Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji



NI VIZURI KUACKNOWLEDGE SOURCE ILI WAWEZA KUPATA NA FAIDA ZAIDI HAPA
SEKTA YA MIFUGO TANZANIA
 
Wadau wa sehemu hii mumekuwa potential sana kwangu kwani post zenu nazikubali sana. Muda si mrefu nitaanza kuuza nguruwe kwani kwa sasa niko hatua za mwisho kumalizia banda. Natarajia shift moja kuuza nguruwe wapatao 50-70, naomba mwenye kujua sehemu ambako kuna soko la uhakika anisaidie. Niko pia tayari kuuza kwa contract. Niko Chato-Geita.
Heshima zenu ndgu.
 
Yaani kumbe hata nguruwe wenyewe hawajaingia bandani tayari unasema muda si mrefu utaanza kuuza?

Ukiwa pale River Side, Ubungo, kuna njia inaenda jeshini. Fuata hiyo njia mpaka ukaribie mesi ya jeshi, kulia kuna machinjio ya kitimoto, pale kila siku kitimoto hawatoshi, si unajua Watanzania tupo takriban 45m na wote tunakula nguruwe
 
mambo!
 

Haya sasa nini ugomvi huo
 

Nchi hii pia ina almost 50% of people who go to church who are GAYS!
 
Zenji wanatoka sana we wakikamilika kimakuzi kodisha boat uwapeleke pemba sawa? Wanalipa sana kule
 
unaweza kupakiza kwenye lori na kuleta songea. Kuna soko la uhakika, huku ikifika saa nane huwezi pata kitimoto. Kule peramiho bruda anatengeneza sausage za huyu mnyama ni tamu sana ukionja utataka ule kila siku.
 

Umefanya nimecheka sana.
 
Asante kwa ushauri wako, nitafanya hivyo, siku hizi ili u dominate market, lazima ufuate njia ya "participatory market chain approach" ndio maana napenda kufanya makadilio
 
Hili jukwaa siyo la mambo hayo jamani, mambo mlengo wa kushoto huku hayatakikani...!

If that's the case then why shouldnt we have MUTUAL RESPECT ( in terms of faith). You spoil others faith, they spoil yours too. We've been living in HARMONY for decades, but now people are no longer tolerant towards others, it's a big shame.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…