Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Asilimia kubwa ya lindi imani hairuhusu kula nguruwe ....hii haita kuwa changamoto na majirani wanaokuzunguka?

kuna watu nawafahamu toka niko mdogo wanafuga mpaka leo hii hapa mtaani kwangu na wana mafanikio mazuri tukutokana na biashara hii, sijawai kusikia changamoto hiyo kutoka kwao kikubwa ni kutokuicha ovyo mifugo ina tangatanga, zaidi ya hapo mradi utafanyika pembezoni mwa mji kidogo. hivyo nikukuhakikishie lindi wakazi wa lindi hawana shida na mfugaji wa nguruwe kama ana wadhibiti pahala.
 
Kuna sehemu panaitwa Mangrove hapo tunakamata mdudu daily watu nyomi sana...... By the way, mtoa mada hebu ni PM tupange mipango mm niko Lindi
 
Pamoja sana mkuu
niaje man heri ya mwaka mpya.....am much interested with the issue.....uko wapi niliuliza na hukujibu coz ni kitu ambacho nilitaka kukifanya mwaka ulioisha nikiwa na patner wangu mmoja tulishindwa kwa sababu ya vitu flan may b tunaweza share baadhi ya vitu na kuform hiyo group i if u real serious.......no. zangu ni hizi 0717183855
 
 
Hii mbegu ni mbegu zinazotumika dunia nzima.Kwa hiyo notion yako kwamba tunaletewa mbegu zenye madhara sio sahihi.Hebu jiongeze kidogo na soma hapo www.picrsa.co.za na pia soma kuhusu kampuni hii Pig Improvement Company(PIC).Hiyo growth na kawaida kwenye commercial farms. Hv kuna mbegu gani ya kwetu???Kwenye nguruwe mbegu tunazofuga zilitoka nje.Performance yake imeshuka kwa sababu ya inbreeding.

Kukusaidia zaidi:Camborough ni cross ya pure landrace na pure largewhite baada ya selection based on performance. Kaka kama unaweza pata pure landrace na pure largewhite,waweza zalisha hiyo mbegu!
 
Bei ya piglet ikoje mkuu?
Na pia kwa sisi tuliopo Dar tunawezaje kupata hiyo mbegu?
 
Mk
Mkuu dezamba upo?
Heri ya mwaka mpya mkuu,nimepata eneo kwa ajili ya kuanzisha project lenye ukubwa wa heka mbili maeneo ya Bungu japo malipo sijakamilisha bado.
Naomba nikutakie kila la kheri katika kutafuta partnership ili nia na madhumuni ya kuanzisha project ifanikiwe.
Cha msingi ni kuendelea kuwasiliana na ku-share ideas mbalimbali mkuu....!
All in all ..wishing you all the best guy..!
 
Binafsi hii ni project ambayo nimepanga kuitekeleza kWa mwaka huu. Eneo la kufugia tayari nimelipata (shamba Dogo) changamoto ipo kwenye mtaji ndio Mdogo kwa ajili ya kujengea mabanda, chakula na msimamizi.
 
Namtafuta sana huyo jamaa nikae nae tuongee mana ndo naanza mradi wang
Mkuu kyene kyaka habari...!
Ulishaanza huo mradi?
Kuna vitu ningependa kujifunza kutoka kwako mkuu kama tayari ulishafanikiwa kuanzisha huu mradi.
 
Naomba mwongozo wa ufugaji wa nguruwe kwani nina kijieneo changu huko zingiziwa nje kidogo ya jiji la dar ambacho nilitaka nikitumie kwa kufuga ama kuku wa kienyeji au nguruwe
Mkuu habari,ulifanikiwa kufuga nguruwe?
Nami niko Dar nahitaji pia kuanzisha hii project,sasa kama ulifanikiwa nijulishe ili nije nijifunze kutoka kwako namna ya ku-deal na hivi viumbe.
Shukrani sana....!
 
Hapana sikufanikiwa kiongozi eneo nililotarget changamoto ilikuwa lina wakazi wengi wa dini ya ndugu zetu hivyo kufanya project kama hiyo ni ngumu kwa ushauri wa wazoeafu
 
Binafsi hii ni project ambayo nimepanga kuitekeleza kWa mwaka huu. Eneo la kufugia tayari nimelipata (shamba Dogo) changamoto ipo kwenye mtaji ndio Mdogo kwa ajili ya kujengea mabanda, chakula na msimamizi.
Unapatikana wapi mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…