MalafyaleP
Senior Member
- May 23, 2013
- 187
- 387
Simu isipopokelewa tafadhali andika msg.TutakupigiaJamaa mbona hata sim hapokei ???
Bado haijazalishwa moshi ila ipo kama parent stock.Nielekeze moshi sehemu gani nikadhibitishe nilete mrejesho mara moja
huko wapi jembeMm niko dar. Kuhusu nguruwe tufugie wapi ni kikundi kitaamua
k will find u thruu yo no.Hata Mimi nimekuwa na wazo hili,japo sikupata nafasi ya kufanya research.
Mkuu hali ni ngumu sana ila hii isikufanye/isitufanye kushindwa kuanzisha project.
Instead of starting with six pregnated pigs,you can choose to begin with at least six piglets (5 females and 1 male) which will cost you little money compared to those big ones.
Nipo dar,tunaweza kuonana na kushauriana zaidi.
Take my number 0719284019
Mojawapo ya Changamoto kubwa kwa wafugaji wa nguruwe imekuwa ukosefu wa mbegu bora na yenye tija hapa nchini. Mbegu nzuri zilizoletwa na wakoloni miaka ile zimepoteza ubora wake kwa sababu ya inbreeding.
Wafugaji wachache wenye nia ya kuboresha ufugaji wa nguruwe waliungana pamoja na kuunda chama cha wafugaji nguruwe Tanzania(Tanzania Association OF Pig Farmers -TAPIFA). Kwa kupitia TAPIFA watanzania wengi wataweza kupata aina mpya ya mbegu ya nguruwe iitwayo Camborough.
Mbegu hii ina sifa zifuatazo:
Tayari kuna wafugaji wanafuga mbegu hizi hapa Tanzania wale ambao waliagiza mwanzo lakini pia TAPIFA yaweza kukusaidia kuagiza mbegu hii.Waweza tembelea www.tapifa.or.tz kupata taarifa zaidi kuhusu chama hiki mkombozi wa wafugaji nguruwe Tanzania au waweza wasiliana nami pia kwa 0789412904(simu,msg,whatasap). Waweza pitia threads mbalimbali za ufugaji nilizoandika jamii forums kuhusu tasnia hii ya ufugaji(search MalafyaleP).
- Hukua haraka-inaweza kuongezeka 0.7-0.9kg kwa siku.Camborough wa miezi 6 anazaidi ya 100kg
- Hutumia vizuri chakula kuzalisha nyama(feed conversion)
- Huzaa watoto wengi(watoto 10-23)
- Huwa na nyama nzuri isiyo na mafuta
Angalia pia attachment inayoonyesha growth performance ya camborough.
..........................................
Baada ya kupokea simu nyingi na meseji ni vema nikaweka sawa zaidi:
Hii mbegu ni ngeni nchini hivyo wafugaji wachache tayari wamezalisha watoto na wengi hawauzi kwa sasa. Kuna njia mbili za kuipata kwa wingi
1.Ngoja wenye nazo wazalishe ununue kwao.Itakuwa March to April 2017 kwa sababu wanyama wengi wana mimba sasa.
2.Kuagiza kutoka nje kwa kupitia TAPIFA na hii ni kwa wanachama tu!
Chaguo ni lako.
Sio rahisi mm kuwepo jf muda wote.Nipigie kama una maswali zaidi na usiponipata kwa simu andika msg nitakupigia.
Upatikanaji wa hii mbegu kwa sasa ni gharama,hivyo hii mbegu ni kwa wale tu wanaotaka kufanya ufugaji kibiashara na wapo tayari kuwekeza.ahsanten
Kuna maelezo kwa undani kuhusu hii mbegu hapa www.picrsa.co.za
Kuongezeka " 0.7-0.9kg kwa siku", kama ni kweli lazima kutakuwa na side effects kwenye quality ya nyama nk. Believe me or not. Hapo ni ongezeko la wastani wa kilo 1 kwa masaa 24!!!!!!
Hiyo mbegu mliibreed wenyewe au exotic? Kama ni imported vipi swala la "GMOs"! Kama ni imported tuwe makini sana na hivi vitu vinavyotoka kwa hawa wenzetu!
Kwa mfano kuna aina ya kuku imeningia hapa nchini (Tz) wameenea sehemu nyingi sana hapa nchini wanakuwa wakubwa sana na kwa muda mfupi! Lakini quality ya nyama yake ni ya CHINI mno! Hawa kuku ni imported!!
Kwa hilo la ongezeko, inajulikana kuwa kadiri kitu kinavyojijenga pole pole hasa viumbe hai (wanyama na mimiea, vivyo hivyo na uimari/ubora wake pia) (nukuu zipo ila ni mpaka kuzichambua na hapa hatuko mahakamani ila ni kwa ajili ya kuelekezana/kuelimishana).try to explain and support your urgument vividly
Asante mkuu,hilo alina shida tutawasafirishaungekua dar tungetengeneza deal
Mfugaji wangu, naomba unitumie hizo picha kwenye email yangu maana nami nimeanza mdogomdogo ufugaji nguruwe.Hizo picha zitanifundisha kitu. Naisumollel@gmail.comSamahani picha zimekwama kujiweka.
Hahahaha! Tiger Woods kutoa ushauri wa soka Arsenal!MUULIZE FAIZA FOXY ATAKUPATIA INFORMATIONS