Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

We ni Wakala wa sera ya JK ya Kilimo kwanza eeh?

Mbona hujaweka effect ya SWINE- FLU, ambayo inaweza kuwamaliza nguruwe wote kwa wiki 1?
Kaka ukiwa muoga wa kutake risk hutafanikiwa maishani,waliofanikiwa ni wale wasiogopa hasara!
 
Kuna boss wangu ofisini amenipigia simu eti nguruwe wake amezaa vitoto 12 na hataki kuvinyonyesha badala yake anavishangaa na kutaka kuvikanyaga,hii pia ni changamoto itiliwe maanami sio kuota mafanikio tuu !!
 
Yaani kumbe hata nguruwe wenyewe hawajaingia bandani tayari unasema muda si mrefu utaanza kuuza?

Ukiwa pale River Side, Ubungo, kuna njia inaenda jeshini. Fuata hiyo njia mpaka ukaribie mesi ya jeshi, kulia kuna machinjio ya kitimoto, pale kila siku kitimoto hawatoshi, si unajua Watanzania tupo takriban 45m na wote tunakula nguruwe

tena boda boda ni buku moja tu mpaka kwa mzee wa upakoooo....ila akija ijumaa hivi mesi kwa kweli huwa kunakuwa kumechangamka na lile sebene letu la kila mwisho wa wiki.
 
Katitima,
Uki search kwenye internet kuna information nyingi nzuri Pia.mi nafuga for the past 5 month.nilianza na nguruwe 8 wenye mimba.nina watoto 50 sasa wa miezi tofauti. Tunaweza kushare uzoefu through 😛jmwaikenda@gmail.com
 
Katitima,
Uki search kwenye internet kuna information nyingi nzuri Pia.mi nafuga for the past 5 month.nilianza na nguruwe 8 wenye mimba.nina watoto 50 sasa wa miezi tofauti. Tunaweza kushare uzoefu through 😛jmwaikenda@gmail.com
kuna huyu wa kisasa, anapatikana baharini
xxx.jpg
 
katitima,
uki search kwenye internet kuna information nyingi nzuri pia.mi nafuga for the past 5 month.nilianza na nguruwe 8 wenye mimba.nina watoto 50 sasa wa miezi tofauti. Tunaweza kushare uzoefu through 😛jmwaikenda@gmail.com

nashukuru sana mkuu, ntakutafuta.
 
Wakuu nataka kuanzisha mradi huu wa ufugaji Nguruwe kutokana na soko lake kuwa pana na zuri kila kukicha. Nataka kufuga kitaalamu mkoani lringa naombeni mawazo yenu kwa kuanzia nataka nianze na 10.
 
wakuu nataka kuanzisha mradi huu wa ufugaji nguruwe kutokana na soko lake kuwa pana na zuri kila kukicha. Nataka kufuga kitaalamu mkoani lringa naombeni mawazo yenu kwa kuanzia nataka nianze na 10.

acha uviv mkuu,ukitembea vizur kwenye hili jukwaa utakutana na threads kama;

1.msaada ufugaji wa nguruwe

2.anza hivi mpwa

3.baada ya kusoma mawazo ya wengi humu jamii forum nimeona nianze hivi.

Hiz threads znazungmzia ufugaj wa nguruwe,so you better find them insead of a new one
 
acha uviv mkuu,ukitembea vizur kwenye hili jukwaa utakutana na threads kama;

1.msaada ufugaji wa nguruwe

2.anza hivi mpwa

3.baada ya kusoma mawazo ya wengi humu jamii forum nimeona nianze hivi.

Hiz threads znazungmzia ufugaj wa nguruwe,so you better find them insead of a new one

Kwani mpwa na hii ikiwa mpya si tunapeana fursa na wadau wengine!
 
Nguruwe watoto 20 @ 20000 = 400000
Banda la mabanzi=1,000,000
Chakula = 1,000,000
Dawa= 200000
After 1yr: Nguruwe 20 watazaa vitoto kama 160,
utachakuwa vitoto jike 100,
mama zao wote watauzwa, huku shambani kwetu nguruwe
mkubwa ni Tsh 200,000 tu, utapata 4,000,000
After 2yrs: Nguruwe 100 wanaweza kuzaa 700
Kati ya 700 chagua majike 500,(unaweza kuuza watoto dume ukanunua jike)
Year 3: Nguruwe 500 watazaa watoto 3500, chagua watoto 1500 tu
Kutoka hapo unamentein Number 1500, kila mwaka unaweza kuuza
watoto zaidi ya 3000, na nguruwe wakubwa 1500
1500*200000= Tsh 300,000,000/= kwa mwaka
Nusu ya hiyo pesa ni gharama zingine, unabaki na 150mil.
Welcome to the club

