizi ya magonjwa kwa sababu kinyesi cha kuku kikilundikana huweza kubeba vimelea vya magonjwa

BANDA BORA LINALOHAMISHIKA


Banda liwekewe viota vya kutagia na unaweza kuwafundisha kuku kuvitumia mapema kabla ya kuanza kutaga kwa kuchelewa kuwafungulia asubuhi. Kwa kawaida kuku hupenda kulala bandani wakiwa juu juu kwa hiyo uweke baadhi ya fito au mbao nyembamba zikining'inia pia kuwe na vyombo vya chakula nje ya banda

Hakikisha banda halivuji na wanyama wakali hawaingii lakini liwe na hewa ya kutosha na lisiwe na joto wala baridi kali, ni vizuri ukiliweka chini ya miti
Ili kuboresha ufugaji huu inashauriwa kutumia majogoo ya kisasa ambayo yana patika kwa mazalishaji wa kuku kote nchini, pia unaweza kutumia majogoo ya kuku aina ya KUCHI wanaopatikana zaidi miko ya Singida na Shinyanga. Majogoo ya kisasa huweza kuhudumia wastani wa majike 20-25 na kuchi huweza kuhudumia majike 10 -15 kwa sababu ni wavivu kidogo

MAJOGOO YA KISASA INA YA CORNISH


Andaa na banda la kukuziA watoto ambalo litawakinga na wanyama wakali na mwewe, banda linakuwa wazi juu hukulikizuiwa na waya kwa 75% na 25% iwe imezibwa kwa mbao ili kuwapatia kivuli wanapohitaji, banda hili lina hitaji kuhamishwa hamisha angalau mara 5 kwa siku kutika mahali pamoja hadi pengine, hakikisha banda la watoto lina maji na chakula muda wote, pia kumbuka kuwawekea mabaki ya mboga za majani kama mchicha, kunde, kisamvu n.k




FAIDA
(A)
Mfumo hauhitaji chakula maalum kama kuku wa ndani
(B) Wadudu kama utitiri na virobot hushambulia kuku mara chache
(C) Kuku hupata muda wa mazoezi kwa kutembea tembea
(D) Gharama za uendeshaji ni kidogo
(E) Hautumii muda mwingi
(F) Kiasi cha uchafu ni kidogo

HASARA
(A)
Vifaranga huweza kuliwa na mwewe au wanyama
(B) Mayai huweza kupotea yakitagwa nje ya banda
(C)Kuku huweza kula mbegu zilizopandwa mashambani
(D)Vifo vya kuku ni vingi

CHANJO
Kuku wapewe chanjo ya kideri/mdondo kila baada ya miezi mitatu chanjo hii hupatikana nchini kote ukifika dukani ulizia chanjo ya newcastle, utapata maelekezo ya jinsi ya kuwawekea kuku kwenye maji ya kunywa, chanjo hii wapewe kuku wazima tu na wagonjwa watengwe mbali

MINYOO
Kuku hunyweshwa dawa ya minyoo kila baada ya miezi mitatu, kuna dawa kama piperazine na nyinginezo ambazo huwekwa kwenye maji

CHAWA NA UTITIRI
Unaweza kutumia dawa za kuogeshea mifugo kama ecotix au dawa ya unga unga ya kunyunyuzia kama akheri powder, dawa ya akheri unaweza kuimwaga bandani na kisha kumnyunyuzia kuku mwilini ukiwa umemning'iniza kichwa chini miguu juu ili mayoya yaacha nafasi ya dawa kuingia

MAGONJWA YA MAPAFU
Kuna magonjwa mengi yanayoshambulia mfumo wa hewa, dawa ya tylosin inauwezo mkubwa wa kupambana na magonjwa karibu yote, wape dawa hii mara tu unapoanza kuona dalili za mafua

Source: Mitiki.blogspot.com
 
SEMINA DODOMA TANGAZO.jpg
 
Habarini wana JF,
Napenda kuwashakuru wadau wote waliopata fursa ya kuhudhuria mafunzo ya ufugaji wa kuku, masoka na mitaji. Kwa kweli ilikuwa ni semina ya aina yake kuwahi kufanyika mkoani DSM. Katika semina hiyo tulipata pia fursa ya kufhamiana nje ya jamii forum. Shukrani za pekee ziende kwa shirika la Communication Solution kwa kuweza kuandaa tukio kubwa kama lile.

