bwegebwege
JF-Expert Member
- Jul 30, 2010
- 1,072
- 186
Haramu kwako si haramu kwa kila mtu?
Statistics zinaonesha mwezi wa Ramadhan biashara ya KITIMOTO inakuwa mbaya, wateja hakuna....Jiulize why?
Hujaona sheikh caller tune yako ni ule wimboa wa "NIBEBE...YESU NIBEBE"?
Hebu tuache mawazo potofu, msaidieni mdau, kama huna cha kusem akaa kimya!
Statistics zinaonesha mwezi wa Ramadhan biashara ya KITIMOTO inakuwa mbaya, wateja hakuna....Jiulize why?
Hujaona sheikh caller tune yako ni ule wimboa wa "NIBEBE...YESU NIBEBE"?
Hebu tuache mawazo potofu, msaidieni mdau, kama huna cha kusem akaa kimya!
[/COLOR]We ----- nani kakwambia kila mtanzania anakula nguruwe??? ---- kweli wewe......Kula mwenyewe hiyo miharamu yenu