pichuwanyi
Member
- Jan 13, 2011
- 21
- 7
Sasa kila mtu akifanya biashara ya maduka nani atafuga kuku? Ndio maana bei ya mayai inapanda kila kukicha kwasababu watu wameikimbia hii biashara. Kama mtu anaushauri mzuri wa kufuga kuku plse atujuze wengine tuna interest
Hakuna biashara ambayo haina risk linalotakiwa kama mtu una nia ya kufuga kuku ni kupata uelewa wa ufugaji wenyewe, na kufuata taratibu zinazotakiwa ikiwemo ushauri wa kitalaam, kwa mfano wafugaji wengi wa kuku hupata hasara kwa sababu hawafuati viz