Masomo yaliyofundishwa ni mengi na yenye tija kubwa kwa wafugaji. Katika semina hiyo, kitabu cha mwongozo wa ufugaji bora wa kuku kiliuzwa kwa ofa ya sh elfu 20 tu badala ya sh elfu 60 bei yake ya halisi. Formula mbalimbali za kutengeneza chakula cha kuku na namna ya utumiaji wake, malighafi zilizotumika, uandaaji wake na upatikanaji ziligaiwa kwa wanasemina. Ilisisitizwa kuwa inalipa kutengeneza chakula mwenyewe. Gharama ya chakula inakuwa ndogo ukilinginisha na chakula cha kununua.

Kwa ambaye hakupata fursa ya kuhudhuri mafunzo hayo Communication Solution waliweza kulirecord tukio lote kwa kutumia wapiga picha wa Benchmark Production kusudi kuwanufaisha wote ambao hawakupata fursa ya kuhudhuria mafunzo hayo. DVD hizo zinapatikana kwa shilingi elfu 10 tu. Kwa yeyote ambaye atahitaji DVD Hiyo basi awasiliane na Communication Solution kwa simu namba 0655663900.


Elimu ina thamani katika ufugaji wa kuku wenye tija.
Songea muna branch au mutakuja lini kwenye semina?
 
Je wewe ni mtotoleshaji au unapenda kuwa mtotoleshaji wa Vifaranga wa kuku wa kienyeji walioboreshwa na unakosa vyanzo vya uhakika vya kupata mayai bora yenye mbegu? Kampuni yako ya KINASORU EAST AFRICA (T) LTD inakuhakikishia kupata mayai hayo kwa kiasi chochote utakachokihitaji. Huna haja ya kuhangaika kufuga mwenyewe. Tunakuuzia mayai na kazi ya utotoleshaji unaianza mara moja.

KINASORU EAST AFRICA (T) LTD inajivunia kuwa na mtandao mpana wa wafugaji au outgrowers ambao kampuni inawasimamia. Tuna jumla ya wafugaji (outgrowers) 60 Morogoro mjini, 30 Dodoma mjini, 1, Dakawa Mvomero . Tunaendelea kuwatengeneza outgrowers wengine katika mikoa ya Singida, Tabora na Ruvuma. Lengo letu ni kuwa na mtandao mpana zaidi wa wafugaji wa kuku wa asili walioboreshwa Tanzania kuweza kutosheleza soko la watotoleshaji.

Mfumo wetu wa biashara unatoa faida kwa mfugaji, kampuni yetu pamoja na mnunuaji.

Mfugaji yeye ananufaika kwa kupata uhakika wa soko mara baada ya kuku wake kuanza kutaga. Ananufaika pia na ushauri na huduma za ugani ikitokea kuku wake wanaumwa pamoja na madawa na chakula pale anapoishiwa chakula na kukosa pesa. Kwa maana nyingine mfugaji anawekwa katika mazingira ya uhakika na kazi anayoifanya.

Kampuni yetu inanufaika kwanza kwa kuwa na uhakika wa kupata mayai bora na yenye sifa ya kutotoleshwa kwa kiasi chochote tunachokihitaji na kwa wakati kupitia wafugaji wetu tuliowatengeneza na hivyo kutusaidia kutatua changamoto ya oda kubwa tulizokuwa tunazipata kutoka kwenye makampuni yanayozalisha kuku hao wa asili walioboreshwa. Vile vile tunapata faida ya kuaminiwa kwa kampuni yetu kutokana na kusambaza mayai yanayokidhi vigezo na kuwavutia wateja wetu wengi. Katika kuhakikisha kuwa Kampuni yetu inanufaika kidogo na mtandao wetu wa wafugaji kuku wa asili walioboreshwa, tunaongeza asilimia kidogo kwenye mayai tunayoyakusanya kutoka kwa wafugaji wetu, tunashukuru inatusaidia kupata chochote kwa ajili ya kuendesha ofisi yetu. Halikadhalika, tunauza vifaranga wa kuku wa asili walioboreshwa kwenye mtandao wetu wa wafugaji. Kwahakika Hakuna biashara isiyokuwa na faida.

