Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Tafuta mbegu bora.... epuka na inbreeding(mbegu nyingi zilizopo sokoni zimeshachakachuliwa sana na inbreeding hivyo wanakula tuu hawaongezeki uzito inavyopaswa)
Huyo kwenye Avatar ni mbegu bora baada ya kushauriwa na wataalamu ni kaenda Misheni ya jirani, wao wanauza nguruwe mzima kwa kumpima kwenye mizani. Mwenye mimba anauzwa kg1 kwa 4500 na hasiyepandishwa kg1 tsh 4000. Wapo midume wenye kilo zaid ya 220...lakini Mimi nilimchukuwa jike ambaye kilo zake nililipa karibu 600,000/-.

Nipo kwenye mgrupu ya whasap wafuga nguruwe mengi na tunashea mengi lakini tunafarijiana tu, hii ni biashara kichaa. Haina faida, ni ngumu. Nina experience had ya kuchoma sindano mwenyewe kwa jinsi nilivyoiva kiufugaji, lakini tusidanganyane, mfugo mgumu sana.
 
Kama upo serious nichek 0764841448 watsap nkupe connection nzuri pia na kama una maswali unakaribishwa
 
IMG_20170223_134807.jpg
 
Mimi ni mfugaji kwa miaka minne sasa Avatar yangu inanitambulisha pia. Sijaona faida ya mnyama huyo isipokuwa hasara. Ana gharama za malisho na rahisi sana kudumaa...Kwa ufupi hachelewi kukosewa katika ukuaji.

Unaweza kujaribu ukajionea mwenyewe ingawa wengi humu ambao hawafugi watakuja kukupa ushauri wa kwenye vitabu.
Mimi kwa sasa nafuga kama huduma si faida tena kwakuwa mabanda nilishayajenga ya kisasa hayawezi kukaa hivi hivi.
Mimi ni mfugaji kwa miaka minne sasa Avatar yangu inanitambulisha pia. Sijaona faida ya mnyama huyo isipokuwa hasara. Ana gharama za malisho na rahisi sana kudumaa...Kwa ufupi hachelewi kukosewa katika ukuaji.

Unaweza kujaribu ukajionea mwenyewe ingawa wengi humu ambao hawafugi watakuja kukupa ushauri wa kwenye vitabu.
Mimi kwa sasa nafuga kama huduma si faida tena kwakuwa mabanda nilishayajenga ya kisasa hayawezi kukaa hivi hivi.
Uko wap mluu, nije unikodishe hayo mabanda
Mimi ni mfugaji kwa miaka minne sasa Avatar yangu inanitambulisha pia. Sijaona faida ya mnyama huyo isipokuwa hasara. Ana gharama za malisho na rahisi sana kudumaa...Kwa ufupi hachelewi kukosewa katika ukuaji.

Unaweza kujaribu ukajionea mwenyewe ingawa wengi humu ambao hawafugi watakuja kukupa ushauri wa kwenye vitabu.
Mimi kwa sasa nafuga kama huduma si faida tena kwakuwa mabanda nilishayajenga ya kisasa hayawezi kukaa hivi hivi.

pole phdjdj
 
Habari wakuu! Ninaimani mpo Salama kwa neema ya Mungu wetu.

Wakuu mi natamani kuanza kufuga ngurue jijini mwanza japo sina network, ningetamani kama kuna mtu yeyote anafunga mnyama huyu huku Mwanza anisaidie japo kwa mawazo tu.

Natanguliza shukrani nikiamini mtanisaidia.
Kama uko Mwanza nakushauri nenda pale Kiseke karibu na nyumba za PPF kuna bwana mmoja anaitwa 'KIPIPA" ni mfugaji maarufu sana ana baa yake hapo hapo muombe akupe maaujuzi
 
Kama unawazo LA ufugaji wa nguruwe kibiashara, tafadhali tuwasiliane.

Nina eneo la kufugia lakini mtaji ndo kizungumkuti. Niko tiyari kusimamia mradi huo kwenye eneo langu halafu vitoto vital a by oz a loan a Mara ya kwanza nami niweze kuanza navyo kama mtaji. Karibu sana. Niko Njombe ambapo kuna urahisi wa uendeshaji n.k. 0754004189
 
Kama unawazo LA ufugaji wa nguruwe kibiashara, tafadhali tuwasiliane.

Nina eneo la kufugia lakini mtaji ndo kizungumkuti. Niko tiyari kusimamia mradi huo kwenye eneo langu halafu vitoto vital a by oz a loan a Mara ya kwanza nami niweze kuanza navyo kama mtaji. Karibu sana. Niko Njombe ambapo kuna urahisi wa uendeshaji n.k. 0754004189
Mm npo dar tunawezaje kufanya hiyo project???
 
Kama unawazo LA ufugaji wa nguruwe kibiashara, tafadhali tuwasiliane.

Nina eneo la kufugia lakini mtaji ndo kizungumkuti. Niko tiyari kusimamia mradi huo kwenye eneo langu halafu vitoto vital a by oz a loan a Mara ya kwanza nami niweze kuanza navyo kama mtaji. Karibu sana. Niko Njombe ambapo kuna urahisi wa uendeshaji n.k. 0754004189
Mimi Nipo Dodoma tunawezaje kufanya hiyo joint venture?
 
Eneo linaweza kuchukua Nguruwe wa ngapi na una uzoefu wowote wa ufugaji Nguruwe?
 
Biashara ya nguruwe uifugiw maporini au vijijini gharama ya matunzo au malisho ni ndogo..kwa mjini haina maslahi kupotezeana mda na kupoteza pesa zako..
Nakushauri fuga kuku walipa zaidi kuliko biashara ya nguruwe au ng'ombe.
Ng'ombe zinalipa mkuu, kama una mtaji. Usilinganishe biashara ya ng'ombe na nguruwe, kuku au ufugaji wa Samaki

Ng'ombe wanalipa katika maziwa sana na bado ukichinja pia wanalipa sana

Mfano ; una ng'ombe wako wa kisasa anatoa litre 10@siku
Litre 10* siku 300= litre 3,000 kwa mwaka
1 litre= Tshs1,500
3,000 litre = Tshs 4,500,000
Kwa mwaka unapata iyo apo
Aya toa nusu yake kwenye Madawa na muhudumu
Tshs 4,500,000*1/2= Tshs 2,250,000

Ufugaji unalipa jamani
 
Mkuu unaweza tusaidia Cost Analysis ya kuendesha biashara hii kwa nguruwe 2 angarau. No yangu ni 0764 980 843
 
Anaejua jinsi nguruwe znavyofugwa atoe maelezo, vyakula vyake, nguruwe mdogo kwa ajili ya kuanza kufuga ni shngap, pia mkubwa shngap, madawa yake akiugua.. maswali kama hayo ndio yananitatiza
 
Back
Top Bottom