kaka el-nino mie pia huwa na interest na ufugaji nikiamini kwa kutumia kijishamba changu hapo bagamoyo nitakuwa na reason ya kila weekend kwenda shamba na familia
sema nimekuwa na kiu sana ya kuwa na mashine ya kuangulia vifaranga na nyingi zinatumia umeme sasa ulivyosema ipo ya mafuta ya taa nimetamani kutimiza kiu yangu ili niinunue...inauzwaje na inauwezo wa kuangua mayai mangapi kwa muda gani...nisaidie mkuu information hizo ili nirudi kwenye mchanganuo wangu wa biashara ....DOKEZO...kuku wa kienyeji aina ya kuchi au wale vishingo wakubwa ni biashara tosha na wana soko kubwa sanaa...tuchangamkie aina hiyo ya kuku..wanapatikana singida na manyara
kaka el-nino mie pia huwa na interest na ufugaji nikiamini kwa kutumia kijishamba changu hapo bagamoyo nitakuwa na reason ya kila weekend kwenda shamba na familia
sema nimekuwa na kiu sana ya kuwa na mashine ya kuangulia vifaranga na nyingi zinatumia umeme sasa ulivyosema ipo ya mafuta ya taa nimetamani kutimiza kiu yangu ili niinunue, inauzwaje na inauwezo wa kuangua mayai mangapi kwa muda gani...nisaidie mkuu information hizo ili nirudi kwenye mchanganuo wangu wa biashara. DOKEZO: kuku wa kienyeji aina ya kuchi au wale vishingo wakubwa ni biashara tosha na wana soko kubwa sanaa...tuchangamkie aina hiyo ya kuku..wanapatikana singida na manyara
Habari wakuu:
Bila shaka kuna watu ambao wanafuga kuku au walishawahi kufuga kuku. Naomba watu wenye uzoefu na maarifa kuhusu kufuga kuku,,wanipe mawazo,,,maana nataka kuanza kufuga kuku na sijawahi kufanya hivyo. Hivyo nahitaji mawazo yenu wakuu.
Natanguliza shukrani zangu wakuu:
Wana-jamvi mimi nina kitabu, cha kufuga kuku wa kienyeji, nimeshindwa kukiweka hapa, mwenye haja ani PM, tafadhali , espescially wewe FIRST LADY, wataka kufuga wa kienyeji!!!!!!
Habari gani wakuu? Kuna vifaranga wa kienyeji sasa hivi wanauzwa, je hao nao wana matatizo gani ktk ufugaji ?
nataka kufuga kuku wa nyama ila sina uzoefu naufugaji wa kuku mtaji wangu ni 5000,000/= kwa pesa hiyo naweza kufuga kuku wangapi, pia nataka kujua soko la kuku wa nyama Dar-es-salaam liko