Wateja wetu wa mayai tunawasaidia kutafuta masoko ya vifaranga wao kwenye mtandao wetu wa wafugaji na hata wale walionje ya mtandao wetu wa wafugaji ambao wanahitaji vifaranga bora kutoka kwenye kampuni yetu mara baada ya kutotolewa kutoka kwenye mashine. Kitu kingine, wateja wetu wa mayai wananufaika na elimu ya uanzishaji na uendeshaji wa mradi wa utotoleshaji wa vifaranga. Tunawafundisha na kuwaelekeza nini ufanye au vitu gani vya msingi uzingatie ili uweze kuanzisha mradi wa uzalishaji wa vifaranga. Je mayai kabla ya kuingizwa katika machine na kuanza kutotoleshwa yanatibiwaje? Kampuni yetu haikuachi peke yako itakufundisha kila kitu kitakachokufanya uzalishe vifaranga bora kabisa watakaokupa jina mtaani.

Kinasoru East Africa (T) LTD inafanya kazi ya kuwaunganisha wafugaji na wazalishaji wa vifaranga na kuhakikisha kuwa huduma zinazotolewa zinakuwa bora na zenye kukidhi viwango.

Huduma nyingine ambazo Kinasoru East Africa (T) LTD inazitoa ni kuuza vifaranga wa Mayai (Layers), Vifaranga wa Nyama (Broilers),na Vijogoo. Pia tunauza vichanganyia mbalimbali vya kutengenezea chakula cha kuku na mifugo mingine mfano Nguruwe. Tunasaidia wafugaji kupata masoko ya mifugo na mazao yake. Tunatoa semina za mafunzo ya ufugaji wa kibiashara na ushauri katika miradi inayohusiana na mifugo, ikiwemo Kuku au jamii zote za ndege, Ng'ombe, Mbuzi, Kondoo, Sungura, Nguruwe na Samaki. Tunatoa huduma za Vijana wa kusimamia mashamba ya mifugo, vijana wetu ni waadilifu na waliowafundishwa vyema usimamizi wa miradi ya ufugaji. Pia tunasaidia katika kuanzisha na kusimamia miradi ya wateja wetu. Tunafanya farm feasibility study na Farm Planinng. Tunatoa huduma zote za ugani mfano matibabu, ushauri wa ufugaji bora, uandaaji wa chakula cha mifugo na mpango wa ulishaji, tunasaidia ng'ombe kuzaa, tufanya upandishaji ng'ombe kwa njia ya chupa au Artificial Insemination nk.

Tuna wataalam na mifumo inayozesha utoaji wa huduma zetu kwa uhakika na kuwafikia wateja wetu popote walipo.

Ofisi zetu za KINASORU EAST AFRICA (T) LTD, Ziko Dodoma Mjini, Mtaa wa Nduka Chamwino Bonanza, Mbele Kidogo ya Soko la Maisha Plus.

Aman Ng'oma, Mkurugenzi Mtendaji Simu namba 0767989713, 0715989713 na 0786989713. E-mail: amanngoma@gmail.com

Karibu kwa huduma bora na za uhakika.
Songea muna branch au mutafika Lin kwa ajili ya Mafunzo?
hi! kichwa mbovu nilitaka kujua kama biashara ya mayai ya kuku wa kienyeji inalipa kwa hapa Tanzania.Nina plan za kufanya hii biashara on commercial basis.Na je unaposema kuku chotara inamaanisha bado mayai yake yatakuwa ni kama ya kuku wa kienyeji? kuna aina ya kuku inaitwa Longhorn inasemekana ni aina ya kuku wanaotaga mayai mengi zaidi duniani je hii ni aina ya kuku wa kienyeji kama sio ni aina gani ya kuku wa kienyeji wanaotaga mayai mengi zaidi nijuze tu hata kama wanapatikana nje ya Tanzania ilimradi tu wawe wa kienyeji maana ndio biashara ninayotaka kufanya kwa sasa.
 
Je wewe ni mtotoleshaji au unapenda kuwa mtotoleshaji wa Vifaranga wa kuku wa kienyeji walioboreshwa na unakosa vyanzo vya uhakika vya kupata mayai bora yenye mbegu? Kampuni yako ya KINASORU EAST AFRICA (T) LTD inakuhakikishia kupata mayai hayo kwa kiasi chochote utakachokihitaji. Huna haja ya kuhangaika kufuga mwenyewe. Tunakuuzia mayai na kazi ya utotoleshaji unaianza mara moja.

