Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Mr.Fuchi,
Tupo pamoja.either uajiri au upate mtu amuelekeze kijana wako.isio ngumu hiyo hata ww kama upo around waweza fanya.
Mi nipo interested kuona hiyo deep litter system ya mabanda yako.niliku pm naona hujapata muda wa kuona.
Nadhani ulisema unafugia mkambarani au sio?mi nafugia Maseyu mwendo kidogo kutoka mikese kama unakuja dar.
Nataka ku expand mabanda na nataka kujaribu hii deep litter system.
Mi nimeweka sakafu,jinsi mabanda yanavyo ongezeka usafi inakuwa labour intensive!nita appreciate kuona ww ulivyofanya

"No dream is too big but action brings dreams to reality"
Naamini ulishamtembelea na kuyaona hayo mabanda ya kikorea, naweza kujifunza kwako?
 
Naamini wote mnaendelea vzuri na pia ambao hawajisikii vizuri Mungu awawekee mkono wake,,ndugu zangu mm nataka nianzee kufuga nguruwe na nna mtaji wa laki 800000.swali la kwanza je unatosha kwa gharama za kununulia piglets na gharama zote za vyakula?? Na pia gunia la pumba Na mashudu ntapata wap kwa bei ya chini na soko pia lamaana maana huwezi kufanya Biashara bila soko ,,,Nawatakia kheri ya Christmas na mwaka mpya (samahani kwa watu wa imani za kiislamu kwa hili)
Mkuu mashudu utayapata kilombero kwa bei chee kabisa.
Hiinimekujibu kutokana na swali lako mana hukusema wewe unapatikana wapi
 
Nimesoma kule fb eti nguruwe anatokana na binadamu waliolaaniwa,kwahiyo kwenye ulinzi ni poa ila kwenye kumla ni soo maana unaweza ukawa unamla babu/bibi yako!
Nalog off
 
Nyama yake inajenga mwili wa mlaji vizuri na inakufanya ujisikie huko unapendwa muda wote.
 
Lakini kwenye dini, hakuna dini inayoruhusu kula kitimoto. So kama wewe ni mpagani OK, ila dini zote haziruhusu.


Mkuu usilete upuuzi wa dini kwenye vitu vya maana kwani dini tumeunda sie wenyewe ili kutufanya kuwa wajinga. Ukifuata dini hata kunya utaambiwa dhambi.
 
Tatizo wa tz tunapuuza sana suala la technolojia,
Mbegu nzuri za nguruwe tunaweza kupata wapi maana wengi wameishia kufuga nguruwe wanabaki wadogo au wanakua kwa speed ndogo sana.
Kama kuna anayefahamu ile mbegu ya kutoka south Africa iliyoingia wakati fulani nchini,atujuze zaidi..
 
Technolojia lazima ihusike katika suala la kupata mbegu bora.
Ile mbegu ya nguruwe iliyoingia nchini wakati fulani kutoka south Africa tupate wadau wa kutujuza zaidi upatikanaji wake kwa sasa.
 
Wana jamii forums salama!!Habari za siku nyingi!
Tunamshukuru Mungu;tumeendeleza elimu wa ufugaji nguruwe wa kisasa na wenye tija.
Tumeendelea kutoa elimu hiyo kwenye whatsap na instagram.Hatimaye tumeandika vitabu viwili vyenye muongozo wa vitendo katika ufugaji nguruwe na vinaenda kwa jina:Kanuni za ufugaji Nguruwe Wenye tija:sehemu ya kwanza na ya pili(angalia attachment).
Na tunauza kila kitabu tshs.10,000 tu.
Tunao wasambazaji wa vitabu hivyo huko mikoani pia(angalia attachment).
Waweza wasiliana nami pia kwa 0789412904

NB:Hatuuzi soft copy ya kitabu hiki kwa sasa;kipo hadi copy kama vitabu vingine
 

Attachments

  • C4E3DA5B-0B0D-4AFE-840C-B248718F631B.jpeg
    C4E3DA5B-0B0D-4AFE-840C-B248718F631B.jpeg
    64.3 KB · Views: 101
  • C06EBD6C-CF09-4C8C-8260-CBEA019E912D.jpeg
    C06EBD6C-CF09-4C8C-8260-CBEA019E912D.jpeg
    81.9 KB · Views: 91
Nimekuja mbio sana nikajua nakipata hapahapa kwa ku download. Kumbe ni mambo ya namba za simu tena
 
Back
Top Bottom