Kabla hujajitumbukiza kaone mifano, au nenda sokoine ukaonane na wataalamu.
Kila mwaka nalima Mahindi, alizeti, maboga ekari 30 kwa ajili ya chakula cha
Nguruwe tu.


nakupenda saana mpwa,

Mpwa vp kuhusu ile mafua ya nguruwe?
CC. TIQO
 
Last edited by a moderator:
Kuna boss wangu ofisini amenipigia simu eti nguruwe wake amezaa vitoto 12 na hataki kuvinyonyesha badala yake anavishangaa na kutaka kuvikanyaga,hii pia ni changamoto itiliwe maanami sio kuota mafanikio tuu !!

Ukizubaa atakula vitoto vyote
 
niaje wadau,nahtaj mnisaidie ktu hapa.nina uwezo wa kupata mtaj wa kiasi cha kma 3m hv na huku nliko nina eneo la ekar 1.sasa idea yangu ni kufuga nguruwe wa biashara na nimelileta suala langu hapa kwan najua kuna wat wamefanya ANIMAL SCIENCE,AGR ENG ambapo wamesoma course ya FARM STEADY,wapo pia walofanya ANIMAL NUTRITION na mengne ila wapo wengne wana uzoef tu na jambo lenyew.sasa omb langu ni kufanyiwa cost estimations na how can I start na hata muundo mzma wa eneo na jengo la kufugia.NAWASILISHA WAKUU

Nguruwe watoto 20 @ 20000 = 400000
Banda la mabanzi=1,000,000
Chakula = 1,000,000
Dawa= 200000
After 1yr: Nguruwe 20 watazaa vitoto kama 160,
utachakuwa vitoto jike 100,
mama zao wote watauzwa, huku shambani kwetu nguruwe
mkubwa ni Tsh 200,000 tu, utapata 4,000,000
After 2yrs: Nguruwe 100 wanaweza kuzaa 700
Kati ya 700 chagua majike 500,(unaweza kuuza watoto dume ukanunua jike)
Year 3: Nguruwe 500 watazaa watoto 3500, chagua watoto 1500 tu
Kutoka hapo unamentein Number 1500, kila mwaka unaweza kuuza
watoto zaidi ya 3000, na nguruwe wakubwa 1500
1500*200000= Tsh 300,000,000/= kwa mwaka
Nusu ya hiyo pesa ni gharama zingine, unabaki na 150mil.
Welcome to the club

Kabla hujajitumbukiza kaone mifano, au nenda sokoine ukaonane na wataalamu.
Kila mwaka nalima Mahindi, alizeti, maboga ekari 30 kwa ajili ya chakula cha
Nguruwe tu.


nakupenda saana mpwa,

gonga hapa https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/42162-anza-hivi-mpwa-wangu-3.html#post7294799
 
Nguruwe watoto 20 @ 20000 = 400000
Banda la mabanzi=1,000,000
Chakula = 1,000,000
Dawa= 200000
After 1yr: Nguruwe 20 watazaa vitoto kama 160,
utachakuwa vitoto jike 100,
mama zao wote watauzwa, huku shambani kwetu nguruwe
mkubwa ni Tsh 200,000 tu, utapata 4,000,000
After 2yrs: Nguruwe 100 wanaweza kuzaa 700
Kati ya 700 chagua majike 500,(unaweza kuuza watoto dume ukanunua jike)
Year 3: Nguruwe 500 watazaa watoto 3500, chagua watoto 1500 tu
Kutoka hapo unamentein Number 1500, kila mwaka unaweza kuuza
watoto zaidi ya 3000, na nguruwe wakubwa 1500
1500*200000= Tsh 300,000,000/= kwa mwaka
Nusu ya hiyo pesa ni gharama zingine, unabaki na 150mil.
Welcome to the club

Kabla hujajitumbukiza kaone mifano, au nenda sokoine ukaonane na wataalamu.
Kila mwaka nalima Mahindi, alizeti, maboga ekari 30 kwa ajili ya chakula cha
Nguruwe tu.


nakupenda saana mpwa,

Poa mpwa hizi fursa hizi lazima tuzitumie
 
Habari zenu waungwana! Je kuna mtu alishawahi kufuga hawa nguruwe na akaona faida ya ufugaji huu, maana hata mimi nataka kuingia kwenye hii biashara,
 
hivi kilo moja ya nyama ya nguruwe kwa dar ni bei gani kwa sasa?
 
Back
Top Bottom