KINASORU EAST AFRICA (T) LTD inajivunia kuwa na mtandao mpana wa wafugaji au outgrowers ambao kampuni inawasimamia. Tuna jumla ya wafugaji (outgrowers) 60 Morogoro mjini, 30 Dodoma mjini, 1, Dakawa Mvomero . Tunaendelea kuwatengeneza outgrowers wengine katika mikoa ya Singida, Tabora na Ruvuma. Lengo letu ni kuwa na mtandao mpana zaidi wa wafugaji wa kuku wa asili walioboreshwa Tanzania kuweza kutosheleza soko la watotoleshaji.

Mfumo wetu wa biashara unatoa faida kwa mfugaji, kampuni yetu pamoja na mnunuaji.

Mfugaji yeye ananufaika kwa kupata uhakika wa soko mara baada ya kuku wake kuanza kutaga. Ananufaika pia na ushauri na huduma za ugani ikitokea kuku wake wanaumwa pamoja na madawa na chakula pale anapoishiwa chakula na kukosa pesa. Kwa maana nyingine mfugaji anawekwa katika mazingira ya uhakika na kazi anayoifanya.

Kampuni yetu inanufaika kwanza kwa kuwa na uhakika wa kupata mayai bora na yenye sifa ya kutotoleshwa kwa kiasi chochote tunachokihitaji na kwa wakati kupitia wafugaji wetu tuliowatengeneza na hivyo kutusaidia kutatua changamoto ya oda kubwa tulizokuwa tunazipata kutoka kwenye makampuni yanayozalisha kuku hao wa asili walioboreshwa. Vile vile tunapata faida ya kuaminiwa kwa kampuni yetu kutokana na kusambaza mayai yanayokidhi vigezo na kuwavutia wateja wetu wengi. Katika kuhakikisha kuwa Kampuni yetu inanufaika kidogo na mtandao wetu wa wafugaji kuku wa asili walioboreshwa, tunaongeza asilimia kidogo kwenye mayai tunayoyakusanya kutoka kwa wafugaji wetu, tunashukuru inatusaidia kupata chochote kwa ajili ya kuendesha ofisi yetu. Halikadhalika, tunauza vifaranga wa kuku wa asili walioboreshwa kwenye mtandao wetu wa wafugaji. Kwahakika Hakuna biashara isiyokuwa na faida.

Wateja wetu wa mayai tunawasaidia kutafuta masoko ya vifaranga wao kwenye mtandao wetu wa wafugaji na hata wale walionje ya mtandao wetu wa wafugaji ambao wanahitaji vifaranga bora kutoka kwenye kampuni yetu mara baada ya kutotolewa kutoka kwenye mashine. Kitu kingine, wateja wetu wa mayai wananufaika na elimu ya uanzishaji na uendeshaji wa mradi wa utotoleshaji wa vifaranga. Tunawafundisha na kuwaelekeza nini ufanye au vitu gani vya msingi uzingatie ili uweze kuanzisha mradi wa uzalishaji wa vifaranga. Je mayai kabla ya kuingizwa katika machine na kuanza kutotoleshwa yanatibiwaje? Kampuni yetu haikuachi peke yako itakufundisha kila kitu kitakachokufanya uzalishe vifaranga bora kabisa watakaokupa jina mtaani.

Kinasoru East Africa (T) LTD inafanya kazi ya kuwaunganisha wafugaji na wazalishaji wa vifaranga na kuhakikisha kuwa huduma zinazotolewa zinakuwa bora na zenye kukidhi viwango.

Huduma nyingine ambazo Kinasoru East Africa (T) LTD inazitoa ni kuuza vifaranga wa Mayai (Layers), Vifaranga wa Nyama (Broilers),na Vijogoo. Pia tunauza vichanganyia mbalimbali vya kutengenezea chakula cha kuku na mifugo mingine mfano Nguruwe. Tunasaidia wafugaji kupata masoko ya mifugo na mazao yake. Tunatoa semina za mafunzo ya ufugaji wa kibiashara na ushauri katika miradi inayohusiana na mifugo, ikiwemo Kuku au jamii zote za ndege, Ng'ombe, Mbuzi, Kondoo, Sungura, Nguruwe na Samaki. Tunatoa huduma za Vijana wa kusimamia mashamba ya mifugo, vijana wetu ni waadilifu na waliowafundishwa vyema usimamizi wa miradi ya ufugaji. Pia tunasaidia katika kuanzisha na kusimamia miradi ya wateja wetu. Tunafanya farm feasibility study na Farm Planinng. Tunatoa huduma zote za ugani mfano matibabu, ushauri wa ufugaji bora, uandaaji wa chakula cha mifugo na mpango wa ulishaji, tunasaidia ng'ombe kuzaa, tufanya upandishaji ng'ombe kwa njia ya chupa au Artificial Insemination nk.

