Ufugaji wa mbwa na chakula chake

Kama nilivyotanguliza naomba kupewa experience ya ufugaji wa mbwa, Katika nyanja za malisho, kinga na tiba, Je ili awe mbwa mkali na mlinzi shupavu apate malezi gani au viatilifu gani.
 
Du watalaam kujeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…