Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Hiyo kilo 80 toa kichwa kg kama 8 na utumbo na figisu nyingine kama mafuta mkia na miguu kg 12 unabaki na kg kama 60 za nyama utapata kama 402,000
 
mupanga ukijengea tofali utafanya mabanda yako kuwa ya kudumu zaidi tofauti na ukijengea mabanzi
mbona watu wanasema kua banda za tofali n nyepesi kuharibika sababu nguruwe akiwa anajkuna anakmblia ukutan na anatumia nguvu nying sn sa akiendlea kila siku kufanya ivo ule ukuta anaumalza na unaanza kua na matundu
 
~piglets ni watoto wa nguruwe,
~weaners ni nguruwe walioachishwa kunyonya (after 8 weeks of age), ~Growers ni nguruwe wanaokuwa (4months of age),
~Finishers ni nguruwe walofikia umri wa kutolewa/kuchinjwa ( 7-9months of age). ~Sow ni nguruwe jike ambae ameshazaa na
~boar ni nguruwe dume ambaye hajahasiwa.

myasis;
Naomba nitofautiane na wewe pamoja na mleta hoja kidogo.
"weaners" huachishwa ziwa siku ya 28 tangu kuzaliwa. Unamweka jike kwa dume siku ya 3 tangu kumwachisha/kumnyang'anya watoto. Kuendelea muda mrefu kunyonyesha ni hasara kwani uzao unapungua kwa mwaka.
2. Mchanganyo wa chakula:
Kama ni nguruwe wa kuuza mbali, chakula kipungue pumba ya mahindi. Hua pumba ya mahindi inaongeza mafuta ya ndani ambayo huwa hatari kwa nguruwe kuchoka haraka na kufa ghafla kwenye safari. Mchanganyiko huwa hivi:
Pumba ya mchele (Rice polish) 40
Pumba ya mahindi (Maize meal) 30
Pollard/ Wheat feed 15
Sun flower cake/dagaa 15
Chumvi 1
Pigmix 1 pamoja na lycine .25 (robo kilo)
Chokaa/mifupa 2 (Hakuna haja ya kuweka vyote viwili kwani kazi yake ni moja)
Dagaa huwekwa kwenye chakula cha watoto tu. Ukiweka kwenye chakula cha wakubwa, akichinjwa nyama hunuka samaki.
Lycne huifanya nyama kuwa angavu na mafuta kukaa mahali pake. Hii ni kwa mfanyi biashara wa nyama hii.
Ushauri huu umetokana na experience ya zaidi ya 20 yrs ya ufugaji na sijawahi kukosa nguru 20 kwenye boma hata siku moja.
 
myasis;
Naomba nitofautiane na wewe pamoja na mleta hoja kidogo.
"weaners" huachishwa ziwa siku ya 28 tangu kuzaliwa. Unamweka jike kwa dume siku ya 3 tangu kumwachisha/kumnyang'anya watoto. Kuendelea muda mrefu kunyonyesha ni hasara kwani uzao unapungua kwa mwaka.
2. Mchanganyo wa chakula:
Kama ni nguruwe wa kuuza mbali, chakula kipungue pumba ya mahindi. Hua pumba ya mahindi inaongeza mafuta ya ndani ambayo huwa hatari kwa nguruwe kuchoka haraka na kufa ghafla kwenye safari. Mchanganyiko huwa hivi:
Pumba ya mchele (Rice polish) 40
Pumba ya mahindi (Maize meal) 30
Pollard/ Wheat feed 15
Sun flower cake/dagaa 15
Chumvi 1
Pigmix 1 pamoja na lycine .25 (robo kilo)
Chokaa/mifupa 2 (Hakuna haja ya kuweka vyote viwili kwani kazi yake ni moja)
Dagaa huwekwa kwenye chakula cha watoto tu. Ukiweka kwenye chakula cha wakubwa, akichinjwa nyama hunuka samaki.
Lycne huifanya nyama kuwa angavu na mafuta kukaa mahali pake. Hii ni kwa mfanyi biashara wa nyama hii.
Ushauri huu umetokana na experience ya zaidi ya 20 yrs ya ufugaji na sijawahi kukosa nguru 20 kwenye boma hata siku moja.

mkuu mangatara shukrani sana. Nguruwe wako wakati wa kuuza huwa wana kilo ngapi?
ukichanganya pumba ya mahindi na mpunga bado si kitu kile kile au tofauti yake ni nini?
 
mkuu mangatara shukrani sana. Nguruwe wako wakati wa kuuza huwa wana kilo ngapi?
ukichanganya pumba ya mahindi na mpunga bado si kitu kile kile au tofauti yake ni nini?