Tuna wataalam na mifumo inayozesha utoaji wa huduma zetu kwa uhakika na kuwafikia wateja wetu popote walipo.

Ofisi zetu za KINASORU EAST AFRICA (T) LTD, Ziko Dodoma Mjini, Mtaa wa Nduka Chamwino Bonanza, Mbele Kidogo ya Soko la Maisha Plus.

Aman Ng'oma, Mkurugenzi Mtendaji Simu namba 0767989713, 0715989713 na 0786989713. E-mail: amanngoma@gmail.com

Karibu kwa huduma bora na za uhakika.
Je wewe ni mtotoleshaji au unapenda kuwa mtotoleshaji wa Vifaranga wa kuku wa kienyeji walioboreshwa na unakosa vyanzo vya uhakika vya kupata mayai bora yenye mbegu? Kampuni yako ya KINASORU EAST AFRICA (T) LTD inakuhakikishia kupata mayai hayo kwa kiasi chochote utakachokihitaji. Huna haja ya kuhangaika kufuga mwenyewe. Tunakuuzia mayai na kazi ya utotoleshaji unaianza mara moja.

KINASORU EAST AFRICA (T) LTD inajivunia kuwa na mtandao mpana wa wafugaji au outgrowers ambao kampuni inawasimamia. Tuna jumla ya wafugaji (outgrowers) 60 Morogoro mjini, 30 Dodoma mjini, 1, Dakawa Mvomero . Tunaendelea kuwatengeneza outgrowers wengine katika mikoa ya Singida, Tabora na Ruvuma. Lengo letu ni kuwa na mtandao mpana zaidi wa wafugaji wa kuku wa asili walioboreshwa Tanzania kuweza kutosheleza soko la watotoleshaji.

Mfumo wetu wa biashara unatoa faida kwa mfugaji, kampuni yetu pamoja na mnunuaji.

Mfugaji yeye ananufaika kwa kupata uhakika wa soko mara baada ya kuku wake kuanza kutaga. Ananufaika pia na ushauri na huduma za ugani ikitokea kuku wake wanaumwa pamoja na madawa na chakula pale anapoishiwa chakula na kukosa pesa. Kwa maana nyingine mfugaji anawekwa katika mazingira ya uhakika na kazi anayoifanya.

Kampuni yetu inanufaika kwanza kwa kuwa na uhakika wa kupata mayai bora na yenye sifa ya kutotoleshwa kwa kiasi chochote tunachokihitaji na kwa wakati kupitia wafugaji wetu tuliowatengeneza na hivyo kutusaidia kutatua changamoto ya oda kubwa tulizokuwa tunazipata kutoka kwenye makampuni yanayozalisha kuku hao wa asili walioboreshwa. Vile vile tunapata faida ya kuaminiwa kwa kampuni yetu kutokana na kusambaza mayai yanayokidhi vigezo na kuwavutia wateja wetu wengi. Katika kuhakikisha kuwa Kampuni yetu inanufaika kidogo na mtandao wetu wa wafugaji kuku wa asili walioboreshwa, tunaongeza asilimia kidogo kwenye mayai tunayoyakusanya kutoka kwa wafugaji wetu, tunashukuru inatusaidia kupata chochote kwa ajili ya kuendesha ofisi yetu. Halikadhalika, tunauza vifaranga wa kuku wa asili walioboreshwa kwenye mtandao wetu wa wafugaji. Kwahakika Hakuna biashara isiyokuwa na faida.

