ukifanya research sana ,hutafuga,wewe anza tu ,na vichwa japo 5 tu,utaona matokeo yake,tatizo ni moja tu kwa hapa DAR,Security.jiandae kuweka ulinzi mzuri,kwani kuna watu ,wamekuwa professional wezi wa kitimoto.
wasiliana na mie nikutumie kitabu (PDF format) juu ya ufugaji wa nguruwe kwa njia ya kisasa. email yangu ni: richie_massive@yahoo.com
ntakutumia free of charge
Ninakusanya taarifa zitakazo nisaidia kufuga nguruwe ki biashara zaidi. Natamani nijue mambo yafuatayo:
1. Ni breed ipi inazaliana kwa kasi zaidi
2. Ni mchanganyiko upi wa chakula unafaa kwa kukuza haraka nguruwe
3. Nguruwe mdogo/wa kati na mkubwa huwa wanakula wastani wa kilo ngapi kwa siku
4. Upi ni muda mzuri wa kulisha nguruwe
Mwenye taarifa hizi muhimu naomba animwagie data.
wasiliana na mie nikutumie kitabu (PDF format) juu ya ufugaji wa nguruwe kwa njia ya kisasa. email yangu ni: richie_massive@yahoo.com
ntakutumia free of charge
wasiliana na mie nikutumie kitabu (PDF format) juu ya ufugaji wa nguruwe kwa njia ya kisasa. email yangu ni: richie_massive@yahoo.com
ntakutumia free of charge
Yep - nenda SUA utapata majibu ya maswali yako yote: Pia kumbuka swala la SECURITY usije ukawafugia watu.Ninakusanya taarifa zitakazo nisaidia kufuga nguruwe ki biashara zaidi. Natamani nijue mambo yafuatayo:
1. Ni breed ipi inazaliana kwa kasi zaidi
2. Ni mchanganyiko upi wa chakula unafaa kwa kukuza haraka nguruwe
3. Nguruwe mdogo/wa kati na mkubwa huwa wanakula wastani wa kilo ngapi kwa siku
4. Upi ni muda mzuri wa kulisha nguruwe
Mwenye taarifa hizi muhimu naomba animwagie data.
the same to me.. ila nenda igunga.. mama wa watu atakusaidia.. ucjal.. ila zingatia na uwe makini kuongelea ufugaji wako tu.. mambo mengine achana nayo, Jua akina Mwi-gulu wameshajimilikisha wake za watu huko.. na wasomali pia wako huko na wana vya moto.. uwe makini..Hiyo ni biashara nzuri sana. ningekuwa na namba ya fatuma kimaro ningekupatia maana inaonekana wana mbegu nzuri sana ya nguruwe.
wasiliana na mie nikutumie kitabu (PDF format) juu ya ufugaji wa nguruwe kwa njia ya kisasa. email yangu ni: richie_massive@yahoo.com
ntakutumia free of charge
Mkuu kwanini usikweke hapa JF iwe kwa manufaa ya wana JF wote?
Tafuta sehemu Ifakara-Kilombero ufugie huko.Chakula cha nguruwe kinapatikana rahisi sana,yaani punba za mpunga..mahindi na n.k.Sehemu zinauzwa rahisi na unaweza kufunga nguruwe zaidi ya 200.Mimi ninaona kwa sasa 150 na nimeishapata mnunuzi wa nguruwe wote.Ninakusanya taarifa zitakazo nisaidia kufuga nguruwe ki biashara zaidi. Natamani nijue mambo yafuatayo:
1. Ni breed ipi inazaliana kwa kasi zaidi
2. Ni mchanganyiko upi wa chakula unafaa kwa kukuza haraka nguruwe
3. Nguruwe mdogo/wa kati na mkubwa huwa wanakula wastani wa kilo ngapi kwa siku
4. Upi ni muda mzuri wa kulisha nguruwe
Mwenye taarifa hizi muhimu naomba animwagie data.
Siyo kila wakati nguruwe huibiwa, ni baadhi ya vipindi tena sana kile kipindi cha mfungo maana vyakula laini hutajika sana.ukifanya research sana ,hutafuga,wewe anza tu ,na vichwa japo 5 tu,utaona matokeo yake,tatizo ni moja tu kwa hapa DAR,Security.jiandae kuweka ulinzi mzuri,kwani kuna watu ,wamekuwa professional wezi wa kitimoto.
wasiliana na mie nikutumie kitabu (PDF format) juu ya ufugaji wa nguruwe kwa njia ya kisasa. email yangu ni: richie_massive@yahoo.com
ntakutumia free of charge
Mkuu hii nimeikubaliTafuta sehemu Ifakara-Kilombero ufugie huko.Chakula cha nguruwe kinapatikana rahisi sana,yaani punba za mpunga..mahindi na n.k.Sehemu zinauzwa rahisi na unaweza kufunga nguruwe zaidi ya 200.Mimi ninaona kwa sasa 150 na nimeishapata mnunuzi wa nguruwe wote.
Mkuu je huko kitimoto wanapatikana kwa bei gani kwa kuanza kuwafuga na utamuuza mmoja kwa kiasi gani? Na je vipi kuhusu ujenzi na gharama za ufugaji kwa ujumla?Tafuta sehemu Ifakara-Kilombero ufugie huko.Chakula cha nguruwe kinapatikana rahisi sana,yaani punba za mpunga..mahindi na n.k.Sehemu zinauzwa rahisi na unaweza kufunga nguruwe zaidi ya 200.Mimi ninaona kwa sasa 150 na nimeishapata mnunuzi wa nguruwe wote.