Mkuu Kop;
Nguruwe huhitaji dume akifikia umri wa miezi 7 ya kuzaliwa na wakati huo anatarajiwa kuwa na kilo kama 35 - 45. Akipata mimba akiwa na uzito huo atakupa watoto wengi zaidi ya 8.
Pumba ya mahindi sio sawa na pumba ya mpunga. Pumba ya mpunga inamshibisha nguruwe kwa mda mrefu zaidi hivyo hukaa tumboni kwa mda mrefu zaidi na nguruwe hasikii njaa haraka. Pia, unenepeshaji wake ni tofauti kwani mafuta ya nguruwe huzidi nje zaidi. Uliza tu swali nkusaidie kutokana na uzoefu wangu wa kuwafuga.
 
naomba ka elimu kiduchu kuhusu izo drinker plz

JINSI DRINKER ZINAVYOFANYA KAZI

- Unakuwa na tank lako la maji ambalo una connect bomba toka kwenye tank kuja kwenye banda la nguruwe
- Bomba ikifika kwenye la nguruwe mbele ya bomba ndipo unafunga hicho kifaa (drinker) ili nguruwe aweze kunywa maji
- Kifaa hicho kipo kama chuchu hivyo nguruwe akihitaji maji anaenda kunyonya na maji yanatoka. Na huo ndio ufugaji wa kisasa katika nchi zilizoendelea

FAIDA ZA DRINKERS
1. Huepusha nguruwe na magonjwa na hasa minyoo kwakuwa wanakuwa hawanywi maji ambayo yangekuwa kwenye beseni uchafu ungeweza kuingia hivyo kupelekea bakteria kuingia kwenye maji.
2. Vijana wetu wanaoangalia mifugo hawapo makini kufatilia kama maji yameisha kwenye banda la nguruwe au yapo hivyo wakati mwingine nguruwe hukaa bila maji lakini kwa kutumia drinkers nguruwe watakunywa maji muda wowote ule wanaotaka.

Kwa wote wanaohitaji drinkers au maswali yoyote tafadhali msisite kuwasiliana nasi kwa namba 0625 504 952

Tunapatikana Dar es Salaam lakini kama upo mkoani tunakutumia kwa gharama zetu.
 
Siku zote jambo, kitu, maisha nk baya ndivyo binadamu huviona na faida mambo ya Mungu yanawekwa pembeni ili mradi mafanikio yasiyohitaji utu na wema yakiwa mbele..!![emoji17]
 
soko la nguruwe linalipa sana. me najivunia sana kuwa mfugaji. chakula ni chamuhimu sana.

awali sikuzingatia chakula lkn baada ya kuanza kuzingatia aisee hii midude inazaa.

nilianza na nguruwe 4 lkn hadi sasa nina 48 na wengine kama 200 niliuza
9003fc9787d32d305875e1b43a4a3766.jpg
hao wakubwa kwli,,,Swali inakuaje nguruwe wadumae au wanachukua miezi mingi mpaka kukua?tatizo linakua ni nini
 
Majuzi nilimtembelea.mfugaji.mmoja nikamkuta anawapa nguruwe wake mavi ya kuku na wanakula vizuri tu. Hakuweza kunipa ushauri wa kitaalamu....lakini.

Yeye anadai.kuna siku kwa bahati mbaya alisahau mlango wazi na nguruwe wakatoka na kukuta rundo la mavi ya kuku na kuanza kula. Toka siku hiyo akawa anawapa kamachakula!
 
naomba unisaidie nategemea kuanza ufugaji nguruwe mwezi huu mwishoni, naanza na nguruwe 10, vp naomba unijuze makadirio ya gharama za kuwahudumia kwa mwezi mmoja
 
Majuzi nilimtembelea.mfugaji.mmoja nikamkuta anawapa nguruwe wake mavi ya kuku na wanakula vizuri tu. Hakuweza kunipa ushauri wa kitaalamu....lakini.

Yeye anadai.kuna siki kwa bahati mbaya alisahau.mlango wazo na nguruwe wakatoka na kukuta rundo la mavi ya kuku na kuanza kula. Toka siku hiyo akawa anawapa kamachakula!

Duh!
 
Majuzi nilimtembelea.mfugaji.mmoja nikamkuta anawapa nguruwe wake mavi ya kuku na wanakula vizuri tu. Hakuweza kunipa ushauri wa kitaalamu....lakini.

Yeye anadai.kuna siku kwa bahati mbaya alisahau mlango wazi na nguruwe wakatoka na kukuta rundo la mavi ya kuku na kuanza kula. Toka siku hiyo akawa anawapa kamachakula!
Huyo ni mwehu.... Nguruwe wanakula chochote sasa kwa sabab alikuta wanakula hiyo kitu ndo akadhani kinawafaa? Ukimkuta tena mnase vibao
 
soko la nguruwe linalipa sana. me najivunia sana kuwa mfugaji. chakula ni chamuhimu sana.

awali sikuzingatia chakula lkn baada ya kuanza kuzingatia aisee hii midude inazaa.

nilianza na nguruwe 4 lkn hadi sasa nina 48 na wengine kama 200 niliuza
9003fc9787d32d305875e1b43a4a3766.jpg

Hongera sana mkuu.
Nikianza na nguruwe 10 wenye mimba?
 
Hiyo kilo 80 toa kichwa kg kama 8 na utumbo na figisu nyingine kama mafuta mkia na miguu kg 12 unabaki na kg kama 60 za nyama utapata kama 402,000
safi sanaa! hii ni fursa ya kuachana na ajira
 
Back
Top Bottom