Wateja wetu wa mayai tunawasaidia kutafuta masoko ya vifaranga wao kwenye mtandao wetu wa wafugaji na hata wale walionje ya mtandao wetu wa wafugaji ambao wanahitaji vifaranga bora kutoka kwenye kampuni yetu mara baada ya kutotolewa kutoka kwenye mashine. Kitu kingine, wateja wetu wa mayai wananufaika na elimu ya uanzishaji na uendeshaji wa mradi wa utotoleshaji wa vifaranga. Tunawafundisha na kuwaelekeza nini ufanye au vitu gani vya msingi uzingatie ili uweze kuanzisha mradi wa uzalishaji wa vifaranga. Je mayai kabla ya kuingizwa katika machine na kuanza kutotoleshwa yanatibiwaje? Kampuni yetu haikuachi peke yako itakufundisha kila kitu kitakachokufanya uzalishe vifaranga bora kabisa watakaokupa jina mtaani.

Kinasoru East Africa (T) LTD inafanya kazi ya kuwaunganisha wafugaji na wazalishaji wa vifaranga na kuhakikisha kuwa huduma zinazotolewa zinakuwa bora na zenye kukidhi viwango.

Huduma nyingine ambazo Kinasoru East Africa (T) LTD inazitoa ni kuuza vifaranga wa Mayai (Layers), Vifaranga wa Nyama (Broilers),na Vijogoo. Pia tunauza vichanganyia mbalimbali vya kutengenezea chakula cha kuku na mifugo mingine mfano Nguruwe. Tunasaidia wafugaji kupata masoko ya mifugo na mazao yake. Tunatoa semina za mafunzo ya ufugaji wa kibiashara na ushauri katika miradi inayohusiana na mifugo, ikiwemo Kuku au jamii zote za ndege, Ng'ombe, Mbuzi, Kondoo, Sungura, Nguruwe na Samaki. Tunatoa huduma za Vijana wa kusimamia mashamba ya mifugo, vijana wetu ni waadilifu na waliowafundishwa vyema usimamizi wa miradi ya ufugaji. Pia tunasaidia katika kuanzisha na kusimamia miradi ya wateja wetu. Tunafanya farm feasibility study na Farm Planinng. Tunatoa huduma zote za ugani mfano matibabu, ushauri wa ufugaji bora, uandaaji wa chakula cha mifugo na mpango wa ulishaji, tunasaidia ng'ombe kuzaa, tufanya upandishaji ng'ombe kwa njia ya chupa au Artificial Insemination nk.

Tuna wataalam na mifumo inayozesha utoaji wa huduma zetu kwa uhakika na kuwafikia wateja wetu popote walipo.

Ofisi zetu za KINASORU EAST AFRICA (T) LTD, Ziko Dodoma Mjini, Mtaa wa Nduka Chamwino Bonanza, Mbele Kidogo ya Soko la Maisha Plus.

Aman Ng'oma, Mkurugenzi Mtendaji Simu namba 0767989713, 0715989713 na 0786989713. E-mail: amanngoma@gmail.com

Karibu kwa huduma bora na za uhakika.
Tufuge wa kienyeji best na madawa yao ya kienyeji, naamini ni rahisi kuwafuga
waeleze jamani
 
Kwa uzoefu wako kuku 200 wa mayai wanaweza kula mifuko mingapi ya chakula kwa siku moja?? Msaada kwa yeyeto anaefahamu maana nataka nianze shughuli ya ufugaji
 
Tufuge wa kienyeji best na madawa yao ya kienyeji, naamini ni rahisi kuwafuga
Uko sawa kabisa ila inachukua muda kutoboa.

Ukiwa na mahali pa kufugia, ukatenga laki tano tu kwa ajili ya kununua kuku na chakula cha kuanzia ndo utaweza kutoka ndani ya mda mfupi. vinginevyo safari ni ngumu.
 
wapendwa habari! Naitaji mayai ya kienyeji naitaji tray 20 kwa ajili ya kutotolesha
 
UFUGAJI WA KUKU KIBIASHARA

Ili Mfugaji aweze kufanikiwa katika ufugaji wake wa kuku ni lazima kwanza ahakikishe kuwa gharama za ufugaji zinazipungua. Kuna gharama nyingi ambazo kimsingi mfugaji anaziingia pasipo na sababu zozote za msingi. Gharama za ufugaji zinapokuwa kubwa zinapunguza tija ambayo mfugaji angeweza kuipata

Ili kuweza kupunguza gharama, hakikisha kuwa unapata feeding program ya kuku wako ili isaidie kukuongoza katika ulishaji wao. Vile vile punguza matumizi yasiyo ya lazima ya madawa. Ni kawaida kukuta mfugaji wa kuku emekithirisha matumizi ya madawa kwa kuku wake. kila siku madawa na kuku kuku na madawa matokoe yake madawa hayo hugeuka kuwa sumu katika mwili wa kuku kutokana yale mabaki ya madawa. Wakati mwingine madawa hayo yanakuwa makali na kuwaathiri viungo vyao muhimu vya ndani mfano Maini, mapafu na moyo. Utumiaji wa madawa uliokokithiri licha ya kuleta hasara katika ufugaji lakini pia kunapunguza umri wa maisha ya kuku ambao angeweza kuishi. Sasa kama kuku ni mtagaji huwezi iona ile faida ya utagaji wake kwa kuwa kuku watakuwa wamekufa kabla ya kumaliza muda wao wa utagaji.

Lakini vile vile kwenye chakula, mfugaji anaweza kupunguza gharama kwa kujitengenezea mwenyewe chakula cha kuku wake. Ni muhimu kuhakikisha kuwa inapatikana formula nzuri itakayotumika kutengenezea chakula hicho. Ili kuhakikisha kuwa gharama za utengenezaji wa chakula hicho kinakuwa chini zaidi ni lzima mfugaji akanunua malighafi au viwambajengo vya kutengenezea chakula hicho wakati wa msimu wa mavuno. Kama tujuavyo wakati wa msimu wa mavuno, malighafi za kutengenezea chakula cha kuku, hasa nafaka ambazo ndiyo zinazotumika kwa kiwango kikubwa, zinakuwa ziko chini. Chakula kikitengenezwa kwa gharama nafuu husaidia kuongeza faida katika ufugaji.

Mwisho hakikisha kuwa udhibiti wa vifo vya kuku unafanyika kwa kufuata kanuni bora za ufugaji. Vifo vinaongeza gharama za ufugaji kutokana na kutumia madawa mengi ya kutibu. Kuku anapokufa tafsiri yake ni kuwa, huenda akawa anaumwa au vinginevyo, lakini ikiwa kufa kwao kunatokana na mlipuko wa ugonjwa hapo ndipo mfugaji atakapotumia gharama kubwa ya madawa ili kuwanusuru kuku wake wasiendelee kufa. Vifo vya kuku vinapunguza faida katika ufugaji wa kuku.

Kwa ajili ya kupata Feeding, Vaccination and Prophylaxis programs, Formula za utengezaji wa chakula bora cha kuku, Processing za malighafi za kutengezea chakula cha kuku, Namna ya kuanzisha na kuendesha mradi wa utotoleshaji wa vifaranga, utibuji wa mayai kabla ya kutotoleshwa na faida zake, changamoto katika ufugaji wa kuku na namna ya kuzitatua na mambo mengine mengi, tunakukaribisha katika Semina ya Ufugaji wa Kuku Kibiashara, ufugaji wa kuku kama kazi, Kuku ni pesa unahitaji kuweza katika ukumbi wa THE AFRICAN DREAMS HOTEL DODoMA maeneo ya AREA D jirani na Royal Village Hotel siku ya Tarehe 16/07/2016

Imeandaliwa na:

AMAN NG'OMA
KINASORU EAST AFRICA (T) LTD
SIMU NA. 0767989713, 0786989713,0715989713
NDUKA STREET, CHAMWINO BONANZA
DODOMA MJINI.

PIA UNAWEZA KUWASILIANA NA
SUFIANI MAKANDO
KILIMO COMMUNICATION SERVICES CO. LTD
SIMU NA.0755436412
MOROGORO
 
Nimetuga kuku wa kienyeji wamefika 60 sasa at first it was fun lakini sasa nataka kujikita kama biashara, lakini nisilolijua ni kuondoa hayo mayai pindi wanapotaga, maana kila siku nakuta mayai.

Je hayo mayai yanakaa mda gani bila kuharibika? Nihifadhi vipi kama siku zinapishana za mayai?
Hapo ndio nakuta mengine yamekuwa yai vinza.
Swali la pili nikihitaji mayai kwenu mnitumie yatakuwa Salama kwa mda gani kabla ya kuwawekea kuku watotoleshe?
 
Back
Top Bottom